Kusomea Bachelor Degree ingine

Kusomea Bachelor Degree ingine

Dah hongera broh ila itakuwa ulitumia mda mwingi kusoma but kitu kizur ulikuwa kwenye system imekuwa rahis kuliko hayo mambo ufanye hauko kwenye system wallah utaja kufa kwa presha trust me ukiwa kwenye system unaweza soma chochote ukipendacho
Usipotoshe ,kwenye system nimeingia baada ya kupata Clinical medicine ambayo ni hatua ya mwisho ya kufikia lengo.Asilimia 70 ya kutafuta ndoto yangu nimetimiza nikiwa nje ya mfumo
 
Usipotoshe ,kwenye system nimeingia baada ya kupata Clinical medicine ambayo ni hatua ya mwisho ya kufikia lengo.Asilimia 70 ya kutafuta ndoto yangu nimetimiza nikiwa nje ya mfumo
Sasa mkuu mimi na hii CBG nianzie wapi

Diploma tena?? Au foundation course ?
 
Nimesoma comment zote Mimi kwangu hakuna tunayefanana hata.
Kwangu Iko hivi...!
Ndoto yangu ilikuwa kuwa daktari na sasa nimetimiza baada ya miaka kadhaa kupita sikukata tamaa kamwe niliamini ndoto yangu siku moja itatimia na sasa imetikia.

1.Kidato cha sita nilichaguliwa PCM badala ya PCB na shule nilichaguliwa haikuwa na tahasusi ya PCB baba alifariki nikiwa kidato cha tano nikakosa wa kunipambania nihame shule yenye tahasusi ya PCB .Ikabidi nikubali kuendelea na PCM
Kibwagizo "MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

2.PCM nikafaulu nikachaguliwa kusoma Electronics Engineering.Nikamaliza miaka minne wakati huo ndoto ya udaktari bado Ipo !
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

3.Nikapata kazi kama mhandisi wa vifaa tiba (Medical Electronics Engineer) ,wakati naendelea kufanya kazi nakatafu chuo cha diploma in clinical medicine ,Nilisoma huku ninafanya kazi ya uhandisi haikuwa rahisi lakini nilijinyima muda na starehe nyingine zote.
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
4.Uhandisi pamoja na kuwa ulikuwa unalipa lakini sikuwahi kuufurahi ,.Baada ya kumaliza diploma ya utabibu niliacha kazi ya uhandisi na kwenda serikalini na kuajiliwa kama" CLINICAL OFFICER"
Niliacha mshahara wa TSH 1.0M na kwenda kwenye mshahara wa TSH 0.5M
Wengi walinicheka sana na ndugu wengine waliniona tahira na wakaacha kuongea na Mimi ,.Wakasahau nilivyowalilia iliwanisaidia kuhamia shule yenye PCB wanakataa
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
5.Nikiwa kazini niliomba ruhusa ya kwenda kusoma MD (5yrs) wakati huo nina mwaka mmoja kazini kama AFISA TABIBU (CLINICAL OFFICER ).Afisa utumishi akaniambia hawezi kuniruhusu kwakuwa sijatimiza vigezo ,nikaambiwa nitoe shilingi milioni 1 aniruhusu .Nikaenda banki kukopa TSH 12M nikachukua TSH 1M nikampa Afisa utumishi .TSH 10M zote nikalipa ada ya miaka 2,miaka mingine iliyobaki nitajua mbele ya safari
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

6.Kwa shida sana MD nikamaliza ,nikaenda Internship nikarudi kazini nikapewa kwanza kuwa Mganga mfawidhi wa hospitali

"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO

7.Kwa sasa ni PhD (candidate) , Neuroanatomy
Hongera sana mkuu, humu wapo kukatishana tamaa tu.

Na ndivyo tulivyo ngozi nyeusi tunakosa uwezo wa kutambua na kuthamini mawazo, haki, uhuru na ndoto za mtu mwingine.

Ndio maana viongozi wetu wakipata nafasi basi wanajikuta miungu watu, hawathamini mawazo au haki za watu.
 
