Kusudi la Mungu na uongozi wa Tanzania-simameni katika kweli, haki na toba-msiogope

Kusudi la Mungu na uongozi wa Tanzania-simameni katika kweli, haki na toba-msiogope

mwanamichakato

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
1,188
Reaction score
1,090
Mwenyezi Mungu ni mwingi wa uweza mkuu, Mwenyezi Mungu ni mkuu mno. Aliwatambua na kuwateua hata kabla hamjazaliwa.

Naamini hakuna kiongozi yeyote anapata uongozi kwa mapenzi yake mwenyewe bali makusudi ya Mwenyezi Mungu muumba mbingu na nchi. Uongozi ni fulushi zito mnoo ambalo kama si kwa msaada wa Mwenyezi Mungu hakuna awezae kufanikiwa.

Wananchi tuna kila sababu ya kuwaombea rehema, fadhili, toba na neema viongozi wetu hasa wa ngazi kuu kiutawala.

Viongozi wanapitia magumu mengi, lawama nyingi, mateso mengi ,manung’uniko mengi ,Vikwazo vingi, Fitina, Faraka,Wivu na husuda nyingi mnoo..Si kazi rahisi kuwa Rais, Makamu wa Raisi, Waziri Mkuu, Jaji mkuu, Spika wa Bunge na

Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema awawezeshe viongozi wetu walioteuriwa na Mungu ktk ngazi zote za uongozi wetu kufanya utendaji, maamuzi ya haki na hekima kwa manufaa ya nchi na taifa.

Miiko ya uongozi ina maudhui sahihi sana ktk kuhakikisha maamuzi ya viongozi wetu ktk nyanja mbalimbali yanafanyika kwa maslahi mapana ya nchi na taifa. Miiko ya uongozi yahusisha utakaso na utakatifu wa kisiasa.

Si jambo la kupuuza (maandiko matakatifu kupitia kitabu cha Nabii Amosi 5:21) yanasema mwenyezi Mungu anafurahishwa sana na haki, kweli na utakatifu wa viongozi.

Ni wakati sasa wa viongozi wetu wakuu kumuomba mwenyezi Mungu awajalie ujasiri na hekima ya kufanya maamuzi sambamba na Mapenzi yake Mwenyezi Mungu, miongozo ya kikatiba.

Taifa letu lina upendeleo sana, Mwenyezi Mungu ana kusudi kubwa na taifa letu. Amehifadhi tunu nyingi na utajiri mkubwa mnoo ndani ya nchi yetu. Hakika sisi sio maskini kabisa.

Tu matajiri mnoo ndio maana wakoloni wapya na wa zamani wanatumendea mate kila leo..

Wakoloni wapo tayari watuvuruge kupitia kinachoitwa demokrasia, Haki za binadamu na misaada yenye masharti ya kutufanya watumwa na maskini wa fikra.

Viongozi nyenyekeeni mbele za Mungu atawapa majibu ya Mambo magumu msioyajua na kuwavusha ktk nyakati ngumu na zito ambazo kwa akiri zenu hamuwezi.

Viongozi msibebe utukufu wa Mungu wakati wowote, Mwenyezi Mungu ana wivu mnoo na utukufu wake.

Msiache kuwa wanyenyekevu, Msiache kufanya dua na kupiga magoti mbele zake. Ulinzi wake kwenu hakuna mwanadamu awezae kuushinda. Simameni ktk kusudi.

Nawakirisha kwa unyenyekevu
 
Mwenyezi Mungu ni mwingi wa uweza mkuu,Mwenyezi Mungu ni mkuu mnoo..Aliwatambua na kuwateua hata kabla hamjazaliwa..

Naamini hakuna kiongozi yeyote anapata uongozi kwa mapenzi yake mwenyewe bali makusudi ya Mwenyezi Mungu muumba mbingu na nchi..Uongozi ni fulushi zito mnoo ambalo kama si kwa msaada wa Mwenyezi Mungu hakuna awezae kufanikiwa..Wananchi tuna kila sababu ya kuwaombea rehema,fadhili,toba na neema viongozi wetu hasa wa ngazi kuu kiutawala..

Viongozi wanapitia magumu mengi,lawama nyingi,mateso mengi ,manung’uniko mengi ,Vikwazo vingi,Fitina,Faraka,Wivu na husuda nyingi mnoo..Si kazi rahisi kuwa Rais,Makamu wa Raisi,Waziri Mkuu,Jaji mkuu,Spika wa Bunge na

Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema awawezeshe viongozi wetu walioteuriwa na Mungu ktk ngazi zote za uongozi wetu kufanya utendaji,maamuzi ya haki na hekima kwa manufaa ya nchi na taifa..

