Kutembewa na kitu mwilini

Hahahahaha jaman dunia ina mambo
 
Huwa sipati maumivu yoyote na huwa haitokei mara kwa Mara hiyo hali. So naona kawaida tu!
Lakini lazima kutakuwa na tatizo ....
Wanasema inahusiana na... mifumo wa hisia...
Jaribu kutafuta tiba hwenda baadae sana ikaja kusumbua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…