Nimesoma comment zote Mimi kwangu hakuna tunayefanana hata.
Kwangu Iko hivi...!
Ndoto yangu ilikuwa kuwa daktari na sasa nimetimiza baada ya miaka kadhaa kupita sikukata tamaa kamwe niliamini ndoto yangu siku moja itatimia na sasa imetikia.

1.Kidato cha sita nilichaguliwa PCM badala ya PCB na shule nilichaguliwa haikuwa na tahasusi ya PCB baba alifariki nikiwa kidato cha tano nikakosa wa kunipambania nihame shule yenye tahasusi ya PCB .Ikabidi nikubali kuendelea na PCM
Kibwagizo "MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

2.PCM nikafaulu nikachaguliwa kusoma Electronics Engineering.Nikamaliza miaka minne wakati huo ndoto ya udaktari bado Ipo !
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

3.Nikapata kazi kama mhandisi wa vifaa tiba (Medical Electronics Engineer) ,wakati naendelea kufanya kazi nakatafu chuo cha diploma in clinical medicine ,Nilisoma huku ninafanya kazi ya uhandisi haikuwa rahisi lakini nilijinyima muda na starehe nyingine zote.
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
4.Uhandisi pamoja na kuwa ulikuwa unalipa lakini sikuwahi kuufurahi ,.Baada ya kumaliza diploma ya utabibu niliacha kazi ya uhandisi na kwenda serikalini na kuajiliwa kama" CLINICAL OFFICER"
Niliacha mshahara wa TSH 1.0M na kwenda kwenye mshahara wa TSH 0.5M
Wengi walinicheka sana na ndugu wengine waliniona tahira na wakaacha kuongea na Mimi ,.Wakasahau nilivyowalilia iliwanisaidia kuhamia shule yenye PCB wanakataa
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
5.Nikiwa kazini niliomba ruhusa ya kwenda kusoma MD (5yrs) wakati huo nina mwaka mmoja kazini kama AFISA TABIBU (CLINICAL OFFICER ).Afisa utumishi akaniambia hawezi kuniruhusu kwakuwa sijatimiza vigezo ,nikaambiwa nitoe shilingi milioni 1 aniruhusu .Nikaenda banki kukopa TSH 12M nikachukua TSH 1M nikampa Afisa utumishi .TSH 10M zote nikalipa ada ya miaka 2,miaka mingine iliyobaki nitajua mbele ya safari
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

6.Kwa shida sana MD nikamaliza ,nikaenda Internship nikarudi kazini nikapewa kwanza kuwa Mganga mfawidhi wa hospitali

"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO

7.Kwa sasa ni PhD (candidate) , Neuroanatomy
Aseeeeeh miaka 10 kwa Degree 2 Tofauti. Hongera sanaaa, [emoji122][emoji122]
 
Nimesoma comment zote Mimi kwangu hakuna tunayefanana hata.
Kwangu Iko hivi...!
Ndoto yangu ilikuwa kuwa daktari na sasa nimetimiza baada ya miaka kadhaa kupita sikukata tamaa kamwe niliamini ndoto yangu siku moja itatimia na sasa imetikia.

1.Kidato cha sita nilichaguliwa PCM badala ya PCB na shule nilichaguliwa haikuwa na tahasusi ya PCB baba alifariki nikiwa kidato cha tano nikakosa wa kunipambania nihame shule yenye tahasusi ya PCB .Ikabidi nikubali kuendelea na PCM
Kibwagizo "MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

2.PCM nikafaulu nikachaguliwa kusoma Electronics Engineering.Nikamaliza miaka minne wakati huo ndoto ya udaktari bado Ipo !
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

