Kutelekezewa mimba VS kubambikiwa mtoto

Mi naona hii ni mbwaimbwai....mwaga mboga nimwage ugali....anaumizwa mwanamke anaumizwa mwanaume....Yaan hapo kati Yao Kuna Kuna kakarma kametulia.Huna hatia unatelekezewa mimba ....huna hatia unabambikiwa mimba.
Aisee,Kaz iendelee
Ndio maana wanashauri tuoe wenye bikra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…