Kutekwa Kwa Lema Ndani ya Ndege Kwa Ufunua Ubinafsi Wa Watanzania.

Kutekwa Kwa Lema Ndani ya Ndege Kwa Ufunua Ubinafsi Wa Watanzania.

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
Ndugu Watanzania!
Juzi nilihoji iweje Mhe. Godbless Lema atekwe ndani ya Ndege taarifa zake zisijulikane? Hapa nimetumia neno hili kuwa alitekwa kwa sababu hakuna maelezo sahihi ya kuelezea ukamataji wa aina ile zaidi ya utekaji.

Akiwa katika Maria Space, Lema ameeleza jinsi alivyochukuliwa akiwa ndani ya Ndege ya ATCL pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Arusha wiki iliyopita.

Maelezo ya Lema ni kuwa purukushani za kumkamata wakati akiwa Ndani ya Ndege kabla hajashuka zilishuhudiwa pia na abiria na wahudumu wa Ndege (Air Hostesses). Anaeleza kuwa hakuna hata mmoja kati yao aliyejali kwani kila mmoja alikuwa anapisha kuwahi kushuka.

Tukio la Ali Mohamed Kibao kutekwa ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach hata kesho yake kukutwa akiwa mauti kule Ununio lingewashtua abiria na wafanyakazi wa ile Ndege ya ATCL. Lakini haikuwa hivyo kwao, ilikuwa ni biashara isiyowahusu. Tulitarajia haya yangefanyika:

1. Wahudumu wa Ndege wangehoji iweje watu wamvamie mtu ndani ya Ndege bila hata ya kuwasiliana na uongozi wa Ndege?

2. Wahudumu wa Ndege wangempatia taarifa hizo Rubani Kiongozi ambaye naye angetoa kauli yake.

3. Uongozi wa Ndege ungetoa taarifa kupitia ama kwa agenti wa Lema au ingetangazwa pale mapokezi kuwa abiria huyo ameitwa kwa mahojiano na mamlaka ili kuwatoa hofu watu waliokuwa wanamsubiri.

4. Abiria wangepiga picha hata za kuiba kuwa kama ushahidi au wangevujisha picha katika mitandao ya kijamii ili umma ujue kuwa Lema amenyakuliwa akiwa ndani ya Ndege.

Lakini pamoja na taarifa kuanza kuenea kuwa Lema haonekani, hakuna hata aliyesema kuwa alikamatwa ndani ya Ndege, si abiria na wala si wahudumu wa Ndege. Wote waligeuka kuwa ni mabubu. Lakini mnafikiri kwa nini kunyakuliwa kwa Lema ndani ya Ndege kuwasumbue abiria na wahudumu wa Ndege?

1. Lema alikuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, hivyo ni mtu maarufu na isingewezekana abiria wote wale na wahudumu kutokumjua.

2. Lema ni kiongozi wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na hivyo haiwezekani kuwa kati ya hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile hakukuwa hata na mfuasi wa CHADEMA au angalau ambaye anafuatilia siasa za upinzani au anayewafahamu viongozi au wanachama wa CHADEMA kushindwa hata kutoa taarifa kwa siri.

3. Lema anatumia sana usafiri wa Ndege, kwa hiyo ni mteja wa ATCL. Haiwezekani kuwa kati ya wale wahudumu hakuna asiyemjua. Na kwa hiyo nao ni lazima wanafahamiana na baadhi ya viongozi wa CHADEMA au hata wanachama. Basi wangevujisha zile taarifa. Hata wauguzi na wakunga katika nchi ya Misri walivujisha siri ya Farao ya kuwaua watoto wote wa kiume wa Waisraeli waliokuwa wakiwazalisha. Wakunga wakawaokoa wengi kwa siri akiwemo Musa.

Maswali ya kujuiliza ni haya:

1. Kama Lema angekutwa ameuawa katika Pori la Kisarawe, wahudumu hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile wangesemaje?

2. Kama Lema atakuja kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Tanzania, hao abiria na wahudumu wa Ndege ile watajisikiaje?

3. Hao abiria na wahudumu wa Ndege ile wao wanajiona kuwa wako salama na ndugu zao?

4. Je, wamewahi kujiuliza kama hao wengine waliopotezwa au kuuawa walichukuliwaje?

Je, ukamatwaji wa Mheshimiwa Lema ulikuwa halali? Kama ulikuwa ni ukamatwaji ule ulikuwa halali, ulihalalishwa na nini? Kama ukamatwaji ule ulikuwa haramu, iliharamishwa na nini? Je, ATCL iliunga mkono kitendo cha abiria wake kukamatwa kama ndezi ndani ya Ndege yao?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Septemba 2024
 
Usisahau Hakuna taifa linaitwa Tanzania Bali Kuna nchi inaitwa Tanzania ...no nationalism any more
 
Ndugu Watanzania!
Juzi nilihoji iweje Mhe. Godbless Lema atekwe ndani ya Ndege taarifa zake zisijulikane? Hapa nimetumia neno hili kuwa alitekwa kwa sababu hakuna maelezo sahihi ya kuelezea ukamataji wa aina ile zaidi ya utekaji.

