Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Mkuu, ebu weka range ya makadirio ya bei kama nyumba y a 3 rooms, 1 master, etc, eneo tambarare
 
Ha ha haa... Mkuu, nimeuliza bei ya nyumba, unanipa ya boma. Hufanyi turn key?
Swali lako halikukamilika.
Baada ya boma gharama ya Nyumba inategemeana na aina ya material utakayo tumia.
Mfano Mdogo ni kuezeka, Nyumba kama hiyo kunamtu anaweza kuezeka kwa zaidi ya 25m wakati MTU mwingine katumia 7m.
Ili kujua gharama halisi inabidi mteja akupe specification za material anayotaka.
Hivyo basis inaweza kuwa kati ya 50m - 180m.

Siku nyingine usirudie kucheka kwa dharau jambo usilolijua.
 
Swali lako halikukamilika.
Baada ya boma gharama ya Nyumba inategemeana na aina ya material utakayo tumia.
Mfano Mdogo ni kuezeka, Nyumba kama hiyo kunamtu anaweza kuezeka kwa zaidi ya 25m wakati MTU mwingine katumia 7m.
Ili kujua gharama halisi inabidi mteja akupe specification za material anayotaka.
Hivyo basis inaweza kuwa kati ya 50m - 180m.

Siku nyingine usirudie kucheka kwa dharau jambo usilolijua.

Ok.. Asante kwa hyo taarifa ya range ya gharama.

Kuhusu kicheko, na ww usirudie kuchekesha!
 
IMG_20180613_133508_042.jpg
 
Swali lako halikukamilika.
Baada ya boma gharama ya Nyumba inategemeana na aina ya material utakayo tumia.
Mfano Mdogo ni kuezeka, Nyumba kama hiyo kunamtu anaweza kuezeka kwa zaidi ya 25m wakati MTU mwingine katumia 7m.
Ili kujua gharama halisi inabidi mteja akupe specification za material anayotaka.
Hivyo basis inaweza kuwa kati ya 50m - 180m.

Siku nyingine usirudie kucheka kwa dharau jambo usilolijua.

Mkuu kweli una moyo.
Imagine mtu anakuuliza nyumba ya vyumba vitatu ni bei gani..hujui eneo la kiwanja, bajeti ya mhusika, materials anayotaka nk...how do you estimate?

Mfano.. mwingine msingi tuu ni million Mia moja..wakati mwingine hiyo mia ni 'mansion' na kuhamia juu. Nilichojifunza..watu wanaouliza maswali general kama hayo..wengi hawajajenga au ni wadogo zetu wanataka kujifariji..kwamba nikiwa na so and so amount najenga nyumba. But reality is...ujenzi wa nyumba siyo rahisi kama watu tunavyotaka kuamini au kuaminisha wengine.
 
Back
Top Bottom