Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

project nzuri sana hii kama utafanikisha mkuu
 
mkuu nipe kazi ya kukuandalia michoro pamoja na Bill of Quantity kitaalam ili hata ukitaka kuomba permit au kusajili mradi iwe rahisi
 
hili swali fundi hawezi kukujibu kwa ufasaha ,hapo anatakiwa architect au civil engineer kwa msaada za nakukaribisha .
fundi kazi yake kujenga kwa maelekzezo ya mtaalamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…