Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Halafu wabishi wabishi hiviSio kwamba ameweka akili pembeni, huyu hajui. Yaani ccm ni dubwana flani hivi la wasiojielewa.
T scan imefungwa kila mkoaHamna kitu huyo
VITI MAALUM VIFUTWEEEE TU
ova
Huyu ni Mbunge wa kudumu wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora!Hawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia Samia..... yaani ameweka kando akili yake ame-concetrate kwenye uchawa! Huyu ni Mzazi wa MTU na Mbunge wa Watu, natamani kufahamu Jimbo lake.
View attachment 2983039
Wabunge aina hiyo ndiyo wako mule na hawajui wanafanya nini mule,zaidi ya kulopoka tuT scan imefungwa kila mkoa
Ndio maana Tabora iko vileHuyu ni Mbunge wa kudumu wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora!
Sheria ya TscanNa ndio watu wanatakiwa kututungia sheria....π₯Ή
Na hotuba yake aliiandaa kabisa, hakulala usingizi ili kuelezea jinsi T scan itakavyosaidia wananchi.Na ndio watu wanatakiwa kututungia sheria....π₯Ή
Mbunge anamsifia Raisi Bungeni, Hadi Aibu!Wabunge aina hiyo ndiyo wako mule na hawajui wanafanya nini mule,zaidi ya kulopoka tu
Ova
Hahahaha π€£ alikua anajiandaa jinsi atakavyomsifia Madam president exclusively. Yaani aje na Jambo jipya Kabisa ambalo haijawahi kuwa addressedNa hotuba yake aliiandaa kabisa, hakulala usingizi ili kuelezea jinsi T scan itakavyosaidia wananchi.
Sasa kama nchi imejaa Tii Scan India wanafata nini πNa hotuba yake aliiandaa kabisa, hakulala usingizi ili kuelezea jinsi T scan itakavyosaidia wananchi.
TC Scan πππSheria ya Tscan
TC ScanSheria ya Tscan
Huyo Mama anataka kugombea jimboni 2025 na nimefatilia Tabora hawana viongozi imar
Ndio atudanganye kweli?? Aaghh sio vizuriHuyo Mama anataka kugombea jimboni 2025 na nimefatilia Tabora hawana viongozi imara.