3.Nikapata kazi kama mhandisi wa vifaa tiba (Medical Electronics Engineer) ,wakati naendelea kufanya kazi nakatafu chuo cha diploma in clinical medicine ,Nilisoma huku ninafanya kazi ya uhandisi haikuwa rahisi lakini nilijinyima muda na starehe nyingine zote.
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
4.Uhandisi pamoja na kuwa ulikuwa unalipa lakini sikuwahi kuufurahi ,.Baada ya kumaliza diploma ya utabibu niliacha kazi ya uhandisi na kwenda serikalini na kuajiliwa kama" CLINICAL OFFICER"
Niliacha mshahara wa TSH 1.0M na kwenda kwenye mshahara wa TSH 0.5M
Wengi walinicheka sana na ndugu wengine waliniona tahira na wakaacha kuongea na Mimi ,.Wakasahau nilivyowalilia iliwanisaidia kuhamia shule yenye PCB wanakataa
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
5.Nikiwa kazini niliomba ruhusa ya kwenda kusoma MD (5yrs) wakati huo nina mwaka mmoja kazini kama AFISA TABIBU (CLINICAL OFFICER ).Afisa utumishi akaniambia hawezi kuniruhusu kwakuwa sijatimiza vigezo ,nikaambiwa nitoe shilingi milioni 1 aniruhusu .Nikaenda banki kukopa TSH 12M nikachukua TSH 1M nikampa Afisa utumishi .TSH 10M zote nikalipa ada ya miaka 2,miaka mingine iliyobaki nitajua mbele ya safari
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

6.Kwa shida sana MD nikamaliza ,nikaenda Internship nikarudi kazini nikapewa kwanza kuwa Mganga mfawidhi wa hospitali

"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO

7.Kwa sasa ni PhD (candidate) , Neuroanatomy
Hii ndio maana halisi ya Maisha Safari
✍️
 
Anhaa nina Bsc in Nutrition pia , je kusomea bachelor ingine tajwa hapo juu haiwezekani?
Bora ulisoma science maana Kiswahili ungepata F. Nikiangalia sentensi zako nakuta makosa mengi "ingine?" Umelirudia mara nyingi ila naweza kujua unakotokea wameharubu sana Kiswahili. Huo mkoa siku hizi wamehalalisha neno "embu", nyingi imekuwa "mingi" n.k
 
Nimesoma comment zote Mimi kwangu hakuna tunayefanana hata.
Kwangu Iko hivi...!
Ndoto yangu ilikuwa kuwa daktari na sasa nimetimiza baada ya miaka kadhaa kupita sikukata tamaa kamwe niliamini ndoto yangu siku moja itatimia na sasa imetikia.

1.Kidato cha sita nilichaguliwa PCM badala ya PCB na shule nilichaguliwa haikuwa na tahasusi ya PCB baba alifariki nikiwa kidato cha tano nikakosa wa kunipambania nihame shule yenye tahasusi ya PCB .Ikabidi nikubali kuendelea na PCM
Kibwagizo "MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

2.PCM nikafaulu nikachaguliwa kusoma Electronics Engineering.Nikamaliza miaka minne wakati huo ndoto ya udaktari bado Ipo !
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

3.Nikapata kazi kama mhandisi wa vifaa tiba (Medical Electronics Engineer) ,wakati naendelea kufanya kazi nakatafu chuo cha diploma in clinical medicine ,Nilisoma huku ninafanya kazi ya uhandisi haikuwa rahisi lakini nilijinyima muda na starehe nyingine zote.
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
4.Uhandisi pamoja na kuwa ulikuwa unalipa lakini sikuwahi kuufurahi ,.Baada ya kumaliza diploma ya utabibu niliacha kazi ya uhandisi na kwenda serikalini na kuajiliwa kama" CLINICAL OFFICER"
Niliacha mshahara wa TSH 1.0M na kwenda kwenye mshahara wa TSH 0.5M
Wengi walinicheka sana na ndugu wengine waliniona tahira na wakaacha kuongea na Mimi ,.Wakasahau nilivyowalilia iliwanisaidia kuhamia shule yenye PCB wanakataa
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
5.Nikiwa kazini niliomba ruhusa ya kwenda kusoma MD (5yrs) wakati huo nina mwaka mmoja kazini kama AFISA TABIBU (CLINICAL OFFICER ).Afisa utumishi akaniambia hawezi kuniruhusu kwakuwa sijatimiza vigezo ,nikaambiwa nitoe shilingi milioni 1 aniruhusu .Nikaenda banki kukopa TSH 12M nikachukua TSH 1M nikampa Afisa utumishi .TSH 10M zote nikalipa ada ya miaka 2,miaka mingine iliyobaki nitajua mbele ya safari
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

6.Kwa shida sana MD nikamaliza ,nikaenda Internship nikarudi kazini nikapewa kwanza kuwa Mganga mfawidhi wa hospitali

"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO

7.Kwa sasa ni PhD (candidate) , Neuroanatomy

Some real life iron balls!!
 