Akiwa katika Maria Space, Lema ameeleza jinsi alivyochukuliwa akiwa ndani ya Ndege ya ATCL pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Arusha wiki iliyopita.

Maelezo ya Lema ni kuwa purukushani za kumkamata wakati akiwa Ndani ya Ndege kabla hajashuka zilishuhudiwa pia na abiria na wahudumu wa Ndege (Air Hostesses). Anaeleza kuwa hakuna hata mmoja kati yao aliyejali kwani kila mmoja alikuwa anapisha kuwahi kushuka.

Tukio la Ali Mohamed Kibao kutekwa ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach hata kesho yake kukutwa akiwa mauti kule Ununio lingewashtua abiria na wafanyakazi wa ile Ndege ya ATCL. Lakini haikuwa hivyo kwao, ilikuwa ni biashara isiyowahusu. Tulitarajia haya yangefanyika:

1. Wahudumu wa Ndege wangehoji iweje watu wamvamie mtu ndani ya Ndege bila hata ya kuwasiliana na uongozi wa Ndege?

2. Wahudumu wa Ndege wangempatia taarifa hizo Rubani Kiongozi ambaye naye angetoa kauli yake.

3. Uongozi wa Ndege ungetoa taarifa kupitia ama kwa agenti wa Lema au ingetangazwa pale mapokezi kuwa abiria huyo ameitwa kwa mahojiano na mamlaka ili kuwatoa hofu watu waliokuwa wanamsubiri.

4. Abiria wangepiga picha hata za kuiba kuwa kama ushahidi au wangevujisha picha katika mitandao ya kijamii ili umma ujue kuwa Lema amenyakuliwa akiwa ndani ya Ndege.

Lakini pamoja na taarifa kuanza kuenea kuwa Lema haonekani, hakuna hata aliyesema kuwa alikamatwa ndani ya Ndege, si abiria na wala si wahudumu wa Ndege. Wote waligeuka kuwa ni mabubu. Lakini mnafikiri kwa nini kunyakuliwa kwa Lema ndani ya Ndege kuwasumbue abiria na wahudumu wa Ndege?

1. Lema alikuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, hivyo ni mtu maarufu na isingewezekana abiria wote wale na wahudumu kutokumjua.

2. Lema ni kiongozi wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na hivyo haiwezekani kuwa kati ya hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile hakukuwa hata na mfuasi wa CHADEMA au angalau ambaye anafuatilia siasa za upinzani au anayewafahamu viongozi au wanachama wa CHADEMA kushindwa hata kutoa taarifa kwa siri.

3. Lema anatumia sana usafiri wa Ndege, kwa hiyo ni mteja wa ATCL. Haiwezekani kuwa kati ya wale wahudumu hakuna asiyemjua. Na kwa hiyo nao ni lazima wanafahamiana na baadhi ya viongozi wa CHADEMA au hata wanachama. Basi wangevujisha zile taarifa. Hata wauguzi na wakunga katika nchi ya Misri walivujisha siri ya Farao ya kuwaua watoto wote wa kiume wa Waisraeli waliokuwa wakiwazalisha. Wakunga wakawaokoa wengi kwa siri akiwemo Musa.

Maswali ya kujuiliza ni haya:

1. Kama Lema angekutwa ameuawa katika Pori la Kisarawe, wahudumu hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile wangesemaje?

2. Kama Lema atakuja kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Tanzania, hao abiria na wahudumu wa Ndege ile watajisikiaje?

3. Hao abiria na wahudumu wa Ndege ile wao wanajiona kuwa wako salama na ndugu zao?

4. Je, wamewahi kujiuliza kama hao wengine waliopotezwa au kuuawa walichukuliwaje?

Je, ukamatwaji wa Mheshimiwa Lema ulikuwa halali? Kama ulikuwa ni ukamatwaji ule ulikuwa halali, ulihalalishwa na nini? Kama ukamatwaji ule ulikuwa haramu, iliharamishwa na nini? Je, ATCL iliunga mkono kitendo cha abiria wake kukamatwa kama ndezi ndani ya Ndege yao?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Septemba 2024
Mandege ya yule mwendazake na hao wahudumu na marubani ni maccm hawajali chochote! Angepanda ndege nyingie TU, huenda hata walikuwa wanawasiliana na wahudumu! Kwani lema ni Hamas au Hezbollah?
 
