Fundi rangi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 3,527
- 1,210
- Thread starter
-
- #41
Pia tunafanya ukarabati wa majengo na kufanya mwonekano wa jengo lako upya la kuwa la kisasa.Jukumu letu nikuyapamba makazi yako. 0766111212View attachment 2144172View attachment 2144173View attachment 2144175
Nakshi jengo lako nasi. 0766111212Pia tunafanya ukarabati wa majengo na kufanya mwonekano wa jengo lako upya la kuwa la kisasa.
Nakshi nasi.Nakshi jengo lako nasi. 0766111212
Pia tunaweza kukarabati jengo lako lenye muundo wa zamani na kulifanya liwe na mwonekano wa kisasa. 0766111212Nakshi nasi.View attachment 2153132
Hongera sana uko vzuri, karibu MoshiNdg zangu leo nawaletea Rough Plaster, ni Materials ambayo nnimezalisha mwenyewe hapa Tanzania. Kampuni yangu inaitwa Mimina Ltd.
1. Conmix
2. Wall Master
3. Rough material
4. Rough Plaster
Haya ndo majina yaliyo zoeleka.
Ya kwangu ipo kwenye ndoo, ujazo ni 30kg na ndoo 1 inaweza kupaka ukubwa wa 8sqm. Bei ni tsh. 80,000.
Za makampuni mengine wanauza kari ya 110,000 mpka 130,000
Project kubwa ambayo nimefanya ni Marijani Hotel iliyopo Pwani Mchangani Zanzibar.
Utanipata kwa no hii. 0766111212View attachment 2207750View attachment 2207754View attachment 2207757View attachment 2207758
View attachment 2207753
Ahsante ndg.Hongera sana uko vzuri, karibu Moshi
Ndg nikisema 8sqm niko sahihi, ila siamini kuwa jengo lako hata kama ni dogo kiasi gani linaweza kuwa na 24sqm.mkuu 8sqm?????? au umekosea??? inamaana ndoo 3 naweza kupaka kibanda changu na kikaisha
Nadhani umenisoma Ndg.mkuu 8sqm?????? au umekosea??? inamaana ndoo 3 naweza kupaka kibanda changu na kikaisha
Contemporary haina shida ikiwa water proofing imefanyika vizuri, tatizo mafundi wengi bado hawazielewi vizuri, na shida nyingine kubwa wajenzi wanakwepa gharama za utaalam kama vile ma Architect na ma Engineer.vvip jwa nyumba za contemporary ipi inazuia ukuta kuloa maji
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Contemporary haina shida ikiwa water proofing imefanyika vizuri, tatizo mafundi wengi bado hawazielewi vizuri, na shida nyingine kubwa wajenzi wanakwepa gharama za utaalam kama vile ma Architect na ma Engineer.
Ndg hapa Tanzania tuna changamoto ya wauzaji wa tofali, walio wengi Moulding za kupigia tofali hazina vipimo sahihi ndiyo maana wajenzi wanazingatia uso wamele tofali zilingane lakini nyuma hazilingani.Hii unapaka ukuta ukiwa na plasta nyingine au hata tofali tu
Natoa ushuhuda, nimetumia product zako. Uliniletea na gari yako nyekundu. Nimepaka kwenye fence yangu imependeza sana. Nitakutafuta tena project zijazo.Ndg hapa Tanzania tuna changamoto ya wauzaji wa tofali, walio wengi Moulding za kupigia tofali hazina vipimo sahihi ndiyo maana wajenzi wanazingatia uso wamele tofali zilingane lakini nyuma hazilingani.
Hivyo kwa msingi wa swali lako ni vyema kutumia ukuta ambao umepigwa Plaster, lakini kama umekwisha paka rangi ya kawaida hakuna shida unaweza kuweka hiyo Rough Plaster.