Kutengeneza App kama hizi mbili natakiwa niwe na mtaji kiasi gani?

Kutengeneza App kama hizi mbili natakiwa niwe na mtaji kiasi gani?

Sawa bwana mjuaji!

😀😀 Wingi unaanzia mbili. Una swali?

Sina muda. Unataka kuifanya hiyo kazi?

Sawa bwana bize! Jenga nuclear na Tanzania tuheshimike kama Putin!
Niite mjuaji au niite jina lolote baya upendalo ila siku 1 utanikumbuka!!

Kweli site yako ina blog posts 2 halafu unapoteza muda hapa jf

Mmoja ya waasisi wa hii jf ana post zaidi ya 1000 hapa jf lakini wewe post 2 unasema ni nyingi na tayari umepata nafasi ya kusurf jf badala ya kuwa bize na site yako binafsi
 
Niite mjuaji au niite jina lolote baya upendalo ila siku 1 utanikumbuka!!
Sawa mr. Much Know!

Kweli site yako ina blog posts 2 halafu unapoteza muda hapa jf
Hahahaaa!
Naona umekomaa na site siyo? Hongera!
🤠🤠🤠
Mmoja ya waasisi wa hii jf ana post zaidi ya 1000 hapa jf lakini wewe post 2 unasema ni nyingi na tayari umepata nafasi ya kusurf jf badala ya kuwa bize na site yako binafsi
Mwingine anazo ngapi? Na mimi JF ninazo ngapi?
Kwa hiyo kwa kigezo chako bwana mjua yote, Mike unamuweka kundi gani?

Check profile yake hapa Mike Mushi
 
Sawa mr. Much Know!


Hahahaaa!
Naona umekomaa na site siyo? Hongera!
🤠🤠🤠

Mwingine anazo ngapi? Na mimi JF ninazo ngapi?
Kwa hiyo kwa kigezo chako bwana mjua yote, Mike unamuweka kundi gani?

Check profile yake hapa Mike Mushi
Bado una utoto mwingi sana Mr
 
Mwenye Google Play Console Nanunua Bei Kuanzia Laki 3 , Iwe Na Angalau Mwaka Mmoja, Na App Hata Moja Ndani.
 
Back
Top Bottom