Kutana na fundi rangi, kuna mengi ya kujifunza

Kutana na fundi rangi, kuna mengi ya kujifunza

Hivi hizi rangi siku hizi wanapiga Kwenye ripu bila hata skimming inakuwaje?

Swali la pili, Jengo la ofisi ni rangi gani nzuri nje ya Jengo linakusudiwa kutumika kama ofisi?
 
Nami ninaendelea kujifunza kwenu wataalamu wa jukwaa hili.
 
Hivi hizi rangi siku hizi wanapiga Kwenye ripu bila hata skimming inakuwaje ?

Swali la pili,Jengo la ofisi ni rangi gani nzuri nje ya Jengo linakusudiwa kutumika kama ofisi?
Ndg hapa naomba kuweka wazi watu waelewe.

1. Rangi tunazopiga bila kufanya skimming ni imara kwani hazipakwi kwa Roller bali zinapakwa na vifaa maalumu japo uweli nikwamba ni aghali ukilinganisha na rangi za kawaida, kwani unaweza kupaka rangi juu baada ya miaka kuanzia 5 kwenda juu tofauti na hizi za maji ambazo kila mwaka unatamani kupaka rangi.

2. Kuna rangi maalum kwa ajiri ya makazi na rangi maalumu kwa ajiri biashara. Mfano rangi kali ni kwa ajari ya maofisi kama vile blue, njano,nyekundu, kijani na nyeusi, jinsi zinavyo tamkika unaona kabisa huwezi kuzipaka kwenye jengo isipokuwa kama ni ofisi au kibiashara.
Screenshot_20220816-223641_Behr.jpg
Screenshot_20220816-223734_Behr.jpg
Screenshot_20220816-223707_Behr.jpg
Screenshot_20220816-223617_Behr.jpg
 
Ndg hapa naomba kuweka wazi watu waelewe.
1. Rangi tunazopiga bila kufanya skimming ni imara kwani hazipakwi kwa Roller bali zinapakwa na vifaa maalumu japo uweli nikwamba ni aghali ukilinganisha na rangi za kawaida, kwani unaweza kupaka rangi juu baada ya miaka kuanzia 5 kwenda juu tofauti na hizi za maji ambazo kila mwaka unatamani kupaka rangi.

2. Kuna rangi maalum kwa ajiri ya makazi na rangi maalumu kwa ajiri biashara. Mfano rangi kali ni kwa ajari ya maofisi kama vile blue, njano,nyekundu, kijani na nyeusi, jinsi zinavyo tamkika unaona kabisa huwezi kuzipaka kwenye jengo isipokuwa kama ni ofisi au kibiashara.View attachment 2325727View attachment 2325728View attachment 2325729View attachment 2325731
Hapa utaona nimejaribu kuweka mwonekano wa majina ya rangi za kawaida na pengine hakuna unayoweza kuona inafaa kwakweka kwenye jengo lako.
 
Kazi nzuri sana..

Ila sasa tutajuaje kama ndiyo mkono wako for real? Maana siku hizi watu wanadownload mapicha mtandaoni tuu kisha wanajibrandisha[emoji4]
Ndg kama ambavyo nimesema mimi ni mtoto wa JF kwenye jukwaa la matangazo madogomadogo najulikana kama fundi rangi. Kazi zote ninazo zituma hapa zina historia, pia waweza kunitembelea site nakujionea, na sina utamaduni wa kutuma Kazi za mafundi wenzangu.
 
Ndg zangu nawaomba radhi mnisamehe kwani leo kutwa nilitingwa na majukumu ndiyo natulia sasa.

0766111212 utanipata kwa no hii.
 
Ndg kama ambavyo nimesema mimi ni mtoto wa JF kwenye jukwaa la matangazo madogomadogo najulikana kama fundi rangi. Kazi zote ninazo zituma hapa zina historia, pia waweza kunitembelea site nakujionea, na sina utamaduni wa kutuma Kazi za mafundi wenzangu.
Kuna ukweli na wivu.
Unajua kuna mafundi wengine ili wapate wateja wanajitangaza wanaweza kupaka rangi kisasa ila sio kweli.
Ni uongoo ukija mpa kazi unaweza faint na kasha haribu kazi.
Sasa hujui ukweli ni upi.

Ila kuna mafundi wengi humu mwingine akaona akupondee usiharibu biashara yake humu so nimemaliza
 
Hizi nyumba za kifahari langi yoyote utakayopaka inapendeza tu
Ndungu zangu kipekee nimekuwepo hapa JF kwa miaka zaidi ya 6 nimejifunza mengi kuhusiana na baadhi ya bidhaa za rangi za majengo. Hapa nitakuwa nikionesha kazi zangu, naacha nafasi ya kuuliza maswali nami nitakuwa najibu punde nipatapo muda.
Zaidi ni changamoto za rangi kubanduka pamoja na fungus, lakini pia kuna hatua za upakaji rangi, ni vifaa vipi sahihi utumie pamoja na makampuni ya rangi.

Utanipata kwa no 0766111212.View attachment 2324877View attachment 2324878View attachment 2324880View attachment 2324881View attachment 2324882View attachment 2324884View attachment 2324885View attachment 2324887
 
Hizi nyumba za kifahari langi yoyote utakayopaka inapendeza tu
Ukweli ndg zangu unaposikia mtu anasema rangi imependeza maana yake ni mpangilio wa rangi. Huwezi kupaka rangi nyeusi jengo lote watu wakasema nyumba imependeza. Mpangilio wa rangi unamata mno hata kama jengo ni dogo.
 
Back
Top Bottom