Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni amejikita kwenye kusifu na kuabudu, yaani hujaona kuwa hicho ndio anachoweza kuliko vingine?Kwani Kuna shida Gani kama hajui?? Huenda Kuna upande mwingine Yuko vizur Zaid
Wala hakuna ulazima wa mim, wewe au yeye kujua Kila kitu isipokuwa inabidi ujikite kwenye jambo ambalo unaweza ukawa mzuri zaid
Na wanalipwa parefu saaaana sanaHili huwa linaniumiza kwakweli.
Sawakujua CT SCAN hakukufanyi uwe na akili...nikuwekee orodha ya vilaza niliosoma nao ambao wanajua kutamka CT SCAN??
DUNDERHEAD
Yani kitu alichokiandaa kupresent anapresent kimakosa afu unasema kuna shida gani kama hajui???Kwani Kuna shida Gani kama hajui?? Huenda Kuna upande mwingine Yuko vizur Zaid
Wala hakuna ulazima wa mim, wewe au yeye kujua Kila kitu isipokuwa inabidi ujikite kwenye jambo ambalo unaweza ukawa mzuri zaid
Hahaha... natamani kufahamu Jimbo lake.
Swala la sheria ni swala nyeti linahitaji watu makini, wenye akili na uwezo mkubwa wa kuchambua mambo mbalimbali.....ila hapa injini kwetu ukijua kusoma na kuandika unafaa kabisa kuwa mtunga sheria.Hili huwa linaniumiza kwakweli.
Kama ameweza kumsifia mama Samia basi mbunge huyo ana maono makubwa mbele yake.Hawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia Samia..... yaani ameweka kando akili yake ame-concetrate kwenye uchawa! Huyu ni Mzazi wa MTU na Mbunge wa Watu, natamani kufahamu Jimbo lake.
View attachment 2983039
Plus uchawaSwala la sheria ni swala nyeti linahitaji watu makini, wenye akili na uwezo mkubwa wa kuchambua mambo mbalimbali.....ila hapa injini kwetu ukijua kusoma na kuandika unafaa kabisa kuwa mtunga sheria.
Mungu atusaidie tuImagine hawa ndio watu watunga sheria za nchi, kichwani ni hewa na kusifu na kuabudu hakuna kingine. Shirwa mau
Hahahaha anaweza kukuuzia sumuYani kitu alichokiandaa kupresent anapresent kimakosa afu unasema kuna shida gani kama hajui???
Mtu wa namna hiyo unamuamini vipi? Anasifia kwa kitu asichokijua hata
Swala la sheria ni swala nyeti linahitaji watu makini, wenye akili na uwezo mkubwa wa kuchambua mambo mbalimbali.....ila hapa injini kwetu ukijua kusoma na kuandika unafaa kabisa kuwa mtunga sheria.
Ni kwa ajili ya wasomi na wajinga 😁😁Kwani sheria zinatungwa kwa ajili ya wasomi tu?msiwe kasuku
....and she has done it.T-Scan™ provides dynamic occlusal measurement - revealing the level and timing of force on individual teeth and the occlusal stability of the overall bite - bringing articulating paper marks to life.
Kiongozi kama umeshawahi kufanya presentation huwezi kushangaa kitu kama hiki, Kuna wakati neno linapotea kabisa kichwani haijalishi unalijua au una uzoefu nalo kiasi Gani.Yani kitu alichokiandaa kupresent anapresent kimakosa afu unasema kuna shida gani kama hajui???
Mtu wa namna hiyo unamuamini vipi? Anasifia kwa kitu asichokijua hata