Ndugu Watanzania!
Juzi nilihoji iweje Mhe. Godbless Lema atekwe ndani ya Ndege taarifa zake zisijulikane? Hapa nimetumia neno hili kuwa alitekwa kwa sababu hakuna maelezo sahihi ya kuelezea ukamataji wa aina ile zaidi ya utekaji.

Akiwa katika Maria Space, Lema ameeleza jinsi alivyochukuliwa akiwa ndani ya Ndege ya ATCL pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Arusha wiki iliyopita.

Maelezo ya Lema ni kuwa purukushani za kumkamata wakati akiwa Ndani ya Ndege kabla hajashuka zilishuhudiwa pia na abiria na wahudumu wa Ndege (Air Hostesses). Anaeleza kuwa hakuna hata mmoja kati yao aliyejali kwani kila mmoja alikuwa anapisha kuwahi kushuka.

Tukio la Ali Mohamed Kibao kutekwa ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach hata kesho yake kukutwa akiwa mauti kule Ununio lingewashtua abiria na wafanyakazi wa ile Ndege ya ATCL. Lakini haikuwa hivyo kwao, ilikuwa ni biashara isiyowahusu. Tulitarajia haya yangefanyika:

1. Wahudumu wa Ndege wangehoji iweje watu wamvamie mtu ndani ya Ndege bila hata ya kuwasiliana na uongozi wa Ndege?

2. Wahudumu wa Ndege wangempatia taarifa hizo Rubani Kiongozi ambaye naye angetoa kauli yake.

3. Uongozi wa Ndege ungetoa taarifa kupitia ama kwa agenti wa Lema au ingetangazwa pale mapokezi kuwa abiria huyo ameitwa kwa mahojiano na mamlaka ili kuwatoa hofu watu waliokuwa wanamsubiri.

4. Abiria wangepiga picha hata za kuiba kuwa kama ushahidi au wangevujisha picha katika mitandao ya kijamii ili umma ujue kuwa Lema amenyakuliwa akiwa ndani ya Ndege.

Lakini pamoja na taarifa kuanza kuenea kuwa Lema haonekani, hakuna hata aliyesema kuwa alikamatwa ndani ya Ndege, si abiria na wala si wahudumu wa Ndege. Wote waligeuka kuwa ni mabubu. Lakini mnafikiri kwa nini kunyakuliwa kwa Lema ndani ya Ndege kuwasumbue abiria na wahudumu wa Ndege?

1. Lema alikuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, hivyo ni mtu maarufu na isingewezekana abiria wote wale na wahudumu kutokumjua.

2. Lema ni kiongozi wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na hivyo haiwezekani kuwa kati ya hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile hakukuwa hata na mfuasi wa CHADEMA au angalau ambaye anafuatilia siasa za upinzani au anayewafahamu viongozi au wanachama wa CHADEMA kushindwa hata kutoa taarifa kwa siri.

3. Lema anatumia sana usafiri wa Ndege, kwa hiyo ni mteja wa ATCL. Haiwezekani kuwa kati ya wale wahudumu hakuna asiyemjua. Na kwa hiyo nao ni lazima wanafahamiana na baadhi ya viongozi wa CHADEMA au hata wanachama. Basi wangevujisha zile taarifa. Hata wauguzi na wakunga katika nchi ya Misri walivujisha siri ya Farao ya kuwaua watoto wote wa kiume wa Waisraeli waliokuwa wakiwazalisha. Wakunga wakawaokoa wengi kwa siri akiwemo Musa.

Maswali ya kujuiliza ni haya:

1. Kama Lema angekutwa ameuawa katika Pori la Kisarawe, wahudumu hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile wangesemaje?

2. Kama Lema atakuja kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Tanzania, hao abiria na wahudumu wa Ndege ile watajisikiaje?

3. Hao abiria na wahudumu wa Ndege ile wao wanajiona kuwa wako salama na ndugu zao?

4. Je, wamewahi kujiuliza kama hao wengine waliopotezwa au kuuawa walichukuliwaje?

Je, ukamatwaji wa Mheshimiwa Lema ulikuwa halali? Kama ulikuwa ni ukamatwaji ule ulikuwa halali, ulihalalishwa na nini? Kama ukamatwaji ule ulikuwa haramu, iliharamishwa na nini? Je, ATCL iliunga mkono kitendo cha abiria wake kukamatwa kama ndezi ndani ya Ndege yao?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Septemba 2024
Huyu form failure hakutekwa aache siasa za kijuha
 
Ndugu Watanzania!
Juzi nilihoji iweje Mhe. Godbless Lema atekwe ndani ya Ndege taarifa zake zisijulikane? Hapa nimetumia neno hili kuwa alitekwa kwa sababu hakuna maelezo sahihi ya kuelezea ukamataji wa aina ile zaidi ya utekaji.

