Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mshukuru Mungu kwa hao wa kike kwanza , muombe wa kiume, afu ujaribu kupata ushauri wa daktari...kila laheri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habar zenu wana jf ni saidieni ndugu zangu nifanyaje ili nipate mtoto wakiume kwasababu ninawatoto wa kike tu naombeni msaada
Anayetungisha mimba ya mtoto wa kiume au wa kike ni wewe baba! Sio mwanamke
Cha kufanya hakikisha siku ya ovulation unakutana na mkeo, mkiwa fresh kabisa. Nina imani mtakua na chance kubwa ya kutengeneza mtoto wa kiume
You're more likely to conceive a boy if... You have sex on the day of ovulation, as male sperm are thought to swim faster and reach the egg first. You reach orgasm before your partner, as this releases an alkaline fluid, thought to be more male-sperm friendly than the vagina's natural acidity.
mkiwa fresh kbs unamaanisha nn mkuu
We mwanamabadiliko tumia tafsidaKuna kifaa kinaitwa ovulation kiti, hiki ukinunua kina uwezo wa kuitambua siku ya ovulation. Ukimtomba mkeo siku ya ovulation utapata mtoto wa kiume
Mkuu marekebisho,umesema mbegu Y inaenda taratibu kitu ambacho si kweli Y ndo inayoenda fasta na kuwahi kufa kwa hiyo mtoto wa kiume ni exactly ovulation day kwa sababu Y itaenda mbio na kukuta yai linasubiria pale getin XY a boyJua kwanza cku za hatari za mke wako za kupata mimba....afu kuwa mchunguzi wa ute ute kabla hujamwingilia. ...cku ute ute ukiwa unavutika sana ndo muda sahihi wa kumuingilia. ..pia upende doggy style ukiwa una piz. .hii itasaidia kuzisukuma mbegu kwa ndani zaidi...maana sifa ya ya Y huwa linaenda taratibu sana compare na X yenye speed....pia acha kunywa viroba na pombe kali...finally hata usipopata wa kiume mshukuru Mungu kwa hao wa kike watakuja kukusaidia sana ..wa kiume co ajabu ukazaa jambazi au fisadi
Habar zenu wana jf ni saidieni ndugu zangu nifanyaje ili nipate mtoto wakiume kwasababu ninawatoto wa kike tu naombeni msaada
Kwa Ufafanuz Zaid Pga Cm 0786100772, 0757856336
Simple wangu, Wakati wa kulana mzigo Mkeo akalie koni. Hakuna zaidi ya hapo.Habar zenu wana jf ni saidieni ndugu zangu nifanyaje ili nipate mtoto wakiume kwasababu ninawatoto wa kike tu naombeni msaada
We mwanamabadiliko tumia tafsida
Habaru zenu wana Jf,
Nisaidieni ndugu zangu,
Nifanyaje ili nipate mtoto wa kiume kwasababu ninawatoto wa kike tu.
Naombeni msaada