Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #121
Hahahahahaha ushaangalia fursa tayari eeghNdugu Msomi, kikubwa ameeleweka mwacheni ashatoa maelekezo wataalamu wa CT scan waache wachape kazi.
Nipe namba za huyu mshangazi ikiwa hajaolewa.
Na mimi nakuja urambo si muda mrefu....bila kusahau nini mwanamke urambo.
acha upotoshaji...Sio wanaotakiwa bali ndio wanaotutungia Sheria, we huoni REVIEW EDITIONS zinavyofanyikaga kila baada ya kiongozi mwengine akiingia madarakani kudhihirisha kuwa sheria nyingi zinazopitishwa na bunge hazikidhi kwasababu ya uweledi mdogo na ignorant people/ chawa wa bungeni kwa viongozi wa juu wa NDIOOOOOO bila kufikiria madhara wanayopata wananchi na jamii nzima katika utekelezaji wa hizo Sheria.
Bila wananchi kubadirisha mindsets zetu juu ya umuhimu wa kuweka viongozi wanaojielewa bila kuangalia Chama gani anatoka tutafika mbali kimaendeleo
Na bado kuna Wapumbavu humu ndani wanamtetea
Maajabu yaliyojee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ndio watu wanatakiwa kututungia sheria....🥹
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeamini leo, mama angu aliwahi nambia "mwanangu kosa na pungukiwa vyote, ila sio akili, Elimu na exposure"
Mbunge mzima tena anakazia na kufoka kwa kusifia, kumbe kichwani ni kopo tupu, woiiiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivyo vyote hana, angekua navyo asingejichanganyaa.Huyo mama yupo mjengoni toka 2010
Maana yake Ana exposure, experience na Akili anazo.
Kinachotokea hapa kwake ni kukosa mfumo au formality ya kuwa na mawazo huru.
Huwezi kujikita katika kushambulia ukaona ukweli mpaka ujikite katika kujenga .
Hivyo vyote hana, angekua navyo asingejichanganyaa.
Tena nadiriki kusema ni mpumbavuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
TC ScanT scan imefungwa kila mkoa
S scanTC Scan
Dadeeeeeeeeeeeeki saafi sanaIkiwa watu smart hawataki siasa basi lazima tukubaliane na tunachopewa
Imagine huyu sasa Ndio Mama Mkwe wako?![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeamini leo, mama angu aliwahi nambia "mwanangu kosa na pungukiwa vyote, ila sio akili, Elimu na exposure"
Mbunge mzima tena anakazia na kufoka kwa kusifia, kumbe kichwani ni kopo tupu, woiiiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ebwanae, yaani huyu ndio ananafuu?Mkuu Kama umepata nafasi ya kufanya kazi na wabunge na mawaziri hapa Tz utagundua huyo Mama ana nafuu Sana katika kufanya mambo.
2025 Anagombea jimbo la sikonge huyo na Anatoboa .
Nimepata Bahati ya kukaa na wabunge wengi Ila huyo ndo ana nafuu na yupo karibu na watu
Ukimpigia simu anapokea muda huo huo hana shida na anakusaidia
Watu smart hapa hawataki siasa hivyo watu wa kawaida ujiingiza so tuangalia positive katika kila negative.👏🏼
Sio kwa hicho alichoshindwa kujua huyo mama, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwezi kujua kila kitu , mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maajabu yaliyojeee.Ebwanae, yaani huyu ndio ananafuu?