Kutegemea maji ya surface (mito, maziwa na mabwawa) kwa matumizi ya kila siku ni hatari sana

Kutegemea maji ya surface (mito, maziwa na mabwawa) kwa matumizi ya kila siku ni hatari sana

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Ukweli mchungu, kama taifa inabidi tubadiri sera zetu na vipaumbele. Kugombea maji ya kutumia na viumbe Kama ndege ilihali tunaweza kuchimba deep well na kupata maji ya kutosha ni jambo lisilovumilika.

Tumesikia mto Ruvu maji yamepungua kina na kupelekea hatari ya mamilioni ya wakazi wa jiji la Dar es salaam kukosa maji ya uhakika. Tanzania Ina sub surface water ya kutosha na inabidi tuyavune maji hayo kwani ni ya uhakika na salama ukilinganisha na surface water.

Huwezi ukatandaza mambomba ya maji kutoka Mwanza Hadi Dodoma halafu ukajiona wewe mjanja hapana. Mkoa wa Dodoma una sub surface water ya kutosha tena aquifer ikiwa karibu zaidi.

Ni muda muafaka Kwa serikali kufanya tathimini juu ya mipango yake na kutoa kipaumbele kwenye maswala ya maji.
 
Chanzo cha maji kwa mji wa Dodoma ni visima virefu Mzakwe na maisha yanasonga, japo wanasema yana magadi kiasi kikubwa.
 
mamlaka za maji wanazo hii mitambo ya kuchimba visima ila uchimbaji umekuwa ni mdogo ukifananisha na matumzi ya maziwa na mito..
 
Ukweli mchungu, kama taifa inabidi tubadiri sera zetu na vipaumbele. Kugombea maji ya kutumia na viumbe Kama ndege ilihali tunaweza kuchimba deep well na kupata maji ya kutosha ni jambo lisilovumilika.

Tumesikia mto Ruvu maji yamepungua kina na kupelekea hatari ya mamilioni ya wakazi wa jiji la Dar es salaam kukosa maji ya uhakika. Tanzania Ina sub surface water ya kutosha na inabidi tuyavune maji hayo kwani ni ya uhakika na salama ukilinganisha na surface water.

Huwezi ukatandaza mambomba ya maji kutoka Mwanza Hadi Dodoma halafu ukajiona wewe mjanja hapana. Mkoa wa Dodoma una sub surface water ya kutosha tena aquifer ikiwa karibu zaidi.

Ni muda muafaka Kwa serikali kufanya tathimini juu ya mipango yake na kutoa kipaumbele kwenye maswala ya maji.
Bonge la idea ila Kwa kuwa vilaza ni wengi hawatakuelewa.

Umeshawahi kujiuliza Dares salaamu Kwa nini viwanda vyote havitumii Maji ya Dawasa,je Maji wanapata wapi?
Jibu ni simple viwanda hivi viña visima na wanapata Maji full 365days.

Ila Sisi tunalazimisha ruvu ruvu wakati maji yapo mengi sana meter kuanzia 10 kutoka usawa wa aridhi.

Hata Kwa sasa watu wanadunda Kwa Maji ya visima tu.

Tanzania ni bongo Lala ndo maana Rostam alisema Hata akija mjanja mwenye jicho moja fursa Tanzania ataziona
 
Back
Top Bottom