Akiwa katika Maria Space, Lema ameeleza jinsi alivyochukuliwa akiwa ndani ya Ndege ya ATCL pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Arusha wiki iliyopita.

Maelezo ya Lema ni kuwa purukushani za kumkamata wakati akiwa Ndani ya Ndege kabla hajashuka zilishuhudiwa pia na abiria na wahudumu wa Ndege (Air Hostesses). Anaeleza kuwa hakuna hata mmoja kati yao aliyejali kwani kila mmoja alikuwa anapisha kuwahi kushuka.

Tukio la Ali Mohamed Kibao kutekwa ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach hata kesho yake kukutwa akiwa mauti kule Ununio lingewashtua abiria na wafanyakazi wa ile Ndege ya ATCL. Lakini haikuwa hivyo kwao, ilikuwa ni biashara isiyowahusu. Tulitarajia haya yangefanyika:

1. Wahudumu wa Ndege wangehoji iweje watu wamvamie mtu ndani ya Ndege bila hata ya kuwasiliana na uongozi wa Ndege?

2. Wahudumu wa Ndege wangempatia taarifa hizo Rubani Kiongozi ambaye naye angetoa kauli yake.

3. Uongozi wa Ndege ungetoa taarifa kupitia ama kwa agenti wa Lema au ingetangazwa pale mapokezi kuwa abiria huyo ameitwa kwa mahojiano na mamlaka ili kuwatoa hofu watu waliokuwa wanamsubiri.

4. Abiria wangepiga picha hata za kuiba kuwa kama ushahidi au wangevujisha picha katika mitandao ya kijamii ili umma ujue kuwa Lema amenyakuliwa akiwa ndani ya Ndege.

Lakini pamoja na taarifa kuanza kuenea kuwa Lema haonekani, hakuna hata aliyesema kuwa alikamatwa ndani ya Ndege, si abiria na wala si wahudumu wa Ndege. Wote waligeuka kuwa ni mabubu. Lakini mnafikiri kwa nini kunyakuliwa kwa Lema ndani ya Ndege kuwasumbue abiria na wahudumu wa Ndege?

1. Lema alikuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, hivyo ni mtu maarufu na isingewezekana abiria wote wale na wahudumu kutokumjua.

2. Lema ni kiongozi wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na hivyo haiwezekani kuwa kati ya hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile hakukuwa hata na mfuasi wa CHADEMA au angalau ambaye anafuatilia siasa za upinzani au anayewafahamu viongozi au wanachama wa CHADEMA kushindwa hata kutoa taarifa kwa siri.

3. Lema anatumia sana usafiri wa Ndege, kwa hiyo ni mteja wa ATCL. Haiwezekani kuwa kati ya wale wahudumu hakuna asiyemjua. Na kwa hiyo nao ni lazima wanafahamiana na baadhi ya viongozi wa CHADEMA au hata wanachama. Basi wangevujisha zile taarifa. Hata wauguzi na wakunga katika nchi ya Misri walivujisha siri ya Farao ya kuwaua watoto wote wa kiume wa Waisraeli waliokuwa wakiwazalisha. Wakunga wakawaokoa wengi kwa siri akiwemo Musa.

Maswali ya kujuiliza ni haya:

1. Kama Lema angekutwa ameuawa katika Pori la Kisarawe, wahudumu hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile wangesemaje?

2. Kama Lema atakuja kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Tanzania, hao abiria na wahudumu wa Ndege ile watajisikiaje?

3. Hao abiria na wahudumu wa Ndege ile wao wanajiona kuwa wako salama na ndugu zao?

4. Je, wamewahi kujiuliza kama hao wengine waliopotezwa au kuuawa walichukuliwaje?

Je, ukamatwaji wa Mheshimiwa Lema ulikuwa halali? Kama ulikuwa ni ukamatwaji ule ulikuwa halali, ulihalalishwa na nini? Kama ukamatwaji ule ulikuwa haramu, iliharamishwa na nini? Je, ATCL iliunga mkono kitendo cha abiria wake kukamatwa kama ndezi ndani ya Ndege yao?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Septemba 2024
Katekwa na nani
 
Unaongea tu,ukishaambiwa ni maagizo toka ikulu huku kuna bastola huku AK 47 utaufyata tu,polisi ni majambazi yaliyopewa kibali cha kuua
 
Ndugu Watanzania!
Juzi nilihoji iweje Mhe. Godbless Lema atekwe ndani ya Ndege taarifa zake zisijulikane? Hapa nimetumia neno hili kuwa alitekwa kwa sababu hakuna maelezo sahihi ya kuelezea ukamataji wa aina ile zaidi ya utekaji.