Miiko ya uongozi ina maudhui sahihi sana ktk kuhakikisha maamuzi ya viongozi wetu ktk nyanja mbalimbali yanafanyika kwa maslahi mapana ya nchi na taifa..Miiko ya uongozi yahusisha utakaso na utakatifu wa kisiasa..Si jambo la kupuuza (maandiko matakatifu kupitia kitabu cha Nabii Amosi 5:21) yanasema mwenyezi Mungu anafurahishwa sana na haki,kweli na utakatifu wa viongozi..

Ni wakati sasa wa viongozi wetu wakuu kumuomba mwenyezi Mungu awajalie ujasiri na hekima ya kufanya maamuzi sambamba na Mapenzi yake Mwenyezi Mungu,miongozo ya kikatiba..

Taifa letu lina upendeleo sana,Mwenyezi Mungu ana kusudi kubwa na taifa letu..Amehifadhi tunu nyingi na utajiri mkubwa mnoo ndani ya nchi yetu..Hakika sisi sio maskini kabisa..Tu matajiri mnoo ndio maana wakoloni wapya na wa zamani wanatumendea mate kila leo..

Wakoloni wapo tayari watuvuruge kupitia kinachoitwa demokrasia,Haki za binadamu na misaada yenye masharti ya kutufanya watumwa na maskini wa fikra..Viongozi nyenyekeeni mbele za Mungu atawapa majibu ya Mambo magumu msioyajua na kuwavusha ktk nyakati ngumu na zito ambazo kwa akiri zenu hamuwezi..

Viongozi msibebe utukufu wa Mungu wakati wowote,Mwenyezi Mungu ana wivu mnoo na utukufu wake..Msiache kuwa wanyenyekevu,Msiache kufanya dua na kupiga magoti mbele zake..Ulinzi wake kwenu hakuna mwanadamu awezae kuushinda..Simameni ktk kusudi..

Nawakirisha kwa unyenyekevu
Unapigia mbuzi Gita
 
Mwenyezi Mungu ni mwingi wa uweza mkuu,Mwenyezi Mungu ni mkuu mnoo. Aliwatambua na kuwateua hata kabla hamjazaliwa.

Naamini hakuna kiongozi yeyote anapata uongozi kwa mapenzi yake mwenyewe bali makusudi ya Mwenyezi Mungu muumba mbingu na nchi. Uongozi ni fulushi zito mnoo ambalo kama si kwa msaada wa Mwenyezi Mungu hakuna awezae kufanikiwa.

Wananchi tuna kila sababu ya kuwaombea rehema, fadhili, toba na neema viongozi wetu hasa wa ngazi kuu kiutawala..

Viongozi wanapitia magumu mengi, lawama nyingi, mateso mengi ,manung’uniko mengi ,Vikwazo vingi, Fitina, Faraka,Wivu na husuda nyingi mnoo..Si kazi rahisi kuwa Rais, Makamu wa Raisi, Waziri Mkuu, Jaji mkuu, Spika wa Bunge na

Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema awawezeshe viongozi wetu walioteuriwa na Mungu ktk ngazi zote za uongozi wetu kufanya utendaji, maamuzi ya haki na hekima kwa manufaa ya nchi na taifa..

Miiko ya uongozi ina maudhui sahihi sana ktk kuhakikisha maamuzi ya viongozi wetu ktk nyanja mbalimbali yanafanyika kwa maslahi mapana ya nchi na taifa. Miiko ya uongozi yahusisha utakaso na utakatifu wa kisiasa.

Si jambo la kupuuza (maandiko matakatifu kupitia kitabu cha Nabii Amosi 5:21) yanasema mwenyezi Mungu anafurahishwa sana na haki, kweli na utakatifu wa viongozi..

Ni wakati sasa wa viongozi wetu wakuu kumuomba mwenyezi Mungu awajalie ujasiri na hekima ya kufanya maamuzi sambamba na Mapenzi yake Mwenyezi Mungu, miongozo ya kikatiba.

Taifa letu lina upendeleo sana, Mwenyezi Mungu ana kusudi kubwa na taifa letu. Amehifadhi tunu nyingi na utajiri mkubwa mnoo ndani ya nchi yetu. Hakika sisi sio maskini kabisa.

Tu matajiri mnoo ndio maana wakoloni wapya na wa zamani wanatumendea mate kila leo..

