Misukule ya mzee Mbowe ina shida ya ulewa aiseeSiyo kila tukio la ukamataji ni utekaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Misukule ya mzee Mbowe ina shida ya ulewa aiseeSiyo kila tukio la ukamataji ni utekaji.
Kuwaita watunmisukule siyo sawa Brother. Tukubali tu kuwa kuna watu tunaopenda kuhusishahusisha masuala bila kuyaangalia Kwa upekee wake.Misukule ya mzee Mbowe ina shida ya ulewe
Mkuu hata kama umekosa hela, usikose hata akili basi, una dalili za Kimasikini sana yaani mtu kuwa na itikadi ya kisiasa tofauti na yako unamchukia???Si wa kiwango cha Mzee Mbowe,Lema,Sugu na Wenje.
Huyo Makupa ana roho ya Kimasikini na ya kijinga sana. Halafu na yeye anaitwa Great Thinker. Ningekuwa na mamlaka humu JF ningepitisha filter mtu kama Makupa angekuwa anaishia kwenye majukwaa ya Chitchat na KimasiharaKuwaita watunmisukule siyo sawa Brother. Tukubali tu kuwa kuna watu tunaopenda kuhusishahusisha masuala bila kuyaangalia Kwa upekee wake.
Vipi na Tigo mmejiandaa?Huyu form failure hakutekwa aache siasa za kijuha
Wewe uliefaulu form four una mchango gani kwa Taifa zaidi ya Uchawa tu.Huyu form failure hakutekwa aache siasa za kijuha
Ukorofishane na watu halafu ulaumu wengine eti hawakuingilia ugomvi wako? KUMBAVU!!Ndugu Watanzania!
Juzi nilihoji iweje Mhe. Godbless Lema atekwe ndani ya Ndege taarifa zake zisijulikane? Hapa nimetumia neno hili kuwa alitekwa kwa sababu hakuna maelezo sahihi ya kuelezea ukamataji wa aina ile zaidi ya utekaji.
Akiwa katika Maria Space, Lema ameeleza jinsi alivyochukuliwa akiwa ndani ya Ndege ya ATCL pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Arusha wiki iliyopita.
Maelezo ya Lema ni kuwa purukushani za kumkamata wakati akiwa Ndani ya Ndege kabla hajashuka zilishuhudiwa pia na abiria na wahudumu wa Ndege (Air Hostesses). Anaeleza kuwa hakuna hata mmoja kati yao aliyejali kwani kila mmoja alikuwa anapisha kuwahi kushuka.
Tukio la Ali Mohamed Kibao kutekwa ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach hata kesho yake kukutwa akiwa mauti kule Ununio lingewashtua abiria na wafanyakazi wa ile Ndege ya ATCL. Lakini haikuwa hivyo kwao, ilikuwa ni biashara isiyowahusu. Tulitarajia haya yangefanyika:
1. Wahudumu wa Ndege wangehoji iweje watu wamvamie mtu ndani ya Ndege bila hata ya kuwasiliana na uongozi wa Ndege?
2. Wahudumu wa Ndege wangempatia taarifa hizo Rubani Kiongozi ambaye naye angetoa kauli yake.
3. Uongozi wa Ndege ungetoa taarifa kupitia ama kwa agenti wa Lema au ingetangazwa pale mapokezi kuwa abiria huyo ameitwa kwa mahojiano na mamlaka ili kuwatoa hofu watu waliokuwa wanamsubiri.
4. Abiria wangepiga picha hata za kuiba kuwa kama ushahidi au wangevujisha picha katika mitandao ya kijamii ili umma ujue kuwa Lema amenyakuliwa akiwa ndani ya Ndege.
Lakini pamoja na taarifa kuanza kuenea kuwa Lema haonekani, hakuna hata aliyesema kuwa alikamatwa ndani ya Ndege, si abiria na wala si wahudumu wa Ndege. Wote waligeuka kuwa ni mabubu. Lakini mnafikiri kwa nini kunyakuliwa kwa Lema ndani ya Ndege kuwasumbue abiria na wahudumu wa Ndege?
1. Lema alikuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, hivyo ni mtu maarufu na isingewezekana abiria wote wale na wahudumu kutokumjua.