Akiwa katika Maria Space, Lema ameeleza jinsi alivyochukuliwa akiwa ndani ya Ndege ya ATCL pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Arusha wiki iliyopita.

Maelezo ya Lema ni kuwa purukushani za kumkamata wakati akiwa Ndani ya Ndege kabla hajashuka zilishuhudiwa pia na abiria na wahudumu wa Ndege (Air Hostesses). Anaeleza kuwa hakuna hata mmoja kati yao aliyejali kwani kila mmoja alikuwa anapisha kuwahi kushuka.

Tukio la Ali Mohamed Kibao kutekwa ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach hata kesho yake kukutwa akiwa mauti kule Ununio lingewashtua abiria na wafanyakazi wa ile Ndege ya ATCL. Lakini haikuwa hivyo kwao, ilikuwa ni biashara isiyowahusu. Tulitarajia haya yangefanyika:

1. Wahudumu wa Ndege wangehoji iweje watu wamvamie mtu ndani ya Ndege bila hata ya kuwasiliana na uongozi wa Ndege?

2. Wahudumu wa Ndege wangempatia taarifa hizo Rubani Kiongozi ambaye naye angetoa kauli yake.

3. Uongozi wa Ndege ungetoa taarifa kupitia ama kwa agenti wa Lema au ingetangazwa pale mapokezi kuwa abiria huyo ameitwa kwa mahojiano na mamlaka ili kuwatoa hofu watu waliokuwa wanamsubiri.

4. Abiria wangepiga picha hata za kuiba kuwa kama ushahidi au wangevujisha picha katika mitandao ya kijamii ili umma ujue kuwa Lema amenyakuliwa akiwa ndani ya Ndege.

Lakini pamoja na taarifa kuanza kuenea kuwa Lema haonekani, hakuna hata aliyesema kuwa alikamatwa ndani ya Ndege, si abiria na wala si wahudumu wa Ndege. Wote waligeuka kuwa ni mabubu. Lakini mnafikiri kwa nini kunyakuliwa kwa Lema ndani ya Ndege kuwasumbue abiria na wahudumu wa Ndege?

1. Lema alikuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, hivyo ni mtu maarufu na isingewezekana abiria wote wale na wahudumu kutokumjua.

2. Lema ni kiongozi wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na hivyo haiwezekani kuwa kati ya hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile hakukuwa hata na mfuasi wa CHADEMA au angalau ambaye anafuatilia siasa za upinzani au anayewafahamu viongozi au wanachama wa CHADEMA kushindwa hata kutoa taarifa kwa siri.

3. Lema anatumia sana usafiri wa Ndege, kwa hiyo ni mteja wa ATCL. Haiwezekani kuwa kati ya wale wahudumu hakuna asiyemjua. Na kwa hiyo nao ni lazima wanafahamiana na baadhi ya viongozi wa CHADEMA au hata wanachama. Basi wangevujisha zile taarifa. Hata wauguzi na wakunga katika nchi ya Misri walivujisha siri ya Farao ya kuwaua watoto wote wa kiume wa Waisraeli waliokuwa wakiwazalisha. Wakunga wakawaokoa wengi kwa siri akiwemo Musa.

Maswali ya kujuiliza ni haya:

1. Kama Lema angekutwa ameuawa katika Pori la Kisarawe, wahudumu hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile wangesemaje?

2. Kama Lema atakuja kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Tanzania, hao abiria na wahudumu wa Ndege ile watajisikiaje?

3. Hao abiria na wahudumu wa Ndege ile wao wanajiona kuwa wako salama na ndugu zao?

4. Je, wamewahi kujiuliza kama hao wengine waliopotezwa au kuuawa walichukuliwaje?

Je, ukamatwaji wa Mheshimiwa Lema ulikuwa halali? Kama ulikuwa ni ukamatwaji ule ulikuwa halali, ulihalalishwa na nini? Kama ukamatwaji ule ulikuwa haramu, iliharamishwa na nini? Je, ATCL iliunga mkono kitendo cha abiria wake kukamatwa kama ndezi ndani ya Ndege yao?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Septemba 2024
Tatizo siyo ubinafsi

Ni wazi serikali ya Tsnzania ni ys KINYAMA na UKATILI mkubwa.

