Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Kama waafrika, tujivunie sana tamaduni na maadili yetu, mambo yanayoendelea huko duniani kwingine yanastaajabisha.
Mark Bryan ni Injinia, mume na baba wa watoto watatu. Anapenda kuvaa viatu virefu vya kike na sketi kwa sababu vinamvutia na anaamini vinampendeza. Mkewe na watoto wake wamemkubali na hali yake kama alivyo.
Mbali na taaluma yake, Mark pia ni kocha wa mpira wa wanaume na hayuko kwenye jamii ya LGBTQIA kwa sababu maisha yake yote amekua akivutiwa kimahusiano na wanawake na si wanaume.
Unadhani nini kinaweza kusababisha hali hii?
Ungekua mtoto wake ungefanya nini?
Ukikutana naye barabarani, utamshauri au kumuambia nini?
View: https://youtu.be/1kKFXI52m1Q?si=oT-eEvo1aosv2tEh
Mark Bryan ni Injinia, mume na baba wa watoto watatu. Anapenda kuvaa viatu virefu vya kike na sketi kwa sababu vinamvutia na anaamini vinampendeza. Mkewe na watoto wake wamemkubali na hali yake kama alivyo.
Mbali na taaluma yake, Mark pia ni kocha wa mpira wa wanaume na hayuko kwenye jamii ya LGBTQIA kwa sababu maisha yake yote amekua akivutiwa kimahusiano na wanawake na si wanaume.
Unadhani nini kinaweza kusababisha hali hii?
Ungekua mtoto wake ungefanya nini?
Ukikutana naye barabarani, utamshauri au kumuambia nini?
View: https://youtu.be/1kKFXI52m1Q?si=oT-eEvo1aosv2tEh