Kutengeneza App kama hizi mbili natakiwa niwe na mtaji kiasi gani?

Kutengeneza App kama hizi mbili natakiwa niwe na mtaji kiasi gani?

62 Millions lines of codes ndani ya dakika 5?

Halafu Facebook sio tena "Social Networking Website"...
Kwahiyo unadhani hivyo ilivyo Facebook ilikuwa developed and finished everything in a single day?

Kama siyo social network ni nini?
 
Kuna Computer Software na Computer Programs! Watanzania wengi wanaweza kutengeneza Computer Programs. Software ni shughuli Pevu Mkuu, Sisi Watanzania Bra bra nyingii kuliko umakini , Wakenya kiasi wapo Vizuri
Hivi software na program tofauti yake nn vile
 
IT wa kibongo wanakaz ya kuachia midevu na miwani mingi ila kichwani hawana madude ni weupe
 
Pia niambie kama live battles unaziweza tufanye hapa hadharani mbele ya watu
Mie developer wa Bongo na battles where and where?
Ungetafuta wenye misuli kama wewe mfanye battles halafu wanyonge tuwe watazamaji!
 
Kama unaishi kwa kazi hizi za kucustomize au kudesign website nenda uwe bize kuelimisha wateja wako watarajiwa kwenye website yako binafsi siyo hapa jf
Hahahaaa! Mbona umepaniki?
 
huyu mkuu kimasihara amewazidi hoja watalaamu wetu wa JF.
Shida JF kumejaa ma developer wa Bongo. Unadhani tunaweza kumshinda basi mzee wa battles?

Nadhani ulipitwa na huu uzi, sisi developers wa Bongo, aka IT wa Bongo ni zero kabisa

 
Hahahaaa! Yaani umefunga na kibwebwe kabisa?
Aisee!
Nenda kajaze notes nyingi za kuwaelimisha wateja wako wa sasa na watarajiwa kwenye blog yako

Nimeona una post 2 tu kwenye blog yako tena za Kiingereza tu hakuna ya Kiswahili

Weka post nyingi zaidi ya 100 za kiingereza na Kiswahili

Mimi sitabishana tena na wewe kwa sasa nipo bize sana mpaka mwezi wa kumi mwisho ndiyo naweza kupata muda tena
 
Nenda kajaze notes nyingi za kuwaelimisha wateja wako wa sasa na watarajiwa kwenye blog yako
Sawa bwana mjuaji!
Nimeona una post 2 tu kwenye blog yako tena za Kiingereza tu hakuna ya Kiswahili
😀😀 Wingi unaanzia mbili. Una swali?
Weka post nyingi zaidi ya 100 za kiingereza na Kiswahili
Sina muda. Unataka kuifanya hiyo kazi?
Mimi sitabishana tena na wewe kwa sasa nipo bize sana mpaka mwezi wa kumi mwisho ndiyo naweza kupata muda tena
Sawa bwana bize! Jenga nuclear na Tanzania tuheshimike kama Putin!
 
Back
Top Bottom