  1. Serikali haizingatii utawala wa sheria.
  2. Serikali inayoua raia wake ili kulinda maslahi binafsi ya wakubwa serikalini
  3. Serikali inayopambana dhidi ya raia ambao hawana jeshi wala silaha lakini zinatumika zana nzito za kivita kufifisha mawazo na kero zao
  4. Serikali inayotumia wahalifu kuwwfanyia ugaidi raia.
  5. Serikali inayolinda maslahi ya chama kuliko maslahi ya nchi na watu wake
  6. Serikali inayookoteza wajinga na kuwalipa ili kuwadhalilisha raia wanaodai haki ya kusikilizwa na kutoa maoni
  7. Serikali fisadi
  8. Serikali inayoshirikiana na chama tawala kuiba kura na kuchezea chaguzi

Imekosa uhalali
 
Eti tanzania nchi ya amani[emoji706]
Unaweza kua unakata roho hapo barabarani na watu wasiwe na muda na wewe kwanza watakuchukua video kwenye simu zao za tekno waende ku share.
 
Tatizo siyo ubinafsi

Ni wazi serikali ya Tsnzania ni ys KINYAMA na UKATILI mkubwa.

  1. Serikali haizingatii utawala wa sheria.
  2. Serikali inayoua raia wake ili kulinda maslahi binafsi ya wakubwa serikalini
  3. Serikali inayopambana dhidi ya raia ambao hawana jeshi wala silaha lakini zinatumika zana nzito za kivita kufifisha mawazo na kero zao
  4. Serikali inayotumia wahalifu kuwwfanyia ugaidi raia.
  5. Serikali inayolinda maslahi ya chama kuliko maslahi ya nchi na watu wake
  6. Serikali inayookoteza wajinga na kuwalipa ili kuwadhalilisha raia wanaodai haki ya kusikilizwa na kutoa maoni
  7. Serikali fisadi
  8. Serikali inayoshirikiana na chama tawala kuiba kura na kuchezea chaguzi

Imekosa uhalali
Ipi inafaa?
 
Siku moja Kabla ya maandamano kuna mtu alisema Lema haonekani na simu zake hazipatikani.

Kama watekaji wameweza kuingia ndani ya ndege bila ATCL kujua basi ipo siku abiria watachukuliwa mateka na waende kuwa dumped Afghanistan na kujiunga na alqaeda.
 
Usiwalaumu watanzania!

Sisi kama JAMUHURI tumeshindwa kutengeneza taifa halisi liitwalo Tanzania!
Hakuna utaifa kati ya viongozi na wanao ongozwa,Mtawala na wanaotawaliwa!!

Vyombo vya ulinzi vinalinda hisia za viongozi badala ya kulinda sheria na katiba ya nchi!!

Vyombo vya ulinzi vinalinda mtu na chama chake badala ya utanzania ,utaifa na ustawi wake plus sheria zake!!

Kuna ile Sheria ya usalama wa taifa ilipitishwa Bungeni na wabunge was chama tawala waliowengi wakaona hakuna shida !!

Sasa basi!

"UPINZANI NI CHAMBO TU,MUDA SIO MREFU WATAANZA KUTEKWA MAKADA WA CHAMA TAWALA WAZITO WAZITO NDIO TUTAANZA KUELEWANA"
 
Ndugu Watanzania!
Juzi nilihoji iweje Mhe. Godbless Lema atekwe ndani ya Ndege taarifa zake zisijulikane? Hapa nimetumia neno hili kuwa alitekwa kwa sababu hakuna maelezo sahihi ya kuelezea ukamataji wa aina ile zaidi ya utekaji.

Akiwa katika Maria Space, Lema ameeleza jinsi alivyochukuliwa akiwa ndani ya Ndege ya ATCL pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Arusha wiki iliyopita.

Maelezo ya Lema ni kuwa purukushani za kumkamata wakati akiwa Ndani ya Ndege kabla hajashuka zilishuhudiwa pia na abiria na wahudumu wa Ndege (Air Hostesses). Anaeleza kuwa hakuna hata mmoja kati yao aliyejali kwani kila mmoja alikuwa anapisha kuwahi kushuka.