2. Lema ni kiongozi wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na hivyo haiwezekani kuwa kati ya hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile hakukuwa hata na mfuasi wa CHADEMA au angalau ambaye anafuatilia siasa za upinzani au anayewafahamu viongozi au wanachama wa CHADEMA kushindwa hata kutoa taarifa kwa siri.
3. Lema anatumia sana usafiri wa Ndege, kwa hiyo ni mteja wa ATCL. Haiwezekani kuwa kati ya wale wahudumu hakuna asiyemjua. Na kwa hiyo nao ni lazima wanafahamiana na baadhi ya viongozi wa CHADEMA au hata wanachama. Basi wangevujisha zile taarifa. Hata wauguzi na wakunga katika nchi ya Misri walivujisha siri ya Farao ya kuwaua watoto wote wa kiume wa Waisraeli waliokuwa wakiwazalisha. Wakunga wakawaokoa wengi kwa siri akiwemo Musa.
Maswali ya kujuiliza ni haya:
1. Kama Lema angekutwa ameuawa katika Pori la Kisarawe, wahudumu hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile wangesemaje?
2. Kama Lema atakuja kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Tanzania, hao abiria na wahudumu wa Ndege ile watajisikiaje?
3. Hao abiria na wahudumu wa Ndege ile wao wanajiona kuwa wako salama na ndugu zao?
4. Je, wamewahi kujiuliza kama hao wengine waliopotezwa au kuuawa walichukuliwaje?
Je, ukamatwaji wa Mheshimiwa Lema ulikuwa halali? Kama ulikuwa ni ukamatwaji ule ulikuwa halali, ulihalalishwa na nini? Kama ukamatwaji ule ulikuwa haramu, iliharamishwa na nini? Je, ATCL iliunga mkono kitendo cha abiria wake kukamatwa kama ndezi ndani ya Ndege yao?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Septemba 2024
Alitekwa kwasababu alikuwa anaandama kwenye ndegeNdugu Watanzania!
Juzi nilihoji iweje Mhe. Godbless Lema atekwe ndani ya Ndege taarifa zake zisijulikane? Hapa nimetumia neno hili kuwa alitekwa kwa sababu hakuna maelezo sahihi ya kuelezea ukamataji wa aina ile zaidi ya utekaji.
Akiwa katika Maria Space, Lema ameeleza jinsi alivyochukuliwa akiwa ndani ya Ndege ya ATCL pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Arusha wiki iliyopita.
Maelezo ya Lema ni kuwa purukushani za kumkamata wakati akiwa Ndani ya Ndege kabla hajashuka zilishuhudiwa pia na abiria na wahudumu wa Ndege (Air Hostesses). Anaeleza kuwa hakuna hata mmoja kati yao aliyejali kwani kila mmoja alikuwa anapisha kuwahi kushuka.
Tukio la Ali Mohamed Kibao kutekwa ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach hata kesho yake kukutwa akiwa mauti kule Ununio lingewashtua abiria na wafanyakazi wa ile Ndege ya ATCL. Lakini haikuwa hivyo kwao, ilikuwa ni biashara isiyowahusu. Tulitarajia haya yangefanyika:
1. Wahudumu wa Ndege wangehoji iweje watu wamvamie mtu ndani ya Ndege bila hata ya kuwasiliana na uongozi wa Ndege?
2. Wahudumu wa Ndege wangempatia taarifa hizo Rubani Kiongozi ambaye naye angetoa kauli yake.
3. Uongozi wa Ndege ungetoa taarifa kupitia ama kwa agenti wa Lema au ingetangazwa pale mapokezi kuwa abiria huyo ameitwa kwa mahojiano na mamlaka ili kuwatoa hofu watu waliokuwa wanamsubiri.
4. Abiria wangepiga picha hata za kuiba kuwa kama ushahidi au wangevujisha picha katika mitandao ya kijamii ili umma ujue kuwa Lema amenyakuliwa akiwa ndani ya Ndege.
Lakini pamoja na taarifa kuanza kuenea kuwa Lema haonekani, hakuna hata aliyesema kuwa alikamatwa ndani ya Ndege, si abiria na wala si wahudumu wa Ndege. Wote waligeuka kuwa ni mabubu. Lakini mnafikiri kwa nini kunyakuliwa kwa Lema ndani ya Ndege kuwasumbue abiria na wahudumu wa Ndege?
