Kutambua Mungu mwenye nguvu ni yupi?

Kutambua Mungu mwenye nguvu ni yupi?

Naomba niuwasilishe huu ujumbe kwa kiswahili ili wote waelewe...
SURATUL; IKHLAS
ILITEREMSHWA; MAKKA
HII SURA INA AYA 4

Sema: Yeye mwenyezimungu ni mmoja tu.
Mwenyezimungu tu ndiye anayestahiki kukusudiwa(viumbe vyake vyote vinajukumu la kumuabudu, kumuomba n kumtegemea yeye tu.)
Hakuzaa wala hakuzaliwa.
Wala hana anayefanana naye hata mmoja.

Duniani kuna dini moja tu inayomuamini mwenyezimungu kuwa ni mmoja tu. Ni moja tu inayoamini uwepo wa manabii wote. Ni moja tu inayoipa sehemu ya ibada heshima. Ni dini moja tu inayowahitaji waumini wake wajisafishe na wawe safi kabla hawajaingia kwenye swala. Ni moja tu yenye kitabu kimoja tu bila ya editions. Ni moja tu yenye lugha moja. Ni moja tu inayowatenganisha Wanawake n mwanaume wakati wa ibada. Ni dini moja tu yenye muunganiko dunia nzima. Ni dini moja tu ambayo sio biashara duniani.

Mwisho, akitolewa kijana mpogoro asiyekijua kiswahili ila anaijua dini ya kiislamu vzuri, basi hata akipelekwa china/urusi/india/ufaransa au sehemu yeyote ile duniani, basi ataiongoza ibada na wote watamuelewa kwa utuo. Ninachomaanisha, hii dini ni universal n ni moja tu bila madhehebu yanayotofautiana kama kwengine.

Kumalizia, msiihusishe dini ya kiislamu na vikundi vya kigaidi kama Al shabaab, Al Qaida, taifa la Israel au kikundi chechote kile kingine cha kigaidi. Hivi vikundi ni vikundi vinavyofadhiliwa na mabepari ili kuvunja amani kwa lengo la kuwanufaisha mabepari kikoloni.

Mwisho nina ombi: Tafadhali, mwenyezimungu ni mmoja tu, hakuzaa wala hakuzaliwa. Hajamchagua yeyote kuja kumrepresent duniani. Nitarudi kesho au kesho kutwa kwa ajili ya chapisho jingine. Hakika ninakiri kuna mungu mmoja tu apasaye kuabudiwa kwa haki ila mwenyezimungu. Ninakiri kuwa hakika Muhammad ni mtume wa mwenyezimungu.
sasa aliyeandika hiki kitabu alizaliwa miaka 500 baada ya Yesu, anapata wapi uwezo kurekebisha kitu kilicho exist miaka yote hiyo wakati hata hajatungwa mimba? arekebishe kitabu cha Isaya 53 na injili zote. ataweza kweli?

kwa kifupi, allah sio mungu wa kweli, ndiye mungu yule yule baali aliyeshindwa mbele ya Eliya Mtishbi, waliomba hadi wakajichinjachinja lakini mungu baal hakusikia kwasababu ni mungu feki.

wengi huwa wanadanganyika ati kwasababu kwa lugha ya kiarabu mungu anaitwa allah basi allah anayetamkwa kwenye dini ya waarabu ndio yule yule Mungu wa kweli, Nooo, wasingetofautiana hivyo kwenye maandiko.
 
Acheni bangi, Mungu ni mmoja ila ana nafsi tatu, baba, mwana na roho mtakatifu. Kama hautaki andamana, tuko Kizimkazi msibani, msitusumbue
Acha hasira Elezea tu kwa utashi , I'li wengne waelewe.
Maana mjadala huu ni wa wote' ukielza kwa mapana na Matendo yake Huenda kuna mtu Akaamua kufuata Huyo Badala ya kurithishwa Mungu.
 
sasa aliyeandika hiki kitabu alizaliwa miaka 500 baada ya Yesu, anapata wapi uwezo kurekebisha kitu kilicho exist miaka yote hiyo wakati hata hajatungwa mimba? arekebishe kitabu cha Isaya 53 na injili zote. ataweza kweli?

kwa kifupi, allah sio mungu wa kweli, ndiye mungu yule yule baali aliyeshindwa mbele ya Eliya Mtishbi, waliomba hadi wakajichinjachinja lakini mungu baal hakusikia kwasababu ni mungu feki.

wengi huwa wanadanganyika ati kwasababu kwa lugha ya kiarabu mungu anaitwa allah basi allah anayetamkwa kwenye dini ya waarabu ndio yule yule Mungu wa kweli, Nooo, wasingetofautiana hivyo kwenye maandiko.
Una hoja ila yapaswa utibitishe Kama ndie baali kweli...kitheologia na kimaandiko
 
images (12).jpeg
 
Mungu Ni Nani?

Katika historia yote, wanadamu wameabudu miungu ya aina mbalimbali. Hata hivyo, Biblia inamtaja Mungu mmoja ambaye “ni mkuu kuliko miungu mingine yote.” (2 Mambo ya Nyakati 2:5)

Ni Mungu gani huyo? Na kwa nini ni mkuu kuliko miungu mingine yote ambayo watu huabudu? Jifunze jinsi Mungu huyo anavyojitambulisha kwako.
1. Mungu anaitwa nani, na ni nini kinachoonyesha kwamba anataka tulijue jina lake?Mungu anajitambulisha kwetu kupitia Biblia. Anasema: “Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina langu.” (Soma Isaya 42:5, 8.) Jina “Yehova” limetafsiriwa kutoka katika Kiebrania na linamaanisha “Yeye Husababisha Kuwa" , au "Yeye muweza". Yehova anataka ulijue jina lake, na ulitumie. (Kutoka 3:15)

Tunajuaje jambo hilo? Alihakikisha kwamba jina lake linapatikana zaidi ya mara 7,000 katika Biblia!.
Jina Yehova ni la “Mungu wa kweli juu mbinguni na chini duniani.”—Kumbukumbu la Torati 4:39.2.
Biblia inatufundisha nini kumhusu Yehova?Biblia inasema kwamba kati ya miungu yote ambayo watu huabudu, Yehova ndiye Mungu pekee wa kweli. Kwa nini? Kuna sababu kadhaa. Yehova ndiye mwenye mamlaka yote, na yeye ndiye aliye “Juu Zaidi, juu ya dunia yote.” (Soma Zaburi 83:18.) Yeye ndiye “Mweza-Yote,” kwa sababu ana uwezo wa kufanya chochote anachotaka kufanya. Yeye ndiye ‘aliyeumba vitu vyote,’ kutia ndani ulimwengu na kila kitu kilicho hai duniani. (Ufunuo 4:8, 11).

Yehova peke yake ndiye amekuwepo sikuzote, na ataendelea kuwepo milele.—Zaburi 90:2.
 
Ukiwa na Ego kuuuuuubwa ndio unaweza ukafikiria kama hivi, ila ukitumia akili kidogo tu, Dunia ni kama kimchanga tu kwenye hii Universe, we are nothing, who ever created us kama yupo zaidi ya mmoja Ugomvi wao mdogo tu tungeshapotezwa siku nyingi tu.
Is Mulungu the same as Jehova and Allah?
 
Umeongelea Mungu wa wahindi, wachina, wayahudi etc kwanini hujataja Mungu wa watu wa Afrika?

Au sisi ni bendera fata upepo? Tunadandia Miungu ya watu.
 
Back
Top Bottom