Fundi rangi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 3,527
- 1,210
- Thread starter
-
- #221
Kwenye kuremba kila mtu ana mwonekano wake anao pendezwa nao.Kwa kuta za nje, Conmix na Rangi kipi ni bora na yenye kupendeza zaidi?
Sent from my vivo 1611 using JamiiForums mobile app
Ila hizi material zinazotokana na chenga za mawe ikiwemo hiyo conmix wengi wanazipenda kuliko hizi za kawaida, japo ni aghali kidogo ukilinganisha na tangi za maji kama vile weather guard na Silk.Kwenye kuremba kila mtu ana mwonekano wake anao pendezwa nao.
Kai nzuriNdungu zangu kipekee nimekuwepo hapa JF kwa miaka zaidi ya 6 nimejifunza mengi kuhusiana na baadhi ya bidhaa za rangi za majengo. Hapa nitakuwa nikionesha kazi zangu, naacha nafasi ya kuuliza maswali nami nitakuwa najibu punde nipatapo muda.
Zaidi ni changamoto za rangi kubanduka pamoja na fungus, lakini pia kuna hatua za upakaji rangi, ni vifaa vipi sahihi utumie pamoja na makampuni ya rangi.
Utanipata kwa no 0766111212.
View attachment 2324877View attachment 2324878View attachment 2324880View attachment 2324881View attachment 2324882View attachment 2324884View attachment 2324885View attachment 2324887
Shukrani sana ndugu.Hii pia ni stone paint, 90% ni mawe yaliyosagwa, hapa kwetu inamajina tofauti kama vile Conmix,Wallmaster, Terast, Decor plaster, Rough Plaster, na mengine mengi kwani kila mtengenazi na jina lake. Mimi napendekeza hii, kwani hata ikiwa imepauka unaweza kupaka rangi ya kawaida juu tofauti na ile ya upele. Zote ni rafiki na unyevunyevu na mwonekano wake nimzuri na wa kuvutia tofauti na rangi ya kawaida.View attachment 2349836View attachment 2349839View attachment 2349841
Ahsante sana ndg.Kai nzuri
Rangi aina ipi ya plascon boss. Nyeupe? Cream? au?Hiyo tumepiga rough plaster kisha tukapaka rangi ya plascon juu yake. Hiyo ni beige.
Rangi yoyote inayofaa kwa jengo la makazi, iwe ya kampuni ya plascon.Rangi aina ipi ya plascon boss. Nyeupe? Cream? au?
Kwenye gorofa rangi iko kama grey. Kwa hiyo nikiwekarangi nyekundu ya plascon kwenye cementi napata grey?Rangi yoyote inayofaa kwa jengo la makazi, iwe ya kampuni ya plascon.
Ndg naomba uweke swali lako sawa.Kwenye gorofa rangi iko kama grey. Kwa hiyo nikiwekarangi nyekundu ya plascon kwenye cementi napata grey?
Ndg inakaa zaidi ya mwaka. Kwani imewekwa dawa ya kuzuia kuoza.mkuu hii inadumu kwa muda gani...nataka nianze kuitunza ndani, nununue kidogo kidogo
Tuite sasa tukuhudumie.Ndg naomba uweke swali lako sawa.
Kwakweliii... Kuna picha hyo yenye mnazi nishawahi kuona sehemu.. Na nikaipenda nikadownload.. Kitambo kidogoKazi nzuri sana..
Ila sasa tutajuaje kama ndiyo mkono wako for real? Maana siku hizi watu wanadownload mapicha mtandaoni tuu kisha wanajibrandisha[emoji4]
Habari ndg, nisamehe kuna wakati hekaheka ya kazi inakuwa nyingi mno, naamini tuliwasiliana. Nisamehe tena na tena.Ukitumiwa message whatsapp unasoma then hujibu. Sasa umeweka namba ya nini?
Ndg sehemu kubwa ya kazi zangu zina historia. Chukua picha yoyote kwenye picha bazo nimeweka hapa mimi nitakupa historia yake, yaani picha kabla.Habari ndg, nisamehe kuna wakati hekaheka ya kazi inakuwa nyingi mno, naamini tuliwasiliana. Nisamehe tena na tena.
Sent from my SM-N985F using JamiiForums mobile app
Unaweza kuona kwa uhalisia.Mfano kamili ni hili jengo unaweza kuona, lilijengwa mwenyewe akachukia mwonekano, lakini tukalipa mwonekano mpya, tazama picha ya kwanza mpaka ya mwishoView attachment 2397763View attachment 2397764View attachment 2397765View attachment 2397766
Sent from my SM-N985F using JamiiForums mobile app
Hujawahi kujibu tokea tarehe 26 sept ila message ulisoma.Ndg sehemu kubwa ya kazi zangu zina historia. Chukua picha yoyote kwenye picha bazo nimeweka hapa mimi nitakupa historia yake, yaani picha kabla.
Sent from my SM-N985F using JamiiForums mobile app
Basi ndg naomba unipe Hi whatsapp. Nisamehe mno ndg.Hujawahi kujibu tokea tarehe 26 sept ila message ulisoma.
Kazi njema.