political Engineer 2
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 295
- 792
Hiyo tumepiga rough plaster kisha tukapaka rangi ya plascon juu yake. Hiyo ni beige.Kazi nzuri kiongozi,
Naomba kufahamu hii rangi ya gorofa ya kwanza inaitwaje?
Ndg hapa naomba kuweka wazi watu waelewe.Hivi hizi rangi siku hizi wanapiga Kwenye ripu bila hata skimming inakuwaje ?
Swali la pili,Jengo la ofisi ni rangi gani nzuri nje ya Jengo linakusudiwa kutumika kama ofisi?
Hapa utaona nimejaribu kuweka mwonekano wa majina ya rangi za kawaida na pengine hakuna unayoweza kuona inafaa kwakweka kwenye jengo lako.Ndg hapa naomba kuweka wazi watu waelewe.
1. Rangi tunazopiga bila kufanya skimming ni imara kwani hazipakwi kwa Roller bali zinapakwa na vifaa maalumu japo uweli nikwamba ni aghali ukilinganisha na rangi za kawaida, kwani unaweza kupaka rangi juu baada ya miaka kuanzia 5 kwenda juu tofauti na hizi za maji ambazo kila mwaka unatamani kupaka rangi.
2. Kuna rangi maalum kwa ajiri ya makazi na rangi maalumu kwa ajiri biashara. Mfano rangi kali ni kwa ajari ya maofisi kama vile blue, njano,nyekundu, kijani na nyeusi, jinsi zinavyo tamkika unaona kabisa huwezi kuzipaka kwenye jengo isipokuwa kama ni ofisi au kibiashara.View attachment 2325727View attachment 2325728View attachment 2325729View attachment 2325731
Hizi ni rangi unaweza za kibiasha kama vile una kampuni yako ina rangi maalumu, iwe shule,ofisi au vyovyote vile.Hapa utaona nimejaribu kuweka mwonekano wa majina ya rangi za kawaida na pengine hakuna unayoweza kuona inafaa kwakweka kwenye jengo lako.
Ndg kama ambavyo nimesema mimi ni mtoto wa JF kwenye jukwaa la matangazo madogomadogo najulikana kama fundi rangi. Kazi zote ninazo zituma hapa zina historia, pia waweza kunitembelea site nakujionea, na sina utamaduni wa kutuma Kazi za mafundi wenzangu.Kazi nzuri sana..
Ila sasa tutajuaje kama ndiyo mkono wako for real? Maana siku hizi watu wanadownload mapicha mtandaoni tuu kisha wanajibrandisha[emoji4]
Tumtafute akatujengee yetu Butiama?Good job ππ½ ππΌ.
Kuna ukweli na wivu.Ndg kama ambavyo nimesema mimi ni mtoto wa JF kwenye jukwaa la matangazo madogomadogo najulikana kama fundi rangi. Kazi zote ninazo zituma hapa zina historia, pia waweza kunitembelea site nakujionea, na sina utamaduni wa kutuma Kazi za mafundi wenzangu.
Ndungu zangu kipekee nimekuwepo hapa JF kwa miaka zaidi ya 6 nimejifunza mengi kuhusiana na baadhi ya bidhaa za rangi za majengo. Hapa nitakuwa nikionesha kazi zangu, naacha nafasi ya kuuliza maswali nami nitakuwa najibu punde nipatapo muda.
Zaidi ni changamoto za rangi kubanduka pamoja na fungus, lakini pia kuna hatua za upakaji rangi, ni vifaa vipi sahihi utumie pamoja na makampuni ya rangi.
Utanipata kwa no 0766111212.View attachment 2324877View attachment 2324878View attachment 2324880View attachment 2324881View attachment 2324882View attachment 2324884View attachment 2324885View attachment 2324887
Rough plater ni kwa ajili ya niniLakini pia ndg zangu mwnzenu ni fundi na majasiliamali nina nilipata Neema ya kumiliki kampuni inaitwa Mimina Company Limited ambayo pia inamiliki kiwanda cha kuzalisha rough plaster ambayo napaka kwenye majengo unayoyaoona hapo juu.View attachment 2325778View attachment 2325779
Ukweli ndg zangu unaposikia mtu anasema rangi imependeza maana yake ni mpangilio wa rangi. Huwezi kupaka rangi nyeusi jengo lote watu wakasema nyumba imependeza. Mpangilio wa rangi unamata mno hata kama jengo ni dogo.Hizi nyumba za kifahari langi yoyote utakayopaka inapendeza tu