Miti7
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 1,081
- 1,958
Unajitoa ufahamu bureKuwa na akili timamu!
Si ni wewe ulisema kule mwanzo kwamba zipo scripts? Siyo wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajitoa ufahamu bureKuwa na akili timamu!
Kwahiyo unadhani hivyo ilivyo Facebook ilikuwa developed and finished everything in a single day?62 Millions lines of codes ndani ya dakika 5?
Halafu Facebook sio tena "Social Networking Website"...
Pole sanaMumsamehe bure, hajui alitendalo
Code is poetryHizo dakika zenyewe hata hazitoshi ku setup environment uanze ku code
Kama unaishi kwa kazi hizi za kucustomize au kudesign website nenda uwe bize kuelimisha wateja wako watarajiwa kwenye website yako binafsi siyo hapa jfKuwa na akili timamu!
Siku zote usilolijua ni usiku wa gizaAisee.. Bongo sihami
Nitajie Jina la website yako au blog yako ya kazi zako halafu nikuzodoe hapa hadharaniKuwa na akili timamu!
Hawa huwa hawakosi mkuu. Hata ukimwambia saiz saa nane mchana na jua linawaka atakwambia saiz usikuMkuu mbn unanikatisha tamaa.Ni Kusema kwamba Tz mzima hakuna developers wa kufanya ninachotaka?
Hivi software na program tofauti yake nn vileKuna Computer Software na Computer Programs! Watanzania wengi wanaweza kutengeneza Computer Programs. Software ni shughuli Pevu Mkuu, Sisi Watanzania Bra bra nyingii kuliko umakini , Wakenya kiasi wapo Vizuri
Pia niambie kama live battles unaziweza tufanye hapa hadharani mbele ya watuWakati anasaka hiyo laki moja kuna link hapa FYI: Jiji Tanzania: Buy & Sell Online - Apps on Google Play
Mie developer wa Bongo na battles where and where?Pia niambie kama live battles unaziweza tufanye hapa hadharani mbele ya watu
Hahahaaa! Yaani umefunga na kibwebwe kabisa?Nitajie Jina la website yako au blog yako ya kazi zako halafu nikuzodoe hapa hadharani
Hahahaaa! Mbona umepaniki?Kama unaishi kwa kazi hizi za kucustomize au kudesign website nenda uwe bize kuelimisha wateja wako watarajiwa kwenye website yako binafsi siyo hapa jf
huyu mkuu kimasihara amewazidi hoja watalaamu wetu wa JF.Facebook is a social network website
Kitu gani cha ajabu unafikiri kitasababisha ushindwe kuunda social network website ndani ya dakika 10 au hata 5?
Shida JF kumejaa ma developer wa Bongo. Unadhani tunaweza kumshinda basi mzee wa battles?huyu mkuu kimasihara amewazidi hoja watalaamu wetu wa JF.
Nenda kajaze notes nyingi za kuwaelimisha wateja wako wa sasa na watarajiwa kwenye blog yakoHahahaaa! Yaani umefunga na kibwebwe kabisa?
Aisee!
Sawa bwana mjuaji!Nenda kajaze notes nyingi za kuwaelimisha wateja wako wa sasa na watarajiwa kwenye blog yako
😀😀 Wingi unaanzia mbili. Una swali?Nimeona una post 2 tu kwenye blog yako tena za Kiingereza tu hakuna ya Kiswahili
Sina muda. Unataka kuifanya hiyo kazi?Weka post nyingi zaidi ya 100 za kiingereza na Kiswahili
Sawa bwana bize! Jenga nuclear na Tanzania tuheshimike kama Putin!Mimi sitabishana tena na wewe kwa sasa nipo bize sana mpaka mwezi wa kumi mwisho ndiyo naweza kupata muda tena