reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Ndio...Sasa kma kaukwaa uwaziri je50m mlongo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio...Sasa kma kaukwaa uwaziri je50m mlongo??
Nilikumiss bwana😂Nipo ndugu yangu...
😂😂
Akisaidiwa na "Jioni ya leo" 😂😂😂😂😂Ndio mwenyewe aisee
Mzumbe majanga zaidKaribuni Mzumbe.
Yapi hayo ndugu yangu?Mzumbe majanga zaid
Wee wacheka tu mdg angu vip ulipita pale au ulisoma chuo Cha afy ya peramiho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kati ya mzumbe na udsm ipi nafuu kwa level hyo hyo masterDear usicheke udsm ni washenzi hawajali time management unasoma masters yako Hadi unapata depression unavohangaika kusafiri kutoka mkoani na kulia Lia ndio furaha zao. Huku extension fee kubwa, shoga angu Hadi nusu mimba imuue kisa stress.
So udsm sio swala la akili Kuna tatizo la wahadhiri kukaa na kazi yako hata miezi minne no one cares
oooh...naona unanipanga....Nilikumiss bwana😂
Nimefurahi kukuona
Nakwambia nenda ukatimize ndoto yako siku na graduate shule yangu nilifurahi mno kupita maelezo my dream ili come true licha ya changamoto tupambanie ndoto zetu zitatimia tuHahahaha....usijali usijali dear
Ahsante kuntia moyo
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nadhani nchini walimu wenye roho mbaya ni WA vyuo vikuu wanafurahia watu wazima wakihangaika mbona walimu wa secondary walikuwa wanafurahia tukifaulu.Sasa kati ya mzumbe na udsm ipi nafuu kwa level hyo hyo master
Mbna watu tunalia na mzumbe Hadi wengine tumeingia mitini ......siwezi kujianika Sana [emoji38]
Kwani research methodology ni statistical analysis mkuu? Nahisi kuna mahali unakwama!Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha.
Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).
NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
Mleta mada aje atusaidie hapa. Ndipo shida yake ilipo.Write short Notes on the following terms;
(a). Research,
(b). Methodology,
(c). Data analysis
Kuna mambo ambayo sio lazima usome darasani. Hivi kwa mfano unamalizaje chuo kwa ngazi ya masters au PhD na hujui data analysis softwares? Wewe umetaja chache lakini ziko nyingine nyingi kama Atlas Ti Nivovi na nyingine kadha wa kadha. Hapa tatizo sio chuo Bali mwanafunzi wenyewe. Initially, kabla hujakimbilia kwenye software lazima ujue kufanya analysis manually [emoji1787]Ofcoz UDSM katika maswala mazima ya statistics hawako vizuri becoz wao wanafundisha theory tu ila practical hawatoi kwamfano....mwanafunzi anahitimu bachelor in statistics lakin hajui kutumia software yoyote ile....naaman hajui STATA au R au SPSS..SAS. so unategemea atajiliwa na nan kama hujui hivy vitu.
Poleeeee....hata hivyo hili liko kwa watu wachache. Mimi nilisoma pale nikapa-enjoy sanaSishauri mtu kusoma postgraduate udsm ni wasumbufu mno wahadhiri wako busy na mambo Yao una print unapeleka na kufanya follow up siku unayoenda kumuona mhadhiri ka miezi mitatu alishapoteza u print Tena na hawataki utume softcopy.
Udsm badilikeni muache ushenzi wa kupotezea watu mda
Ameen dear,sahihi kabisaNakwambia nenda ukatimize ndoto yako siku na graduate shule yangu nilifurahi mno kupita maelezo my dream ili come true licha ya changamoto tupambanie ndoto zetu zitatimia tu
vyuoni sijui wakoje,kama wachawiiii hap wakufunzi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nadhani nchini walimu wenye roho mbaya ni WA vyuo vikuu wanafurahia watu wazima wakihangaika mbona walimu wa secondary walikuwa wanafurahia tukifaulu.
Ndugu yangu mwenyewe alipewa supp Huku kapata A, kajichosha mwalimu kumsumbua aka sapua Dr ana mwambia mbona huna supp nisamehe sana [emoji28][emoji28].