Kutana na mzee wa miaka 64 anayependa kuvaa viatu virefu vya kike

Kutana na mzee wa miaka 64 anayependa kuvaa viatu virefu vya kike

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Kama waafrika, tujivunie sana tamaduni na maadili yetu, mambo yanayoendelea huko duniani kwingine yanastaajabisha.

Mark Bryan ni Injinia, mume na baba wa watoto watatu. Anapenda kuvaa viatu virefu vya kike na sketi kwa sababu vinamvutia na anaamini vinampendeza. Mkewe na watoto wake wamemkubali na hali yake kama alivyo.

Mbali na taaluma yake, Mark pia ni kocha wa mpira wa wanaume na hayuko kwenye jamii ya LGBTQIA kwa sababu maisha yake yote amekua akivutiwa kimahusiano na wanawake na si wanaume.

Unadhani nini kinaweza kusababisha hali hii?

Ungekua mtoto wake ungefanya nini?

Ukikutana naye barabarani, utamshauri au kumuambia nini?

IMG_1777.jpeg

IMG_1778.jpeg



View: https://youtu.be/1kKFXI52m1Q?si=oT-eEvo1aosv2tEh

IMG_1779.jpeg

IMG_1780.jpeg
 
Kama waafrika, tujivunie sana tamaduni na maadili yetu, mambo yanayoendelea huko duniani kwingine yanastaajabisha.

Mark Bryan ni Injinia, mume na baba wa watoto watatu. Anapenda kuvaa viatu virefu vya kike na sketi kwa sababu vinamvutia na anaamini vinampendeza. Mkewe na watoto wake wamemkubali na hali yake kama alivyo.

Mbali na taaluma yake, Mark pia ni kocha wa mpira wa wanaume na hayuko kwenye jamii ya LGBTQIA kwa sababu maisha yake yote amekua akivutiwa kimahusiano na wanawake na si wanaume.

Unadhani nini kinaweza kusababisha hali hii?

Ungekua mtoto wake ungefanya nini?

Ukikutana naye barabarani, utamshauri au kumuambia nini?

View attachment 3240168
View attachment 3240169


View: https://youtu.be/1kKFXI52m1Q?si=oT-eEvo1aosv2tEh

View attachment 3240170
View attachment 3240171

Eeeh hatari sanaa 😛😛
 
Kama waafrika, tujivunie sana tamaduni na maadili yetu, mambo yanayoendelea huko duniani kwingine yanastaajabisha.

Mark Bryan ni Injinia, mume na baba wa watoto watatu. Anapenda kuvaa viatu virefu vya kike na sketi kwa sababu vinamvutia na anaamini vinampendeza. Mkewe na watoto wake wamemkubali na hali yake kama alivyo.

Mbali na taaluma yake, Mark pia ni kocha wa mpira wa wanaume na hayuko kwenye jamii ya LGBTQIA kwa sababu maisha yake yote amekua akivutiwa kimahusiano na wanawake na si wanaume.

Unadhani nini kinaweza kusababisha hali hii?

Ungekua mtoto wake ungefanya nini?

Ukikutana naye barabarani, utamshauri au kumuambia nini?

View attachment 3240168
View attachment 3240169


View: https://youtu.be/1kKFXI52m1Q?si=oT-eEvo1aosv2tEh

View attachment 3240170
View attachment 3240171

Shoga hilo
 
Ana laana huyo c bure
Kama waafrika, tujivunie sana tamaduni na maadili yetu, mambo yanayoendelea huko duniani kwingine yanastaajabisha.

Mark Bryan ni Injinia, mume na baba wa watoto watatu. Anapenda kuvaa viatu virefu vya kike na sketi kwa sababu vinamvutia na anaamini vinampendeza. Mkewe na watoto wake wamemkubali na hali yake kama alivyo.

Mbali na taaluma yake, Mark pia ni kocha wa mpira wa wanaume na hayuko kwenye jamii ya LGBTQIA kwa sababu maisha yake yote amekua akivutiwa kimahusiano na wanawake na si wanaume.

Unadhani nini kinaweza kusababisha hali hii?

Ungekua mtoto wake ungefanya nini?

Ukikutana naye barabarani, utamshauri au kumuambia nini?

View attachment 3240168
View attachment 3240169


View: https://youtu.be/1kKFXI52m1Q?si=oT-eEvo1aosv2tEh

View attachment 3240170
View attachment 3240171
 
Mark Bryan ni Injinia, mume na baba wa watoto watatu. Anapenda kuvaa viatu virefu vya kike na sketi kwa sababu vinamvutia na anaamini vinampendeza. Mkewe na watoto wake wamemkubali na hali yake kama alivyo.
Wamejaribu kumpeleka kupimwa kichwa au vimiminika vya mwili kubaini shida?
 
Back
Top Bottom