1. Lema alikuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, hivyo ni mtu maarufu na isingewezekana abiria wote wale na wahudumu kutokumjua.
2. Lema ni kiongozi wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na hivyo haiwezekani kuwa kati ya hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile hakukuwa hata na mfuasi wa CHADEMA au angalau ambaye anafuatilia siasa za upinzani au anayewafahamu viongozi au wanachama wa CHADEMA kushindwa hata kutoa taarifa kwa siri.
3. Lema anatumia sana usafiri wa Ndege, kwa hiyo ni mteja wa ATCL. Haiwezekani kuwa kati ya wale wahudumu hakuna asiyemjua. Na kwa hiyo nao ni lazima wanafahamiana na baadhi ya viongozi wa CHADEMA au hata wanachama. Basi wangevujisha zile taarifa. Hata wauguzi na wakunga katika nchi ya Misri walivujisha siri ya Farao ya kuwaua watoto wote wa kiume wa Waisraeli waliokuwa wakiwazalisha. Wakunga wakawaokoa wengi kwa siri akiwemo Musa.
Maswali ya kujuiliza ni haya:
1. Kama Lema angekutwa ameuawa katika Pori la Kisarawe, wahudumu hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile wangesemaje?
2. Kama Lema atakuja kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Tanzania, hao abiria na wahudumu wa Ndege ile watajisikiaje?
3. Hao abiria na wahudumu wa Ndege ile wao wanajiona kuwa wako salama na ndugu zao?
4. Je, wamewahi kujiuliza kama hao wengine waliopotezwa au kuuawa walichukuliwaje?
Je, ukamatwaji wa Mheshimiwa Lema ulikuwa halali? Kama ulikuwa ni ukamatwaji ule ulikuwa halali, ulihalalishwa na nini? Kama ukamatwaji ule ulikuwa haramu, iliharamishwa na nini? Je, ATCL iliunga mkono kitendo cha abiria wake kukamatwa kama ndezi ndani ya Ndege yao?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Septemba 2024
Hivi huu uzi mbona wa kifala sana,unajuaje kama hayo maswali yako hayakufanyika?,umesikiriza upande wa pili? au unatembea na mdundo wa Lema space?,unamwamini huyo muhuni?Ndugu Watanzania!
Juzi nilihoji iweje Mhe. Godbless Lema atekwe ndani ya Ndege taarifa zake zisijulikane? Hapa nimetumia neno hili kuwa alitekwa kwa sababu hakuna maelezo sahihi ya kuelezea ukamataji wa aina ile zaidi ya utekaji.
Akiwa katika Maria Space, Lema ameeleza jinsi alivyochukuliwa akiwa ndani ya Ndege ya ATCL pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Arusha wiki iliyopita.
Maelezo ya Lema ni kuwa purukushani za kumkamata wakati akiwa Ndani ya Ndege kabla hajashuka zilishuhudiwa pia na abiria na wahudumu wa Ndege (Air Hostesses). Anaeleza kuwa hakuna hata mmoja kati yao aliyejali kwani kila mmoja alikuwa anapisha kuwahi kushuka.
Tukio la Ali Mohamed Kibao kutekwa ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach hata kesho yake kukutwa akiwa mauti kule Ununio lingewashtua abiria na wafanyakazi wa ile Ndege ya ATCL. Lakini haikuwa hivyo kwao, ilikuwa ni biashara isiyowahusu. Tulitarajia haya yangefanyika:
1. Wahudumu wa Ndege wangehoji iweje watu wamvamie mtu ndani ya Ndege bila hata ya kuwasiliana na uongozi wa Ndege?
2. Wahudumu wa Ndege wangempatia taarifa hizo Rubani Kiongozi ambaye naye angetoa kauli yake.
3. Uongozi wa Ndege ungetoa taarifa kupitia ama kwa agenti wa Lema au ingetangazwa pale mapokezi kuwa abiria huyo ameitwa kwa mahojiano na mamlaka ili kuwatoa hofu watu waliokuwa wanamsubiri.
4. Abiria wangepiga picha hata za kuiba kuwa kama ushahidi au wangevujisha picha katika mitandao ya kijamii ili umma ujue kuwa Lema amenyakuliwa akiwa ndani ya Ndege.