Tukio la Ali Mohamed Kibao kutekwa ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach hata kesho yake kukutwa akiwa mauti kule Ununio lingewashtua abiria na wafanyakazi wa ile Ndege ya ATCL. Lakini haikuwa hivyo kwao, ilikuwa ni biashara isiyowahusu. Tulitarajia haya yangefanyika:

1. Wahudumu wa Ndege wangehoji iweje watu wamvamie mtu ndani ya Ndege bila hata ya kuwasiliana na uongozi wa Ndege?

2. Wahudumu wa Ndege wangempatia taarifa hizo Rubani Kiongozi ambaye naye angetoa kauli yake.

3. Uongozi wa Ndege ungetoa taarifa kupitia ama kwa agenti wa Lema au ingetangazwa pale mapokezi kuwa abiria huyo ameitwa kwa mahojiano na mamlaka ili kuwatoa hofu watu waliokuwa wanamsubiri.

4. Abiria wangepiga picha hata za kuiba kuwa kama ushahidi au wangevujisha picha katika mitandao ya kijamii ili umma ujue kuwa Lema amenyakuliwa akiwa ndani ya Ndege.

Lakini pamoja na taarifa kuanza kuenea kuwa Lema haonekani, hakuna hata aliyesema kuwa alikamatwa ndani ya Ndege, si abiria na wala si wahudumu wa Ndege. Wote waligeuka kuwa ni mabubu. Lakini mnafikiri kwa nini kunyakuliwa kwa Lema ndani ya Ndege kuwasumbue abiria na wahudumu wa Ndege?

1. Lema alikuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, hivyo ni mtu maarufu na isingewezekana abiria wote wale na wahudumu kutokumjua.

2. Lema ni kiongozi wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na hivyo haiwezekani kuwa kati ya hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile hakukuwa hata na mfuasi wa CHADEMA au angalau ambaye anafuatilia siasa za upinzani au anayewafahamu viongozi au wanachama wa CHADEMA kushindwa hata kutoa taarifa kwa siri.

3. Lema anatumia sana usafiri wa Ndege, kwa hiyo ni mteja wa ATCL. Haiwezekani kuwa kati ya wale wahudumu hakuna asiyemjua. Na kwa hiyo nao ni lazima wanafahamiana na baadhi ya viongozi wa CHADEMA au hata wanachama. Basi wangevujisha zile taarifa. Hata wauguzi na wakunga katika nchi ya Misri walivujisha siri ya Farao ya kuwaua watoto wote wa kiume wa Waisraeli waliokuwa wakiwazalisha. Wakunga wakawaokoa wengi kwa siri akiwemo Musa.

Maswali ya kujuiliza ni haya:

1. Kama Lema angekutwa ameuawa katika Pori la Kisarawe, wahudumu hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile wangesemaje?

2. Kama Lema atakuja kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Tanzania, hao abiria na wahudumu wa Ndege ile watajisikiaje?

3. Hao abiria na wahudumu wa Ndege ile wao wanajiona kuwa wako salama na ndugu zao?

4. Je, wamewahi kujiuliza kama hao wengine waliopotezwa au kuuawa walichukuliwaje?

Je, ukamatwaji wa Mheshimiwa Lema ulikuwa halali? Kama ulikuwa ni ukamatwaji ule ulikuwa halali, ulihalalishwa na nini? Kama ukamatwaji ule ulikuwa haramu, iliharamishwa na nini? Je, ATCL iliunga mkono kitendo cha abiria wake kukamatwa kama ndezi ndani ya Ndege yao?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Septemba 2024
Lipo tatizo au janga kubwa sana kwenye Utawala wa nchi yetu, na kiini cha kuwepo kwa janga hilo ni kutokana na kuwepo kwa Sheria na Katiba mbaya Sana ya nchi. Aidha, nchi ya Tanzania haina kabisa mfumo wa Utawala wa Sheria. Kwa kawaida abiria wa chombo cha usafiri wa anga wanakuwa wako katika Mazingira yenye Sheria, kanuni na taratibu kali Sana za kiusalama, ikiwamo na mfumo wa utambuZi wa uhakika kwa abiria (positive identification) kwa ajili ya sababu za kiusalama. Sasa sijui hao Askari Polisi waliwezaje kuingia kwenye ndege na kuvunja protocol zote za kiusalama kuhusu abiria waliomo kwenye ndege husika ukizingatia kwamba Godbless Lema kamwe siyo mtu ambaye ni kitisho kikubwa katika nchi hii. Hata kama Askari Polisi Kama kweli walikuwa na genuine reasons za wao kutaka kumkamata mtu huyo wangetumia ustaarabu hata wa kumsubiria ashuke kutoka kwenye ndege ili wamkamate (arrest) akiwa kwenye mageti au vizuizi vya ukaguzi vilivyopo hapo airport. Je, walishindwa Nini kufanya hivyo ?? Na Je, kwa nini walimnyima haki yake ya Msingi kabisa ya yeye kuweza kuwasiliana na ndugu zake ili aweze kuwataarifu kuhusu suala hilo la kukamatwa kwake????
 