Nimesoma comment zote Mimi kwangu hakuna tunayefanana hata.
Kwangu Iko hivi...!
Ndoto yangu ilikuwa kuwa daktari na sasa nimetimiza baada ya miaka kadhaa kupita sikukata tamaa kamwe niliamini ndoto yangu siku moja itatimia na sasa imetikia.

1.Kidato cha sita nilichaguliwa PCM badala ya PCB na shule nilichaguliwa haikuwa na tahasusi ya PCB baba alifariki nikiwa kidato cha tano nikakosa wa kunipambania nihame shule yenye tahasusi ya PCB .Ikabidi nikubali kuendelea na PCM
Kibwagizo "MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

2.PCM nikafaulu nikachaguliwa kusoma Electronics Engineering.Nikamaliza miaka minne wakati huo ndoto ya udaktari bado Ipo !
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

3.Nikapata kazi kama mhandisi wa vifaa tiba (Medical Electronics Engineer) ,wakati naendelea kufanya kazi nakatafu chuo cha diploma in clinical medicine ,Nilisoma huku ninafanya kazi ya uhandisi haikuwa rahisi lakini nilijinyima muda na starehe nyingine zote.
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
4.Uhandisi pamoja na kuwa ulikuwa unalipa lakini sikuwahi kuufurahi ,.Baada ya kumaliza diploma ya utabibu niliacha kazi ya uhandisi na kwenda serikalini na kuajiliwa kama" CLINICAL OFFICER"
Niliacha mshahara wa TSH 1.0M na kwenda kwenye mshahara wa TSH 0.5M
Wengi walinicheka sana na ndugu wengine waliniona tahira na wakaacha kuongea na Mimi ,.Wakasahau nilivyowalilia iliwanisaidia kuhamia shule yenye PCB wanakataa
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"
5.Nikiwa kazini niliomba ruhusa ya kwenda kusoma MD (5yrs) wakati huo nina mwaka mmoja kazini kama AFISA TABIBU (CLINICAL OFFICER ).Afisa utumishi akaniambia hawezi kuniruhusu kwakuwa sijatimiza vigezo ,nikaambiwa nitoe shilingi milioni 1 aniruhusu .Nikaenda banki kukopa TSH 12M nikachukua TSH 1M nikampa Afisa utumishi .TSH 10M zote nikalipa ada ya miaka 2,miaka mingine iliyobaki nitajua mbele ya safari
"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO"

6.Kwa shida sana MD nikamaliza ,nikaenda Internship nikarudi kazini nikapewa kwanza kuwa Mganga mfawidhi wa hospitali

"MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO

7.Kwa sasa ni PhD (candidate) , Neuroanatomy
Form six ulipiga ngapi PCM?
 
Hello habari

Nilikua nauliza mtu ambaye ana bachelor degree moja na Advanced level alisoma CBG anaeza soma bachelor ingine ya afya mfano pharmacy , Radiotherapy, MD etc?

And je cheti cha bachelor kinaeza saidia kwenye admission kutokana na hio CBG?

Inawezekana?
Bila Physics sahau fani yoyte ya utabibu km MD, Pharmacy, Nursing, Lab. Technologist, etc
 
Altitude = attitude
Mbona kama una negative altitude alikwambia haiwezekani ni nani?Siyo lazima atumie cheti chake cha BVM njia ziko nyingi za kufikia ndoto .Mimi na Engineering na PCM yangu nimeweza yeye Bachelor of vertenary medicine (BVM) na CBG yake atashindwa kipi
 
Kama bado hujafika miaka 30 unaweza anza degree nyingine kabisa na mambo yakawa poa. Life starts at 40.
 
Back
Top Bottom