Mkuu, hebu nidadavulie hayo mashimo ya maji taka yasiyojaa, ninayahitaji sana.
Nipe bei ya vifaa vinavyohitajika na bei ya ufundi.
Kuna bei ulikuwa unaweka hapa lkni haieleweki ni jumla pamoja na vifaa au vipi, zingatia mazingira ya sasa watu hawana hela, tumepigika kishenzi, ukiona mtu anajenga sio kwamba anahela nyingi, inabidi ushirikiane naye ili maisha yaende.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.