Nashukuru mkuu ..mawazo uliyonipa naanza kuyafanyia utaratibu..Mm naiman mnachezewa na mtu hapo.. hilo tukio la ajabu sana.. na isitoshe msiwe na haja ya kumjua nani mbaya wenu muhimu mtoto apone.. hosp kama wakisema operations itafanyikaje kutoa hiko kitu ambacho kinatembea kwa spidi si mtamtoboa mtoto mwili wote..!!# ni mawazo yangu huyo anahitaji maombi au swala kwa wale waislamu sijui ni dua au nn atapona tu...
SanteNashukuru mkuu ..mawazo uliyonipa naanza kuyafanyia utaratibu..
Asante mkuu...Pole sana kwa matatizo. Ila kwa nilivyoelewa maelezo yako ni dhahili kabisa huo si ugonjwa bali ni michezo tu iliyo nyuma ya uwezo na upeo wa uelewa wa kibinadamu. Basi ni vizuri ukakazana kusimama nae sana katika maombi yanaweza kukusaidia nahakika.
Habari wakuu...
Nahitaji msaada wenu hata kwa hili tatizo...
Kuna mtoto wa dada yangu age 9 1/2...siku za karibuni aliwahi kusema huwa anajisikia baridi ya ghafla mwili mzima..na inakuja na kupotea katika mda mfupi...halafu kuna kitu kinamtembea mwilini kuanzia kichwani kushuka chini ...anakihisi na anaweza kueleza kwa kuonesha kipo wapi kwa mda ule...mimi mwenyewe nimeona sehemu kinapotembea panakuwa panatuna kitu na kinakwenda kweli.... bàda ya kuzunguka mwili wote huwa kinarudi na kutulia tumboni.
Mda huo kikitembea kwenye mishipa ya damu ...huwa anaskia maumivu...
Mawasiliano wakuu...nahitaji msaada..kwa anayejua hili ni tatizo gani maana sijawahi hata kusikia!
asante mkuu...Mkuu waafrika tunachangamoto nyingi wakati mnasubir utaratbu wakutibiwa uyo mtoto iliuharibifu usiendelee zaid tafuteni mafuta ya mzeituni awe anapaka mwili mzma baada ya kuoga asubuhi na jioni...
Uyo mdudu ataachakutembea mwilini ila atakuepo umo umo,
NB Mimi sio mganga ilanilishapitia changamoto kama izo.. Mungu mkubwa
Ni wiki tatu sasa...alianza pole pole...lkn Jana ndio kaonyesha rangi zote!
Tupo njiani kwenda huko..
Halafu naongea sana kuliko kawaida. yake..yaani hasomeki...
Mmefanya vizuri, i am praying for him.
mmh!...For him/her (anonymous gender).
BTW, hii kitu nakumbuka kuna jamaa tulikuwa tunasoma naye iliwahi kumtokea, tukawa tunamtania kwa kutaka kukikamata kitu cha namna hiyo.
Alikuja akaacha shule, alipona, akarudi darasa LA chini.
mmh!...
Kazi ipo...docta anasema haoni tatizo wakati kuna kitu kinatembea!
aaarg!
Mmeshapokelewa hospital?mmh!...
Kazi ipo...docta anasema haoni tatizo wakati kuna kitu kinatembea!
aaarg!
Hamkufanikiwa kujua ilikua ni shida gani?For him/her (anonymous gender).
BTW, hii kitu nakumbuka kuna jamaa tulikuwa tunasoma naye iliwahi kumtokea, tukawa tunamtania kwa kutaka kukikamata kitu cha namna hiyo.
Alikuja akaacha shule, alipona, akarudi darasa LA chini.
Hamkufanikiwa kujua ilikua ni shida gani?
Hicho kitu ni mimi!