Kusomea Bachelor Degree ingine

Kusomea Bachelor Degree ingine

Unasoma tu, as you said its all about dreams and future forecasting on which area itakua na opportunities!

Watu tunasoma hata masters 3 tofauti!
😃😃😃 masters 3??
 
Thank you 😘
Mimi siku zote napenda kujiweka katika nafasi ya mtoa uzi. Hivyo, nikuulize unatamani kufanya hivyo kwa msukumo upi? Wa kupata malipo mazuri au kwa sababu ya passion?

Kama jibu ni kwa sababu ya passion basi utalazimika kuanzia Diploma. Kisha uingie Shahada nk.

Kama jibu ni kwa sababu ya hela na Status, piga chini mpango wako.

Anyway, karibu sana katika ulimwengu wetu.
 
Hello habari

Nilikua nauliza mtu ambaye ana bachelor degree moja na Advanced level alisoma CBG anaeza soma bachelor ingine ya afya mfano pharmacy , Radiotherapy, MD etc?

And je cheti cha bachelor kinaeza saidia kwenye admission kutokana na hio CBG?

Inawezekana?
Kama umesoma Bsc with first degree unaweza apply medicine all the best
 
admission ya bachelor inategemea cheti cha a-level,
MD ni lazima pcb kwa guidelines za sasahivi labda bachelor environmental health science
Hapan tcu kama una bachelor ya chemistry au una bachelor ya bioz unaqualify kuanza md inamanisha kwamba unapiga Md kama umepiga bachelor kati ya kemia au biozi. Na unakuwa na sifa za kujiunga md au hamfatilii wazew
 
Hapan tcu kama una bachelor ya chemistry au una bachelor ya bioz unaqualify kuanza md inamanisha kwamba unapiga Md kama umepiga bachelor kati ya kemia au biozi. Na unakuwa na sifa za kujiunga md au hamfatilii wazew
Screenshot au piga picha mahali tcu walipoandika hiyo qualification
 
Hello habari

Nilikua nauliza mtu ambaye ana bachelor degree moja na Advanced level alisoma CBG anaeza soma bachelor ingine ya afya mfano pharmacy , Radiotherapy, MD etc?

And je cheti cha bachelor kinaeza saidia kwenye admission kutokana na hio CBG?

Inawezekana?
2019 kurudi nyuma ilikuwa inawezakana kusoma degree ingine yeyote ya afya iwapo una degree ya physics, chemistry, mathematics, biology na zoology. Ndio itakayotumika kama entry aualification.

Mimi 2019 niliruhusiwa kusoma pharmacy kwa kutumia bsc mathematics, Kwa sasa sidhani kama kuna huo utaratibu nahisi waliufuta.
 
Back
Top Bottom