Kutamani Kungonoka kila Dakika, Je, huu ni Ugonjwa?


Asante sana mkuu damian marijani.
Nitafuata na kuuzingatia ushauri wako.
 
Last edited by a moderator:
Wengine ndio washaona njia ya kumtaka Madame B kingono. Madame B chuja pumba na mchele!

Usijali mpendwa HP1.
Najua wanajifurahisha tu.
Hata hyo nitakuwa makini sana.
 
Last edited by a moderator:
Tafuta majani ya mpera chemsha na umix na tablesalt + manganis 2 + sodium + 2 spoon ya mkojo wako wa asubui then kunywa hiyo solution kwa Muda wa 7dayz na unjwe kila afta 6hrz

Serious mjombo's?
 
Last edited by a moderator:
Kama shemeji unamudu kukuhudumia kila mara unapomhitaji afanye hivyo, mie sioni kama ni tatizo! Kula vitu mama, ila kama hajiwezi lol, hii itakuwa hatari maana usijeparamia waume za watu ukaingia aibu mtaani!

Hahaha.
Haya bhana.
 

hapo ndo kuona tatizo na kulifanya fursa!!! Hongera sana!!
Ma dr wetu wa hapo MCHS, watampa vidonge na tiba mbadala awe makini
SP
 
Madame B Je unajua jina kamili la dawa hizo ulizotumia? Hata kama ni jina la kibiashara (trade name) achilia mbali jina halisi (generic name) itasaidia kupata dawa stahili!
 
Last edited by a moderator:
hapo ndo kuona tatizo na kulifanya fursa!!! Hongera sana!!
Ma dr wetu wa hapo MCHS, watampa vidonge na tiba mbadala awe makini
SP

Hahaha!
Umeona ee.
 
Madame B Je unajua jina kamili la dawa hizo ulizotumia? Hata kama ni jina la kibiashara (trade name) achilia mbali jina halisi (generic name) itasaidia kupata dawa stahili!

Kwa kweli ni miaka mitatu imepita so itakuwa ngumu kukumbuka mkuu md4doctor2000.
Ila nakuahidi nitafuatilia jina lake kisha nitakutumia kwa Pm mkuu
 
Last edited by a moderator:
Yaaaaaaaaaaani daily on the game thats fan! But mie naikubali hali huyo unachotakiwa kunywa maji hadi kiu iishe, yaani wewe tungekutana ingekuwa poa mak mie mwenzio nataka mara 8 kwa usiku eti si imebalance?
 
Kumbe kutamani kuduu kila wakati ni ugonjwa
Mimi sitamani kabisa kuduu, je nao ni ugonjwa
 

fanya mazoezi ya viungo sna
 
Kumbe kipindi ulikuwa unatafuta kwenda kufanya kazi kwa mbaba ulitaka ukamhenyeshe sio, pole yako Madame B.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…