Lakini pamoja na taarifa kuanza kuenea kuwa Lema haonekani, hakuna hata aliyesema kuwa alikamatwa ndani ya Ndege, si abiria na wala si wahudumu wa Ndege. Wote waligeuka kuwa ni mabubu. Lakini mnafikiri kwa nini kunyakuliwa kwa Lema ndani ya Ndege kuwasumbue abiria na wahudumu wa Ndege?
1. Lema alikuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, hivyo ni mtu maarufu na isingewezekana abiria wote wale na wahudumu kutokumjua.
2. Lema ni kiongozi wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na hivyo haiwezekani kuwa kati ya hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile hakukuwa hata na mfuasi wa CHADEMA au angalau ambaye anafuatilia siasa za upinzani au anayewafahamu viongozi au wanachama wa CHADEMA kushindwa hata kutoa taarifa kwa siri.
3. Lema anatumia sana usafiri wa Ndege, kwa hiyo ni mteja wa ATCL. Haiwezekani kuwa kati ya wale wahudumu hakuna asiyemjua. Na kwa hiyo nao ni lazima wanafahamiana na baadhi ya viongozi wa CHADEMA au hata wanachama. Basi wangevujisha zile taarifa. Hata wauguzi na wakunga katika nchi ya Misri walivujisha siri ya Farao ya kuwaua watoto wote wa kiume wa Waisraeli waliokuwa wakiwazalisha. Wakunga wakawaokoa wengi kwa siri akiwemo Musa.
Maswali ya kujuiliza ni haya:
1. Kama Lema angekutwa ameuawa katika Pori la Kisarawe, wahudumu hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile wangesemaje?
2. Kama Lema atakuja kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Tanzania, hao abiria na wahudumu wa Ndege ile watajisikiaje?
3. Hao abiria na wahudumu wa Ndege ile wao wanajiona kuwa wako salama na ndugu zao?
4. Je, wamewahi kujiuliza kama hao wengine waliopotezwa au kuuawa walichukuliwaje?
Je, ukamatwaji wa Mheshimiwa Lema ulikuwa halali? Kama ulikuwa ni ukamatwaji ule ulikuwa halali, ulihalalishwa na nini? Kama ukamatwaji ule ulikuwa haramu, iliharamishwa na nini? Je, ATCL iliunga mkono kitendo cha abiria wake kukamatwa kama ndezi ndani ya Ndege yao?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Septemba 2024
Acha ujinga wewe kenge!Huyu form failure hakutekwa aache siasa za kijuha
Acha ujinga wewe chawa mpumbavu!Hivi huu uzi mbona wa kifala sana,unajuaje kama hayo maswali yako hayakufanyika,umesikiriza upande wa pili,au unatembea na mdundo wa Lema space?,unamwamini huyo muhuni?
Eti wananchi wangepiga picha,picha ya nini?,serikali ukiitia kidole yenyewe inakuzamishia mkono wote hapo ndio utajua nani zaidi.
Si anatafuta umaarufu kwa nguvu?
Usipo mind your own business utaenda kusaidia Polisi 😂😂Ndugu Watanzania!
Juzi nilihoji iweje Mhe. Godbless Lema atekwe ndani ya Ndege taarifa zake zisijulikane? Hapa nimetumia neno hili kuwa alitekwa kwa sababu hakuna maelezo sahihi ya kuelezea ukamataji wa aina ile zaidi ya utekaji.
Akiwa katika Maria Space, Lema ameeleza jinsi alivyochukuliwa akiwa ndani ya Ndege ya ATCL pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Arusha wiki iliyopita.
Maelezo ya Lema ni kuwa purukushani za kumkamata wakati akiwa Ndani ya Ndege kabla hajashuka zilishuhudiwa pia na abiria na wahudumu wa Ndege (Air Hostesses). Anaeleza kuwa hakuna hata mmoja kati yao aliyejali kwani kila mmoja alikuwa anapisha kuwahi kushuka.