Wakoloni wapo tayari watuvuruge kupitia kinachoitwa demokrasia, Haki za binadamu na misaada yenye masharti ya kutufanya watumwa na maskini wa fikra

Viongozi nyenyekeeni mbele za Mungu atawapa majibu ya Mambo magumu msioyajua na kuwavusha ktk nyakati ngumu na zito ambazo kwa akiri zenu hamuwezi.

Viongozi msibebe utukufu wa Mungu wakati wowote, Mwenyezi Mungu ana wivu mnoo na utukufu wake.

Msiache kuwa wanyenyekevu, Msiache kufanya dua na kupiga magoti mbele zake. Ulinzi wake kwenu hakuna mwanadamu awezae kuushinda. Simameni ktk kusudi.

Nawakirisha kwa unyenyekevu
Si kila kiongozi yupo hapo kwa msaada au mapenzi ya Mungu..kiongozi anayepatikana kwa wizi wa kura na kasoro nyingi kwenye uchaguzi utasema ni mapenzi ya Mungu kiongozi apatikane kwa njia hiyo? Soma vizuri Neno, usikariri mstari/mistari michache kubeba vile unataka wewe usikike.
 
Tusichoke kuomba maana Tz tunakosa Kambi ya Upinzani iliyo Makini..!

Kwa Sasa Buyu La Asali Linalambwa na Wote matokeo yake sasa..

Wote wakipanda jukwaani ni 'SSH Oyeeee'...!oyeeee..
 
Si kila kiongozi yupo hapo kwa msaada au mapenzi ya Mungu..kiongozi anayepatikana kwa wizi wa kura na kasoro nyingi kwenye uchaguzi utasema ni mapenzi ya Mungu kiongozi apatikane kwa njia hiyo? Soma vizuri Neno, usikariri mstari/mistari michache kubeba vile unataka wewe usikike.
Ndugu

Ukifahamu mapana ya uwepo na utendaji kazi wa Mwenyezi Mungu kupitia maandiko yake matakatifu (Quran Tukufu,Biblia) waweza elewa nini namaanisha.

Viongozi hawachaguliwi na wanadamu..Mungu mwenyezi akikusudia hata wewe uwe kiongozi anaweza..Mungu aangalii umbo,elimu,wafuasi,kamati kuu,Chama wala rangi..(Rejea namna Yusuph alivyopewa ukuu ktk taifa la Misri toka kwenye kuuzwa na nduguze,Kusingiziwa kumbaka mke wa Raisi-Kufungwa Jela,Kutafsiri ndoto ya Raisi na kuoewa uwaziri mkuu..Kulivusha taifa na mataifa toka ktk njaa kwa miaka saba)…

Tafuta habari ya Mfalme Daudi (King David) baba wa Nabii Suleiman..Toka kwenye kuchunga ngombe na mbuzi hata kuwa mfalme mwenye nguvu ktk historia ya dunia..

Je wafahamu habari ya Nabii Musa? Alizaliwa nyakati watoto wa kiume wakiuwawa kwa amri ya Pharaoh..Alifichwa hakufichika..Mama yake akamtupa mtoni,binti Faraoh akiwa anaoga mtoni akamuokota akielea,Mama yake Musa akaenda kuomba kazi kwa Binti Faraoh akapata akamlea mwanae pasipo Farao kujua..wakati wa Mungu kumtua ukafika..akamtumia kutenda makusudi yake..

Etc..

Mwenyezi Mungu ana uwezo wa kushusha Malaika akawafanya watu,wakajiandikisha kupiga kura na wakapiga kura,akashinda amtakae ili kusudi lake litimie ktk nchi au taifa..

Sisi ni waja wake,Tunaishi kwa kusudi tu hapa duniani,Kwake wote tutarejea..Hakuna awezae kukwepa mkono wa mwenyezi Mungu..

Yeye ajua tusiojua,Yeye ni mwanzo na mwisho..hachunguziki na muweza wa yote..
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ndugu

Ukifahamu mapana ya uwepo na utendaji kazi wa Mwenyezi Mungu kupitia maandiko yake matakatifu (Quran Tukufu,Biblia) waweza elewa nini namaanisha.

