Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
ulisomea chuo ghani? SUA?Anhaa nina Bsc in Nutrition pia , je kusomea bachelor ingine tajwa hapo juu haiwezekani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulisomea chuo ghani? SUA?Anhaa nina Bsc in Nutrition pia , je kusomea bachelor ingine tajwa hapo juu haiwezekani?
na mpango wa kusoma master ya public healthUsiangaike kutaka kusoma degree nyingne itumie iyo bacherol yako kupata ajira kam bado haupo katika ajira wizara ya Afya inawahitaji watu kam nying kwa ajir y nutritional public awareness malnutrition moreover unaweza kujiajiri kwa kuanzisha vituo lishe otherwise uende masters degree public health au mastera ya manangement nyingine. Upo sehem sahihi kijana
Kwa anaehitaji kufanyiwa application (Maombi):Hello habari
Nilikua nauliza mtu ambaye ana bachelor degree moja na Advanced level alisoma CBG anaeza soma bachelor ingine ya afya mfano pharmacy , Radiotherapy, MD etc?
And je cheti cha bachelor kinaeza saidia kwenye admission kutokana na hio CBG?
Inawezekana?
ulimaliza mwaka ghan?
Anaota huyoSasa 2 ya 10 ndo uende degree ya Pharm? Serious ni chuo gani unataka uende??
Division two ajiandae diploma hata St Johs kupata kwa pointi hizo aombe Mungu atende MuujizaUsichague vyuo hivi, Bugando, Muhas, KCMC utakosa.
Chagua St John's, etc
Pass mark ulizopata zinaonyeshaUna uhakika nilikua nacheza 😩😩😃😃😃
cocastic alivyo andika utasema yeye ndo principal wa collage ya afya udsm😂Anaota huyo
Wakiambiwa wasome wasicheze wanadhani wazazi wanatania
Duh inahitaji moyo sn aisee wew noma big up mkuuNimesoma comment zote Mimi kwangu hakuna tunayefanana hata.
Kwangu Iko hivi...!
Ndoto yangu ilikuwa kuwa daktari na sasa nimetimiza baada ya miaka kadhaa kupita sikukata tamaa kamwe niliamini ndoto yangu siku moja itatimia na sasa imetikia.
1.Kidato cha sita nilichaguliwa PCM badala ya PCB na shule nilichaguliwa haikuwa na tahasusi ya PCB baba alifariki nikiwa kidato cha tano nikakosa wa kunipambania nihame shule yenye tahasusi ya PCB .Ikabidi nikubali kuendelea na PCM
Kibwagizo "MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
2.PCM nikafaulu nikachaguliwa kusoma Electronics Engineering.Nikamaliza miaka minne wakati huo ndoto ya udaktari bado Ipo !
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
3.Nikapata kazi kama mhandisi wa vifaa tiba (Medical Electronics Engineer) ,wakati naendelea kufanya kazi nakatafu chuo cha diploma in clinical medicine ,Nilisoma huku ninafanya kazi ya uhandisi haikuwa rahisi lakini nilijinyima muda na starehe nyingine zote.
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
4.Uhandisi pamoja na kuwa ulikuwa unalipa lakini sikuwahi kuufurahi ,.Baada ya kumaliza diploma ya utabibu niliacha kazi ya uhandisi na kwenda serikalini na kuajiliwa kama" CLINICAL OFFICER"
Niliacha mshahara wa TSH 1.0M na kwenda kwenye mshahara wa TSH 0.5M
Wengi walinicheka sana na ndugu wengine waliniona tahira na wakaacha kuongea na Mimi ,.Wakasahau nilivyowalilia iliwanisaidia kuhamia shule yenye PCB wanakataa
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
5.Nikiwa kazini niliomba ruhusa ya kwenda kusoma MD (5yrs) wakati huo nina mwaka mmoja kazini kama AFISA TABIBU (CLINICAL OFFICER ).Afisa utumishi akaniambia hawezi kuniruhusu kwakuwa sijatimiza vigezo ,nikaambiwa nitoe shilingi milioni 1 aniruhusu .Nikaenda banki kukopa TSH 12M nikachukua TSH 1M nikampa Afisa utumishi .TSH 10M zote nikalipa ada ya miaka 2,miaka mingine iliyobaki nitajua mbele ya safari
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
6.Kwa shida sana MD nikamaliza ,nikaenda Internship nikarudi kazini nikapewa kwanza kuwa Mganga mfawidhi wa hospitali
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO
7.Kwa sasa ni PhD (candidate) , Neuroanatomy
Oya wew sio mtu mzr mkuu [emoji23][emoji23]Acha nibaki huku Mgonjwa akinishindwa tunamchinja tunafanya mboga
Kwa bachelor kwa sasa ni ngumu, kwa muongozo wa TCU bachelor degree wanaagalia diploma na advance. Cha kufanya kagonge Msc of Public Health, au Msc Biochemistry, na zingine nyingi.Hello habari
Nilikua nauliza mtu ambaye ana bachelor degree moja na Advanced level alisoma CBG anaeza soma bachelor ingine ya afya mfano pharmacy , Radiotherapy, MD etc?
And je cheti cha bachelor kinaeza saidia kwenye admission kutokana na hio CBG?
Inawezekana?
admission ya bachelor inategemea cheti cha a-level,Hello habari
Nilikua nauliza mtu ambaye ana bachelor degree moja na Advanced level alisoma CBG anaeza soma bachelor ingine ya afya mfano pharmacy , Radiotherapy, MD etc?
And je cheti cha bachelor kinaeza saidia kwenye admission kutokana na hio CBG?
Inawezekana?
Nina swali MD mwanamke anae tumia uzazi wa mpango (njiti) na hataki kutoa wakati anasumbuliwa sana na magonjwa hata painkiller hazifanyi kazi mnatumia njia zipi ?
Ungekuwa ulaya chap chap.. Ila hapa nchi ya maziwa na 🍯... Michakato mirefuHello habari
Nilikua nauliza mtu ambaye ana bachelor degree moja na Advanced level alisoma CBG anaeza soma bachelor ingine ya afya mfano pharmacy , Radiotherapy, MD etc?
And je cheti cha bachelor kinaeza saidia kwenye admission kutokana na hio CBG?
Inawezekana?
Bongo ndio kuna upuuzi huu.. mbele anasomaSasa 2 ya 10 ndo uende degree ya Pharm? Serious ni chuo gani unataka uende??
Jaribu kusoma uelewe alichomaanisha, hata ingekuwa huo u MD unaissue au hauna issue yy ni kitu alikipenda moyoni mwake na alisoma kuupa moyo wake amani na utulivu kuwa imekipata kitu alichokuwa akikihitaji... ndio maana walidiriki kukopa na kuhonga ili atimize haja ya moyo wake... unaposema MD haina issue ni kwa upande wako sio kwa mwingine. Kila mtu afanye kile anachokipenda kwa uwezo wake Kila mtu na maisha yakeaisee watu wasije jaribu hii kitu kabisa miaka hii .
your very lucky few who made it..
MD MIAKA HII AMNA ISSUE AISEE. AMNA viJIWE, SPECIALIST KIBAO.
IN 10 YRS MAMBO YATAKUWA OVYO. GOVERNMENT EMPLOYEMENT YOU HAVE TO WAIT FOR 3-4 YEARS. NA KWENDA KUSOMA NI MORE Years. WATU WANAELIMU KUBWA SANA MTAANI. MD SIO COURSE YA KUINVEST. masters yake tu ada ni 10 plus na heavy weight
. ENGINEERING Is the way.