Tukio la Ali Mohamed Kibao kutekwa ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach hata kesho yake kukutwa akiwa mauti kule Ununio lingewashtua abiria na wafanyakazi wa ile Ndege ya ATCL. Lakini haikuwa hivyo kwao, ilikuwa ni biashara isiyowahusu. Tulitarajia haya yangefanyika:
1. Wahudumu wa Ndege wangehoji iweje watu wamvamie mtu ndani ya Ndege bila hata ya kuwasiliana na uongozi wa Ndege?
2. Wahudumu wa Ndege wangempatia taarifa hizo Rubani Kiongozi ambaye naye angetoa kauli yake.
3. Uongozi wa Ndege ungetoa taarifa kupitia ama kwa agenti wa Lema au ingetangazwa pale mapokezi kuwa abiria huyo ameitwa kwa mahojiano na mamlaka ili kuwatoa hofu watu waliokuwa wanamsubiri.
4. Abiria wangepiga picha hata za kuiba kuwa kama ushahidi au wangevujisha picha katika mitandao ya kijamii ili umma ujue kuwa Lema amenyakuliwa akiwa ndani ya Ndege.
Lakini pamoja na taarifa kuanza kuenea kuwa Lema haonekani, hakuna hata aliyesema kuwa alikamatwa ndani ya Ndege, si abiria na wala si wahudumu wa Ndege. Wote waligeuka kuwa ni mabubu. Lakini mnafikiri kwa nini kunyakuliwa kwa Lema ndani ya Ndege kuwasumbue abiria na wahudumu wa Ndege?
1. Lema alikuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, hivyo ni mtu maarufu na isingewezekana abiria wote wale na wahudumu kutokumjua.
2. Lema ni kiongozi wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na hivyo haiwezekani kuwa kati ya hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile hakukuwa hata na mfuasi wa CHADEMA au angalau ambaye anafuatilia siasa za upinzani au anayewafahamu viongozi au wanachama wa CHADEMA kushindwa hata kutoa taarifa kwa siri.
3. Lema anatumia sana usafiri wa Ndege, kwa hiyo ni mteja wa ATCL. Haiwezekani kuwa kati ya wale wahudumu hakuna asiyemjua. Na kwa hiyo nao ni lazima wanafahamiana na baadhi ya viongozi wa CHADEMA au hata wanachama. Basi wangevujisha zile taarifa. Hata wauguzi na wakunga katika nchi ya Misri walivujisha siri ya Farao ya kuwaua watoto wote wa kiume wa Waisraeli waliokuwa wakiwazalisha. Wakunga wakawaokoa wengi kwa siri akiwemo Musa.
Maswali ya kujuiliza ni haya:
1. Kama Lema angekutwa ameuawa katika Pori la Kisarawe, wahudumu hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile wangesemaje?
2. Kama Lema atakuja kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Tanzania, hao abiria na wahudumu wa Ndege ile watajisikiaje?
3. Hao abiria na wahudumu wa Ndege ile wao wanajiona kuwa wako salama na ndugu zao?
4. Je, wamewahi kujiuliza kama hao wengine waliopotezwa au kuuawa walichukuliwaje?
Je, ukamatwaji wa Mheshimiwa Lema ulikuwa halali? Kama ulikuwa ni ukamatwaji ule ulikuwa halali, ulihalalishwa na nini? Kama ukamatwaji ule ulikuwa haramu, iliharamishwa na nini? Je, ATCL iliunga mkono kitendo cha abiria wake kukamatwa kama ndezi ndani ya Ndege yao?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Septemba 2024
Siyo kila tukio la ukamataji ni utekaji.
Kitendo hicho kwa wenzetu waliostaarabika wanakihesabia Kama Mauaji ya kimaadili (Characters Assassination and Smear Campaign against the State and the whole system for Air Transport within the country). Ni kitendo cha kuua biashara na tasnia yote ya usafiri wa anga katika nchi..lakini kumkamata ndani ya ndege ni kukosa busara.
..ukamataji huo unatoa taswira mbaya kwa nchi, na kwa shirika letu la ndege ATCL.
..wangemkamata akiwa nje ya uwanja wa ndege.
Polisi wa Tanzania ni very unprofessional na ndio maana wakikukamata na kukupeleka polisi basi wataishia kukuachia tu manake hawawezi kushinda kesi mahakamani.Ndugu Watanzania!
Juzi nilihoji iweje Mhe. Godbless Lema atekwe ndani ya Ndege taarifa zake zisijulikane? Hapa nimetumia neno hili kuwa alitekwa kwa sababu hakuna maelezo sahihi ya kuelezea ukamataji wa aina ile zaidi ya utekaji.
