Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

IMG_20230509_174300.jpg
 
Ni fundi ujenzi mahiri wa majengo ya kuishi, majengo ya biashara na majengo ya ibada. Kazi inafanywa kwa ubora wa viwango vya juu. Gharama zetu ni nafuu kulingana na uchumi wa mtanzania.

Pia, tunafanya marekebisho ya Nyumba zenye muonekano wa kizamani kuwa na muonekano wa kileo/kisasa. Kazi zinakamilika kwa wakati kwa mujibu wa makubaliano.

PIA, TUNATENGENEZA MFUMO MAJI TAKA AMBAO HAUJAZI MASHIMO YA VYOO KAMWE.
BEI ZETU NI NAFUU SANA.

Napatikana Dar es salaam. Pia, unaweza kunipata Instagram kama 'Fundi mahiri wa ujenzi'.

Mawasiliano.

0655173113
Whatsap 0655173113

Barua pepe:

paulbuildingagency@outlook.com
pmoses951@gmail.comView attachment 1853469View attachment 1771884View attachment 1771888View attachment 1771901View attachment 1774023View attachment 1774028View attachment 1774028View attachment 1774074View attachment 1774077View attachment 1786604View attachment 1792020View attachment 1792077View attachment 1797879View attachment 1899834View attachment 1899834View attachment 1940166
Ni kama aliyejenga ikulu mpya Dodoma
 
Chumba self jiko sebule msingi mpaka lintel ufundi bei gani
Ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23] boss naomba nimjibie fundi [emoji23][emoji23][emoji23].

Hapo itabidi aje site kuona kwanza location ya ujenzi ndipo aweze kukadiria gharama.
 
Ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23] boss naomba nimjibie fundi [emoji23][emoji23][emoji23].

Hapo itabidi aje site kuona kwanza location ya ujenzi ndipo aweze kukadiria gharama.
Kiwanja tambalale bwana
 
Kazi ziendelee
Boss nikuambie tu ukweli,
Wewe unaweza kua ni fundi mzuri ila shida yako ni moja tu, HAUSHINDI SAITI. Labda sababu una kazi nyingi hivyo unashindwa kujigawa lakini tatizo la wewe kama wewe kutokushinda saiti unalo.

Sintoandika mengi sana hapa lakini jaribu kurekebisha hii hali. Usiwaamini sana vijana wako wafanye kila kitu. Boss akikuona wewe saiti anapata imani zaidi kuliko kila akija anakuta vijana tu.
 
Back
Top Bottom