Viongozi hawachaguliwi na wanadamu..Mungu mwenyezi akikusudia hata wewe uwe kiongozi anaweza..Mungu aangalii umbo,elimu,wafuasi,kamati kuu,Chama wala rangi..(Rejea namna Yusuph alivyopewa ukuu ktk taifa la Misri toka kwenye kuuzwa na nduguze,Kusingiziwa kumbaka mke wa Raisi-Kufungwa Jela,Kutafsiri ndoto ya Raisi na kuoewa uwaziri mkuu..Kulivusha taifa na mataifa toka ktk njaa kwa miaka saba)…

Tafuta habari ya Mfalme Daudi (King David) baba wa Nabii Suleiman..Toka kwenye kuchunga ngombe na mbuzi hata kuwa mfalme mwenye nguvu ktk historia ya dunia..

Je wafahamu habari ya Nabii Musa? Alizaliwa nyakati watoto wa kiume wakiuwawa kwa amri ya Pharaoh..Alifichwa hakufichika..Mama yake akamtupa mtoni,binti Faraoh akiwa anaoga mtoni akamuokota akielea,Mama yake Musa akaenda kuomba kazi kwa Binti Faraoh akapata akamlea mwanae pasipo Farao kujua..wakati wa Mungu kumtua ukafika..akamtumia kutenda makusudi yake..

Etc..

Mwenyezi Mungu ana uwezo wa kushusha Malaika akawafanya watu,wakajiandikisha kupiga kura na wakapiga kura,akashinda amtakae ili kusudi lake litimie ktk nchi au taifa..

Sisi ni waja wake,Tunaishi kwa kusudi tu hapa duniani,Kwake wote tutarejea..Hakuna awezae kukwepa mkono wa mwenyezi Mungu..

Yeye ajua tusiojua,Yeye ni mwanzo na mwisho..hachunguziki na muweza wa yote..
Nipe mfano pale ambapo mtu alijeruhi na pengine kuua watu ili awe kiongozi kwa sababu Mungu alimchagua apate uongozi kwa njia hiyo..kifupi tu!
 
Nipe mfano pale ambapo mtu alijeruhi na pengine kuua watu ili awe kiongozi kwa sababu Mungu alimchagua apate uongozi kwa njia hiyo..kifupi tu!
Ni wengi Sana

Tafuta habari za Samson ktk Biblia..Mfalme Daudi (Sababu za Kuzuiwa kujenga Hekalu la ibada)..

Tunapaswa kuheshimu Mamlaka zilizowekwa na Mwenyezi Mungu..Lipo kusudi kwa kila Mamlaka..Utawala..Viburi,dharau,kejeli dhidi ya mamlaka ni machukizo kwa Mwenyezi Mungu..

Mwenyezi Mungu akikusudia usife hata upigwe bomu la nyukria,Risasi 500..Hufi..Ulinzi wa Mungu kwetu wategemea jinsi gani tunaishi mapenzi yake..
 
Ni wengi Sana

Tafuta habari za Samson ktk Biblia..Mfalme Daudi (Sababu za Kuzuiwa kujenga Hekalu la ibada)..

Tunapaswa kuheshimu Mamlaka zilizowekwa na Mwenyezi Mungu..Lipo kusudi kwa kila Mamlaka..Utawala..Viburi,dharau,kejeli dhidi ya mamlaka ni machukizo kwa Mwenyezi Mungu..

Mwenyezi Mungu akikusudia usife hata upigwe bomu la nyukria,Risasi 500..Hufi..Ulinzi wa Mungu kwetu wategemea jinsi gani tunaishi mapenzi yake..
Hakuna ndiyo maana huwezi taja sura na mistari inayoleta mfano wa mtu yeyote kutumia njia haramu kupata uongozi halafu unaambia watu hii mamlaka imewekwa na Mungu..si mamlaka, au utawala au uongozi wote unawekwa na Mungu! na hivyo si sahihi kuambia watu watii mamlaka hata ile ambayo ipo mamlakani si kwa mapenzi ya Mungu..na inategemea kutii kwenye jambo gani, mfano, mamlaka ikikaa kimya kwa mambo ya ushoga na usagaji au kuelekeza watu wasijadili jambo hilo unadhani kauli yako ya kutii mamlaka ina mashiko? Jitahidi kuelewa kijana, acha kuimba kama kasuku. Halafu hizo mamlaka ni watu na siku zote shetani anawalenga watu hawa, Biblia ina mifano ya wafalme wengi ambao hawakufanya sawa na kusudi la Mungu, walifanya maovu, madaraka yalisababisha wafanye uovu na Mungu aliwaadhibu, soma kitabu cha wafalme I na 2 na mambo ya nyakati I na 2 utaona ninayosema, ili yakusaidie kuelewa!
 
Back
Top Bottom