Kusomea Bachelor Degree ingine

na mpango wa kusoma master ya public health
 
Kwa anaehitaji kufanyiwa application (Maombi):

1. Maombi ya mikopo (mkopo) ya elimu ya juu 2023/2024 (heslb) uzoefu upo wa kutosha.

2. Maombi ya Vyuo vikuu na vya kati (online)

3. Joining instructions (maelekezo ya kujiunga) za vyuo vikuu na vya kati pia zinapatikana.

WhatsApp: 0620523897
 
Una uhakika nilikua nacheza 😩😩😃😃😃
Pass mark ulizopata zinaonyesha

Mkulima hupimwa kwa kilimo kikubwa analima na mwanafunzi serious hupimwa kwa marks anapata sio kwa ukubwa wa begi anabeba mgongoni au uniform za shule anavaa

Marks zako hazionyeshi kama ulipania kusoma ziko chini mno kwa fani unaomba
 
Duh inahitaji moyo sn aisee wew noma big up mkuu
 
Kwa bachelor kwa sasa ni ngumu, kwa muongozo wa TCU bachelor degree wanaagalia diploma na advance. Cha kufanya kagonge Msc of Public Health, au Msc Biochemistry, na zingine nyingi.
 
admission ya bachelor inategemea cheti cha a-level,
MD ni lazima pcb kwa guidelines za sasahivi labda bachelor environmental health science
 
Nina swali MD mwanamke anae tumia uzazi wa mpango (njiti) na hataki kutoa wakati anasumbuliwa sana na magonjwa hata painkiller hazifanyi kazi mnatumia njia zipi ?

Ajaribu kitanzi! Maana kijiti kina hormone nyingi kuliko copper ya kitanzi.
 
Ungekuwa ulaya chap chap.. Ila hapa nchi ya maziwa na 🍯... Michakato mirefu
 
Jaribu kusoma uelewe alichomaanisha, hata ingekuwa huo u MD unaissue au hauna issue yy ni kitu alikipenda moyoni mwake na alisoma kuupa moyo wake amani na utulivu kuwa imekipata kitu alichokuwa akikihitaji... ndio maana walidiriki kukopa na kuhonga ili atimize haja ya moyo wake... unaposema MD haina issue ni kwa upande wako sio kwa mwingine. Kila mtu afanye kile anachokipenda kwa uwezo wake Kila mtu na maisha yake
 
Mimi siku zote napenda kujiweka katika nafasi ya mtoa uzi. Hivyo, nikuulize unatamani kufanya hivyo kwa msukumo upi? Wa kupata malipo mazuri au kwa sababu ya passion?

Kama jibu ni kwa sababu ya passion basi utalazimika kuanzia Diploma. Kisha uingie Shahada nk.

Kama jibu ni kwa sababu ya hela na Status, piga chini mpango wako.

Anyway, karibu sana katika ulimwengu wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…