GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Feb 17, 2025 #1 Kila la Kheri wale ambao Jumatano hii wana Jukumu la Kitaifa na kuanzia Wiki mbili zijazo watakuwa na Jukumu la Nje.
Kila la Kheri wale ambao Jumatano hii wana Jukumu la Kitaifa na kuanzia Wiki mbili zijazo watakuwa na Jukumu la Nje.
hydroxo JF-Expert Member Joined Oct 19, 2015 Posts 3,553 Reaction score 7,334 Feb 17, 2025 #2 GENTAMYCINE said: Kila la Kheri wale ambao Jumatano hii wana Jukumu la Kitaifa na kuanzia Wiki mbili zijazo watakuwa na Jukumu la Nje. Click to expand... Kama hawara mlaini wetu Simba anavyotupa points zetu tatu kila tukikutana. Hajui kubana kabisa.
GENTAMYCINE said: Kila la Kheri wale ambao Jumatano hii wana Jukumu la Kitaifa na kuanzia Wiki mbili zijazo watakuwa na Jukumu la Nje. Click to expand... Kama hawara mlaini wetu Simba anavyotupa points zetu tatu kila tukikutana. Hajui kubana kabisa.
M Mkono Mmoja JF-Expert Member Joined Jan 26, 2019 Posts 3,359 Reaction score 6,568 Feb 17, 2025 #3 Mtoto wa kinyaturu kashagawa utamu kwa mzaramo
muafi JF-Expert Member Joined Oct 6, 2015 Posts 2,557 Reaction score 6,128 Feb 17, 2025 #4 Nyie simba mnataka muwe mnafungwa pekeyenu na Yanga acheni wivu basi
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Feb 17, 2025 Thread starter #5 hydroxo said: Kama hawara mlaini wetu Simba anavyotupa points zetu tatu kila tukikutana. Hajui kubana kabisa. Click to expand... Nimecheka mpaka basi....!!!
hydroxo said: Kama hawara mlaini wetu Simba anavyotupa points zetu tatu kila tukikutana. Hajui kubana kabisa. Click to expand... Nimecheka mpaka basi....!!!
Ubena Zomozi JF-Expert Member Joined Jun 19, 2022 Posts 1,608 Reaction score 1,286 Feb 17, 2025 #6 GENTAMYCINE said: Nimecheka mpaka basi....!!! Click to expand... Hohoho ho ho ho oooo