Kutana na mzee wa miaka 64 anayependa kuvaa viatu virefu vya kike

Tembeeni muone mengi nchi za Papua New Guinea,Bahamas,Scotland,Bhutan n.k wanaume kuvaa ni vazi la kawaida inaitwa Kilt tartan
Utamaduni wako usiulazimishe kwa mwenzio hata wewe kuna nchi ukienda ukivaa suruali watakushangaa kidogo nenda Afghanistan na Bhutan.
Hapa kwetu wamasai wa kule mbugani bado wanavaa lubega lakini vile tumewazoea hatuwashangai lakini ni vazi la heshima sana.
Picha angalieni mfalme Charles 111 wa Wingereza kavaa Skate utasema ni shoga?.Picha ingine huyo sio mmasai ila kavaa vazi kwa kwetu ni la kimasai akienda sehemu zingine watamshangaa.
Uganda kuna shule ya sekondari imejengwa na wa Scotland wanafunzi wa kiume wanavaa skate je utasema wanafunzi ni mashoga.Halafu mtofautishe kati ya skate na kilt tatan.
Skate haina masharti ya urefu inaweza valiwa juu ya magoti lakini Kilt tartan sharti iwe ndefu.
Mbona waarabu wanavaa kikoi na msuli hamsemi.
Kabla ya kuletewa nguo na wazungu babu zetu walikuwa wanatembea kwa magome ya miti na uchi hapo mtasemaje?.
Nenda kwa Wahadzabe kidogo wanavaa ngozi za wanyama kufunika sehemu nyeti lakini wewe ukienda umevaa suti watakuona waajabu sana kijiji kizima watakuzunguka.Acheni ushamba.
Kwa Japan hili vazi linaitwa kimono.
Hawa hawa ndio wamewafundisha nyie waafrica kuvaa nguo sasa wanaweka utamaduni wao mnaona akili zimehama.
Wengi wanao comment humu hawajawahi hata kuvuka nchi za ng'ambo ndio maana ushamba umewajaa.
Kungekuwa na uwezekano wazungu waje watuambie haya nguo tulizowafundisha kuvaa na kutengeneza wote humu tungetembea uchi.
Nimeshawahi ona kwenye mkutano mmoja wa nchi zinazoendelea ulifanyika Arusha AICC mwaka 1977 wengi humu mlikuwa hamjazaliwa mimi nilikuwa chipukizi wale wa CCM Std5 alikuja raisi wa Papua New Guinea mtu mweusi kama sisi chini kavaa sketi juu kapiga koti na tai huku wana toast wine kwenye party mtasema alikuwa hamnazo?
 

Attachments

  • Screenshot 2025-02-18 131752.png
    542.1 KB · Views: 1
  • Screenshot 2025-02-18 132758.png
    510.4 KB · Views: 1
Eeeh hatari sanaa ๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›
Anajaribu kutafuta watu wa kumkopi style yake na hapati mtu si kila kitu ni cha kukop (in late magu voice)

Kuna vitu vya kubuni na ukibuni kuna watu watakopi kile ulichobuni na si ujinga kama wake.
 
upinde wamejaa kibao huko south, nadhani imeshakubalika huko kwao. Yule aliyepigwa risasi tatizo alikuwa mvaa kobasi halafu imamu
Sema wee, akati South hadi ndoa za mashoga ni halali na ruksa.
 
Si inamaanisha tu yeye ni cross dresser au
 
Engineer moja kati ya career zinazohitaji watu wenye akili timamu

Ndio maana nasema(ga) engineer ni popo tu, anaekunya kageuka upside down!
Sasa Ushoga unahusiana nn na akili timamu? Mbna kuna gays wengi hapa Bongo ni Engs.
 
Haki sawa.
 
Wabongo utawaweza? Akili finyu zimewajaa kichwani, wanahaha na mavazi akati zamani wazee walikua wanakaa uchi.

Hawana walijualo, ni wa kuwasamehee tyuuh. Lol
 
Basi imamu wamemuonea๐Ÿ˜€
Wafuasi wa Mudi huwajui? Wazee wa proud of, kujilipua na kujitoa muhanga kwao ndo maazimio.

Wamemuonea kabisa, kwanza wao walishamfukuza kwenye misikiti yao, yeye kaanzisha wake na kapata wafuasi, wanaanza kumzonga, Lol ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