Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

IMG_20210314_183658_718.jpg
 
Mkuu, hebu nidadavulie hayo mashimo ya maji taka yasiyojaa, ninayahitaji sana.
Nipe bei ya vifaa vinavyohitajika na bei ya ufundi.
Kuna bei ulikuwa unaweka hapa lkni haieleweki ni jumla pamoja na vifaa au vipi, zingatia mazingira ya sasa watu hawana hela, tumepigika kishenzi, ukiona mtu anajenga sio kwamba anahela nyingi, inabidi ushirikiane naye ili maisha yaende.
 
Back
Top Bottom