Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
- Thread starter
- #141
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimaanisha labour material yote nanunua ila ya ufundi nakupa polepoleAina gani ya mkopo, labour au labour + materials
project nzuri sana hii kama utafanikisha mkuuNipo kwenye mchakato wa kutaka kujenga apartment za nzuri na bora lakini kwa bei nafuu. Ziwe stadard zinazoweza kukaliwa na watu wenye kipato cha kati. Nataka kujua round figure ya gharama zake kwa apartment za vyumba viwili na vilevile vitatu. Vyumba viwili kuwe na master moja, living room, dining, kitchen/small store, public toilet. Nafahamu kuwa ukijenga kwa kuunganisha kama ni nyingi gharama inashuka, sasa nifanyie wastani wa gharama ya kujenga apartment 12 za vyumba viwili zilizojengwa kama nyumba moja kwa design ambayo wewe unaijua. Then angalia gharama ya apartment 4 za vyumba vitatu ikijengwa pamoja na apartments 6 zenye vymba viwili. Just provide me with an average cost of the complete apartment which includes all costs of construction materials plus labour, nyumba iliyo tayari kutumika. Thanks
Kule pm hatukufika mwafakaNilimaanisha labour material yote nanunua ila ya ufundi nakupa polepole
Mkuu cheki vizuri kama ni mimi ndio tumefika muafaka hujaniPMKule pm hatukufika mwafaka
Mkuu cheki vizuri kama ni mimi ndio tumefika muafaka hujaniPM
Nakucheck PMSite ipo wapi ?
Najipanga kwa mwakani Mkuu inshallah.project nzuri sana hii kama utafanikisha mkuu
Unaweza kuanza kidogokidogoNajipanga kwa mwakani Mkuu inshallah.
Ni wazo zuri tutawasiliana kakaUnaweza kuanza kidogokidogo
Ngoja niangalie kama in the nexe few months time naweza ku rise 150 m kwa kuanziaNi wazo zuri tutawasiliana kaka
Nipo kwenye mchakato wa kutaka kujenga apartment za nzuri na bora lakini kwa bei nafuu. Ziwe stadard zinazoweza kukaliwa na watu wenye kipato cha kati. Nataka kujua round figure ya gharama zake kwa apartment za vyumba viwili na vilevile vitatu. Vyumba viwili kuwe na master moja, living room, dining, kitchen/small store, public toilet. Nafahamu kuwa ukijenga kwa kuunganisha kama ni nyingi gharama inashuka, sasa nifanyie wastani wa gharama ya kujenga apartment 12 za vyumba viwili zilizojengwa kama nyumba moja kwa design ambayo wewe unaijua. Then angalia gharama ya apartment 4 za vyumba vitatu ikijengwa pamoja na apartments 6 zenye vymba viwili. Just provide me with an average cost of the complete apartment which includes all costs of construction materials plus labour, nyumba iliyo tayari kutumika. Thanks
hili swali fundi hawezi kukujibu kwa ufasaha ,hapo anatakiwa architect au civil engineer kwa msaada za nakukaribisha .Kwema mkuu naomba kuuliza maswali mawili!!kwanza nyumba ya vyumba v3 jiko sebule na master na choo cha public foundation yke inaweza nikost kama sh ngapi Kiwanja ni tambalale kiko kigamboni kisarawe 2.Pili kama Kiwanja kiko eneo linaonekana linatuamisha jpo hakuna mkondo Wa Maji unaopita kuna usalama katika ujenzi nikimaanisha kuna kitu unaweza kufanya ili kusiwe na shida hapo baadae..pia naomba kujua kibali cha ujenzi kinahitaji sh ngapi..!
Karibuni