Kutana na mzee wa miaka 64 anayependa kuvaa viatu virefu vya kike

Dawa yake ni kumpelekea watoto wa kihuni chocho wamrambe viboko vingi hadi ajoe ndo atakoma
 
Nafikiri kinachowashangaza wengi siyo sketi, ni viatu /high heels.

But, asante kwa kutuelezea kuhusu tamaduni tofauti tofauti duniani, nakubaliana na wewe kwamba mavazi kama magauni na kilts/skirts ni sehemu za tamaduni za jamii mbalimbali.

Kwa mark ambaye ni raia wa marekani mavazi yake siyo sehemu ya utamaduni wa nchi yake bali ni preference yake binafsi.


 
Mnajua kupush agenda yenu!
 
Kama ni Mmarekani hilo sina ubishi na wewe nakuunga mkono ila cha muhimu tu nilitaka kuonyesha wengine kuwa tamaduni za mavazi zinatofautiana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…