Kutana na Raphael Tenthani - mtangazaji mchafu zaidi duniani

Hiiyo picha imemuongezea umaarufu sana huyu mwandishi, hard work pays
This is in the process to be challenged by Dr. Olga, she seems to say Smart work pays.
Ila huyu jamaa kazidi...nadhani atakuwa reporter wa redio na magazeti...
 
lazma ana urafiki wa jirani sana na viroba.:becky:
 
Ni shida!hata wakulima vijijini wakienda sokoni wanavaa vizuri,huyu kapitiliza
una utani sana na pinda wewe ..,maana pinda ndio mkulima namba moja katika hii nchi
 
Raphael Tenthani inasemekana kuwa ndiye mtangazaji mchafu zaidi kutokea duniani



Raphael mara zote utakazo kutana nae huwezi ukamkuta nadhifu , mara kwa mara utamkuta amevaa nguo zilizo chakaa na muda mwingine nguo zenye matobo au viraka



Raphael ingawa ni mwandishi wa habari katika shirika la habari la BBC nchini malawi lakini kwenye suala la usafi yeye limemkalia kushoto sana ,wakati mwingine unaweza ukakutana nae nywele hajachana, viatu vimeachama , mdomo unanuka na mara kwa mara anakuwa katika hali ya ulevi





Raphael amekuwa gumzo sana katika mitandao ya kijamii huku wengi wakimuhisi huenda anafanya hivyo ili asivunje masharti ya mganga



Ni kawaida kumuona Raphael akirusha habari akiwa mchafu bila kujali mahali husika alipo kuwepo.













 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…