Ndugu Watanzania!
Juzi nilihoji iweje Mhe. Godbless Lema atekwe ndani ya Ndege taarifa zake zisijulikane? Hapa nimetumia neno hili kuwa alitekwa kwa sababu hakuna maelezo sahihi ya kuelezea ukamataji wa aina ile zaidi ya utekaji.

Akiwa katika Maria Space, Lema ameeleza jinsi alivyochukuliwa akiwa ndani ya Ndege ya ATCL pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Arusha wiki iliyopita.

Maelezo ya Lema ni kuwa purukushani za kumkamata wakati akiwa Ndani ya Ndege kabla hajashuka zilishuhudiwa pia na abiria na wahudumu wa Ndege (Air Hostesses). Anaeleza kuwa hakuna hata mmoja kati yao aliyejali kwani kila mmoja alikuwa anapisha kuwahi kushuka.

Tukio la Ali Mohamed Kibao kutekwa ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach hata kesho yake kukutwa akiwa mauti kule Ununio lingewashtua abiria na wafanyakazi wa ile Ndege ya ATCL. Lakini haikuwa hivyo kwao, ilikuwa ni biashara isiyowahusu. Tulitarajia haya yangefanyika:

1. Wahudumu wa Ndege wangehoji iweje watu wamvamie mtu ndani ya Ndege bila hata ya kuwasiliana na uongozi wa Ndege?

2. Wahudumu wa Ndege wangempatia taarifa hizo Rubani Kiongozi ambaye naye angetoa kauli yake.

3. Uongozi wa Ndege ungetoa taarifa kupitia ama kwa agenti wa Lema au ingetangazwa pale mapokezi kuwa abiria huyo ameitwa kwa mahojiano na mamlaka ili kuwatoa hofu watu waliokuwa wanamsubiri.

4. Abiria wangepiga picha hata za kuiba kuwa kama ushahidi au wangevujisha picha katika mitandao ya kijamii ili umma ujue kuwa Lema amenyakuliwa akiwa ndani ya Ndege.

Lakini pamoja na taarifa kuanza kuenea kuwa Lema haonekani, hakuna hata aliyesema kuwa alikamatwa ndani ya Ndege, si abiria na wala si wahudumu wa Ndege. Wote waligeuka kuwa ni mabubu. Lakini mnafikiri kwa nini kunyakuliwa kwa Lema ndani ya Ndege kuwasumbue abiria na wahudumu wa Ndege?

1. Lema alikuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, hivyo ni mtu maarufu na isingewezekana abiria wote wale na wahudumu kutokumjua.

2. Lema ni kiongozi wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na hivyo haiwezekani kuwa kati ya hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile hakukuwa hata na mfuasi wa CHADEMA au angalau ambaye anafuatilia siasa za upinzani au anayewafahamu viongozi au wanachama wa CHADEMA kushindwa hata kutoa taarifa kwa siri.

3. Lema anatumia sana usafiri wa Ndege, kwa hiyo ni mteja wa ATCL. Haiwezekani kuwa kati ya wale wahudumu hakuna asiyemjua. Na kwa hiyo nao ni lazima wanafahamiana na baadhi ya viongozi wa CHADEMA au hata wanachama. Basi wangevujisha zile taarifa. Hata wauguzi na wakunga katika nchi ya Misri walivujisha siri ya Farao ya kuwaua watoto wote wa kiume wa Waisraeli waliokuwa wakiwazalisha. Wakunga wakawaokoa wengi kwa siri akiwemo Musa.

Maswali ya kujuiliza ni haya:

1. Kama Lema angekutwa ameuawa katika Pori la Kisarawe, wahudumu hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile wangesemaje?

2. Kama Lema atakuja kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Tanzania, hao abiria na wahudumu wa Ndege ile watajisikiaje?

3. Hao abiria na wahudumu wa Ndege ile wao wanajiona kuwa wako salama na ndugu zao?

4. Je, wamewahi kujiuliza kama hao wengine waliopotezwa au kuuawa walichukuliwaje?

Je, ukamatwaji wa Mheshimiwa Lema ulikuwa halali? Kama ulikuwa ni ukamatwaji ule ulikuwa halali, ulihalalishwa na nini? Kama ukamatwaji ule ulikuwa haramu, iliharamishwa na nini? Je, ATCL iliunga mkono kitendo cha abiria wake kukamatwa kama ndezi ndani ya Ndege yao?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Septemba 2024
Chadema hadi mjambe cheche akili hamna ..mtajua umuhimu wa jpm tena mtajua ni kwanini watz walimpenda
 
Back
Top Bottom