Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
- #21
Kabisa, siyo bureFuse imekatika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, siyo bureFuse imekatika
upinde wamejaa kibao huko south, nadhani imeshakubalika huko kwao. Yule aliyepigwa risasi tatizo alikuwa mvaa kobasi halafu imamuHuyu ingekuwa ni South Africa wangemla kichwa
Mbona 🇿🇦 upinde unaruhisiwa na ndiyo wanaongoza Afrika kwa kuhalalisha mambo hayo.Huyu ingekuwa ni South Africa wangemla kichwa
Hatari sanaupinde wamejaa kibao huko south, nadhani imeshakubalika huko kwao. Yule aliyepigwa risasi tatizo alikuwa mvaa kobasi halafu imamu
Kama waafrika, tujivunie sana tamaduni na maadili yetu, mambo yanayoendelea huko duniani kwingine yanastaajabisha.
Mark Bryan ni Injinia, mume na baba wa watoto watatu. Anapenda kuvaa viatu virefu vya kike na sketi kwa sababu vinamvutia na anaamini vinampendeza. Mkewe na watoto wake wamemkubali na hali yake kama alivyo.
Mbali na taaluma yake, Mark pia ni kocha wa mpira wa wanaume na hayuko kwenye jamii ya LGBTQIA kwa sababu maisha yake yote amekua akivutiwa kimahusiano na wanawake na si wanaume.
Unadhani nini kinaweza kusababisha hali hii?
Ungekua mtoto wake ungefanya nini?
Ukikutana naye barabarani, utamshauri au kumuambia nini?
View attachment 3240168
View attachment 3240169
View: https://youtu.be/1kKFXI52m1Q?si=oT-eEvo1aosv2tEh
View attachment 3240170
View attachment 3240171
Nguo za kike zina ulimwengu wa giza? Mbona mwanamke akivaa tisheti nà jeans hamsemi anatumika katika ulimwengu wa giza?Huyu anatumika katika ulimwengu wa Giza, ama kwa kujua au kwa kutojua.
Bora umefika Shekhe, nilikua nataka nikuite uje utupe neno lako kwenye hili 😅Nguo za kike zina ulimwengu wa giza? Mbona mwanamke akivaa tisheti nà jeans hamsemi anatumika katika ulimwengu wa giza?
Sio kila kitu cha kubishana, mwanaume kuvaa kiatu cha mchuchumio hiyo ni akili ya kawaida?Nguo za kike zina ulimwengu wa giza? Mbona mwanamke akivaa tisheti nà jeans hamsemi anatumika katika ulimwengu wa giza?
Labda jamaa wangelipua huo msikiti wake, na pale naskia alitoka kufungisha ndoa.upinde wamejaa kibao huko south, nadhani imeshakubalika huko kwao. Yule aliyepigwa risasi tatizo alikuwa mvaa kobasi halafu imamu
Mungu mwenyewe kashindwa kuulipua?Labda jamaa wangelipua huo msikiti wake, na pale naskia alitoka kufungisha ndoa.
Sijui huwa wanatumia vifungu gani kuhalalisha hizo ndoa