Kusuka kwa Wamasai Basi ....

Kusuka kwa Wamasai Basi ....

Ninaimani ulithaminisha na saizi pia. hahaha
sio lilonipeleka hilo lengo langu kusukwa,na laitani angenambia wanaume kwanza nisinge kubali na hata Mumewangu
angejua mwanamme asinge kubali,nimejua baada ya kufika na alisha toa elfu 10 deposit jana yake ili waje mapema
wanisuke wamalize mapema..
 
harufu ningestahmili sababau wao nibinadamu lakini yale madudu kunigusa gusa mie mmmmm,halafu sasa ukisogea huku
liko ukirudi nyuma lipo,pembeni jengine linagusa bega yani it was BAD....

Bora umekimbia maana yale madudu yangeanza kukupa amsha amsha baadae ingekua balaa
 
Kwani mwanzoni kabla ya hiyo miaka kumi ulipokuwa unakwenda hali haikuwa hivyo, au umesahau wak=livyokuwa wanakugusagusa na madudu yao? Ingefaa urudi tena labda umesahau raha ulokuwa unaipata zamani. Halafu kwa nini mumeo alikukataza, kwani nae anajua kinachofanyika kwa wamasai?
Vile vile inavyoonekana shoga yako anapenda saaaana kuguswaguswa na madudu pia anapenda harufu ya kiume.
 
Mbona huwa unayanyonya ayo madudu kwani husikiagi harufu? ?
 
Kwani mwanzoni kabla ya hiyo miaka kumi ulipokuwa unakwenda hali haikuwa hivyo, au umesahau wak=livyokuwa wanakugusagusa na madudu yao? Ingefaa urudi tena labda umesahau raha ulokuwa unaipata zamani. Halafu kwa nini mumeo alikukataza, kwani nae anajua kinachofanyika kwa wamasai?
Vile vile inavyoonekana shoga yako anapenda saaaana kuguswaguswa na madudu pia anapenda harufu ya kiume.
Noomba usome vizuri,mumewangu hakutaka nisuke hata sikumoja sababu nywele zangu ndefu sana
Bora umekimbia maana yale madudu yangeanza kukupa amsha amsha baadae ingekua balaa
Mungu aninusuru,hili na jengine...
 
mmmm shosti Aibu naanzaje kusema maneno hayo? kua madudu yenu yafungeni,tena yanagusaaa marefuuuuuu ptuuuuu!!!
staki hata kukumbuka..
Ndio haiwezekani kuwabadilishia ili kuwapa vibamia uamuzi uliouchukua inabidi uheshimiwe.
 
Hongera sana kwa kuithamini ndoa yako ikiwemo na kuwa mbali na 'madudu' ya wengine.
Maisha marefu ya ndoa yako nakutakia.
 
Habari Wana MMU,
Naomba kuuliza Wanawake wenzangu,
Nilimuona Shogangu kasuka zile nywele za kimasai nikazipenda sanaa
sasa nikasema niende na kwakweli sijasuka nna miaka kama 10 sababu mr Hataki
This time nikamuomba akakubali baada ya miaka 10 ilikua kama bahati..
Kwakua nyewele zangu ndefu sikuhitaji rasta zakuongezea,haya shosti akanipitia
J"pili tukaenda kufika macho yakanitoka kumbe wasusi wanaume wa kimasai

nikamuliza mbona wanaume kasema ndio wanaojua wacha ushamba wako
haya akaongea nao nikaanza kusukwa mmmmm wamenizunguka Wamasai wa 5
sasa ule mkao wao yani wanakugusa na madudu yao huyu na wako busy kuongea kikwao
sielewi wanasema nini,shoga nae hayupo,mbaya zaid vikoi vyao vinanuka hatari,
nilistahmili kama nusu saa cm yangu ilipoita nikawambi waniache, nilipomaliza cm nikawambia
ntarudi baadae nikatoa elfu 20 nikasema nakuja waendele na mteja mwengine mpaka nikirejea
sikurejea tenaa...
Sasa niulize wadada mnaosuka ivi hii imenitokea mimi tuu au hawa wamasai ndio TABIA YAO?

Acha kuangaika mama, ulisha sema nyewele zako ni ndefu sasa unatafuta nini la ziada. Alafu hao wamasai watano walikuwa wanakusuka nyelewe za bila ya rasta?(nahisi kama umepika data)
 
Habari Wana MMU,
Naomba kuuliza Wanawake wenzangu,
Nilimuona Shogangu kasuka zile nywele za kimasai nikazipenda sanaa
sasa nikasema niende na kwakweli sijasuka nna miaka kama 10 sababu mr Hataki
This time nikamuomba akakubali baada ya miaka 10 ilikua kama bahati..
Kwakua nyewele zangu ndefu sikuhitaji rasta zakuongezea,haya shosti akanipitia
J"pili tukaenda kufika macho yakanitoka kumbe wasusi wanaume wa kimasai

nikamuliza mbona wanaume kasema ndio wanaojua wacha ushamba wako
haya akaongea nao nikaanza kusukwa mmmmm wamenizunguka Wamasai wa 5
sasa ule mkao wao yani wanakugusa na madudu yao huyu na wako busy kuongea kikwao
sielewi wanasema nini,shoga nae hayupo,mbaya zaid vikoi vyao vinanuka hatari,
nilistahmili kama nusu saa cm yangu ilipoita nikawambi waniache, nilipomaliza cm nikawambia
ntarudi baadae nikatoa elfu 20 nikasema nakuja waendele na mteja mwengine mpaka nikirejea
sikurejea tenaa...
Sasa niulize wadada mnaosuka ivi hii imenitokea mimi tuu au hawa wamasai ndio TABIA YAO?
Ulitaka vya rahisi nenda ndio saba. Mbona kuna mabinti wanasuka vizuri sana hizo nywele kindondoni ila bei yake ni ndefu ingawa unapendeza kweli. ukipenda vya rahisi ndio mambo kama hayo
 
Najaribu Ku imagine pale angekuwa ananyolewa mwanaume halafu kazun
gukwa na NDITO hao watano huku ngomosi ziko wazi hahaha nadhani hao ndito wangekuwa mamilionea hahahahah
 
Ulitaka vya rahisi nenda ndio saba. Mbona kuna mabinti wanasuka vizuri sana hizo nywele kindondoni ila bei yake ni ndefu ingawa unapendeza kweli. ukipenda vya rahisi ndio mambo kama hayo
Shosti Pesa haijakua Tatizo Alhamdulillah namshukuru mwenyezi mungu kwa hilo,ila yule shogangu ndio aliposuka huko kwa wamasai na mie hata saloon mara moja moja sana kwenda,hua tuna mdada anafanya kazi saloon anakuja kutufanyia
kila kitu nyumbani sasa sijui hata wanakosuka vizuri wapi,na ilitokea kama ajali tuu..
 
Najaribu Ku imagine pale angekuwa ananyolewa mwanaume halafu kazun
gukwa na NDITO hao watano huku ngomosi ziko wazi hahaha nadhani hao ndito wangekuwa mamilionea hahahahah
lol pangekua hapatoshiii.......
 
Back
Top Bottom