DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Togo mzee wa kimboraTogo niaje Mwanetu 😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Togo mzee wa kimboraTogo niaje Mwanetu 😆
Nakupenda 😍Ukorofi utaacha lini
Humu ndani Kuna wajukuu wawili wa wale wazee wawili mliokutana nao wakati wa kuchimba dawa.Togo mzee wa kimbora
Yaan ni Bora uhaiJifariji
Kama naweza toka chunya bila gari wataniweza hao?Humu ndani Kuna wajukuu wawili wa wale wazee wawili mliokutana nao wakati wa kuchimba dawa.
Vita haijaisha Togo🤣
Wao wenyewe wamefungua akaunti bila Bando Wal simu.Kama naweza toka chunya bila gari wataniweza hao?
Kwa kimbora🤔U mean Kwa mguu?
Mimi Nina watu wanaonizunguka yaani ni konki fayaWao wenyewe wamefungua akaunti bila Bando Wal simu.
Yupo humu mjukuu wa Mzee Mwasha-mbwa unamjua ? 🤣
Sasa jamaa Ana uchawi wa CCM plus na ule wa Babu yake.Mimi Nina watu wanaonizunguka yaani ni konki faya
Kwa mguu wewe 🤣🤣Kimbora ndo ungo😳?
Ndio maana wanashauri tuoe wenye bikraMi naona hii ni mbwaimbwai....mwaga mboga nimwage ugali....anaumizwa mwanamke anaumizwa mwanaume....Yaan hapo kati Yao Kuna Kuna kakarma kametulia.Huna hatia unatelekezewa mimba ....huna hatia unabambikiwa mimba.
Aisee,Kaz iendelee
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥 we subscribe,Kuna vitu vingi sana mle vya kujifunzaSasa jamaa Ana uchawi wa CCM plus na ule wa Babu yake.
🤣🤣🤣Yaan kumbe hujaelewa hapa ni stori Moja tunazungumziaMbona ulikataa nilivyouliza