Akiwa katika Maria Space, Lema ameeleza jinsi alivyochukuliwa akiwa ndani ya Ndege ya ATCL pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Arusha wiki iliyopita.
Maelezo ya Lema ni kuwa purukushani za kumkamata wakati akiwa Ndani ya Ndege kabla hajashuka zilishuhudiwa pia na abiria na wahudumu wa Ndege (Air Hostesses). Anaeleza kuwa hakuna hata mmoja kati yao aliyejali kwani kila mmoja alikuwa anapisha kuwahi kushuka.
Tukio la Ali Mohamed Kibao kutekwa ndani ya basi la Tashriff Luxury Coach hata kesho yake kukutwa akiwa mauti kule Ununio lingewashtua abiria na wafanyakazi wa ile Ndege ya ATCL. Lakini haikuwa hivyo kwao, ilikuwa ni biashara isiyowahusu. Tulitarajia haya yangefanyika:
1. Wahudumu wa Ndege wangehoji iweje watu wamvamie mtu ndani ya Ndege bila hata ya kuwasiliana na uongozi wa Ndege?
2. Wahudumu wa Ndege wangempatia taarifa hizo Rubani Kiongozi ambaye naye angetoa kauli yake.
3. Uongozi wa Ndege ungetoa taarifa kupitia ama kwa agenti wa Lema au ingetangazwa pale mapokezi kuwa abiria huyo ameitwa kwa mahojiano na mamlaka ili kuwatoa hofu watu waliokuwa wanamsubiri.
4. Abiria wangepiga picha hata za kuiba kuwa kama ushahidi au wangevujisha picha katika mitandao ya kijamii ili umma ujue kuwa Lema amenyakuliwa akiwa ndani ya Ndege.
Lakini pamoja na taarifa kuanza kuenea kuwa Lema haonekani, hakuna hata aliyesema kuwa alikamatwa ndani ya Ndege, si abiria na wala si wahudumu wa Ndege. Wote waligeuka kuwa ni mabubu. Lakini mnafikiri kwa nini kunyakuliwa kwa Lema ndani ya Ndege kuwasumbue abiria na wahudumu wa Ndege?
1. Lema alikuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, hivyo ni mtu maarufu na isingewezekana abiria wote wale na wahudumu kutokumjua.
2. Lema ni kiongozi wa CHADEMA, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na hivyo haiwezekani kuwa kati ya hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile hakukuwa hata na mfuasi wa CHADEMA au angalau ambaye anafuatilia siasa za upinzani au anayewafahamu viongozi au wanachama wa CHADEMA kushindwa hata kutoa taarifa kwa siri.
3. Lema anatumia sana usafiri wa Ndege, kwa hiyo ni mteja wa ATCL. Haiwezekani kuwa kati ya wale wahudumu hakuna asiyemjua. Na kwa hiyo nao ni lazima wanafahamiana na baadhi ya viongozi wa CHADEMA au hata wanachama. Basi wangevujisha zile taarifa. Hata wauguzi na wakunga katika nchi ya Misri walivujisha siri ya Farao ya kuwaua watoto wote wa kiume wa Waisraeli waliokuwa wakiwazalisha. Wakunga wakawaokoa wengi kwa siri akiwemo Musa.
Maswali ya kujuiliza ni haya:
1. Kama Lema angekutwa ameuawa katika Pori la Kisarawe, wahudumu hao abiria waliokuwa ndani ya Ndege ile wangesemaje?
2. Kama Lema atakuja kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Tanzania, hao abiria na wahudumu wa Ndege ile watajisikiaje?
3. Hao abiria na wahudumu wa Ndege ile wao wanajiona kuwa wako salama na ndugu zao?
4. Je, wamewahi kujiuliza kama hao wengine waliopotezwa au kuuawa walichukuliwaje?
Je, ukamatwaji wa Mheshimiwa Lema ulikuwa halali? Kama ulikuwa ni ukamatwaji ule ulikuwa halali, ulihalalishwa na nini? Kama ukamatwaji ule ulikuwa haramu, iliharamishwa na nini? Je, ATCL iliunga mkono kitendo cha abiria wake kukamatwa kama ndezi ndani ya Ndege yao?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Septemba 2024