Kutengeneza App kama hizi mbili natakiwa niwe na mtaji kiasi gani?

Kutengeneza App kama hizi mbili natakiwa niwe na mtaji kiasi gani?

Haya ndiyo yanawafanya watu waonema IT wabongo hakuna kitu. Hata ukichukua script lazima ziboreshwe ziongezwe security ziwe customized.
Haya mambo ya kuchukua tu vitu unaweka ndo maana miwebsite ya nchi hii iko hovyo ina security vulnerabilities nyingi.
Watu siyo wajinga kuinvest millions of dollars kuwalipa maexpert kufanya kazi.
Hiyo kucustomize ndiyo na wewe unajiita IT guru

Eti security, Security ya web au app yoyote ni backup tu siyo kitu kingine chochote
 
Hiyo kucustomize ndiyo na wewe unajiita IT guru

Eti security, Security ya web au app yoyote ni backup tu siyo kitu kingine chochote
Basi tufanye umeshinda
 
Wewe unawaza nini?? Unawaza Kudevelop Software ya Laki tatu Itakayo kuzalishia mamilioni😁😁😁
Laki 3 bado ni nyingi

1. Naweza kupata hosting ya Tsh 10000 mpaka 30000 kwa mwezi

Kuna member humu anatoa hosting kwa buku kwa mwezi

2. Google playstore ni usd 25

3. Domain naweza kupata kuanzia tsh 4500 na kuendelea

Haya niambie kuna gharama gani hapa zaidi ili kufunga classifieds ads theme au template?
 
Security ya web au app yoyote ni backup tu siyo kitu kingine chochote
Client: My Security Auditor said your code allows for SQL Injection
IT wa Bongo: But it have automated backup.

Client: You do not get it, but your code allows all kinds of attacks, SQL Injections, MITMA, XSS and bunch of others. Don't you get what am saying?
IT wa Bongo: You fool! I will repeat a little louder so that you get it. I HAVE MADE AUTOMATED BACKUP! That is all matters as far as security is concerning. You are a freakin' paranoid! TRUST ME. I KNOW WHAT AM SAYIN' BOY!

Client: 😳😳😳
 
Software ya kuingiza mamilioni Kuidevelop ni Laki tatu tu za Kitanzania😂
Hio software wakati inaanza ilikuwa haiingizi mamilioni,

Classified ads ni kitu kidogo tu, msitishe watu jamaa yupo sahihi, kama unataka kutengeneza from scratch its up to you lakini even hizo kampuni kubwa zenye matrilioni ya hela wanatumia ready made scripts.

Hizo hela kwenye classified ads vyema uspend kwenye matangazo na grabber scripts nyengine.
 
Mbona ni rahisi sana na unaweza kufanya mwenyewe kwa gharama isiyozidi laki 3

Mnapenda complicate mambo wakati ni vitu vya kitoto kabisa

Mimi naweza kukusaidia bure kabisa lakini nieleze kwa undani kama una uhakika utaingiza hela na hii app unayotaka

Nakuelekeza bure mhimu uwe na computer, ujuwe kutumia computer na unafahamu kiingereza

Gharama zisizoepukika hapo ni hizi 3 zifuatazo tu

1. Hosting ya website yako
2. Hosting ya app yako kwenye Google na kwenye app store
3. Domain name

Vingine vyote tofauti na hivyo vitatu unaweza kupata BURE
Huyu jamaa yupo sahihi kabisa jana nilikuwa kwenye Space moja ya 'Building Startup 1O1' liliongelewa hili suala la Developer...Ishu iko hivi Developer anaweza akakufanyia kazi yako bure tu kama utamuweza njia za kumuweza zipo nyingi moja wapo ni hii kama Developer ataona kuna pesa katika Idea yako na mutaongea vizuri anaweza aka Develop bure kabisa ikawa kama Share...Kuna Founder mmoja App yake Developer amemlipa kihasi kidogo mpaka sasa wanafanya nae bure na App yao ina mwaka mmoja mpaka sasa ina REVENUE ya milioni 90 bila ya Fund wala uwezeshi wowote.

Kama utamuelewa jamaa pale juu kasema "Kama unauhakika utaingiza pesa na hiyo App"

Founder wengi ni Fresh from school hawana Cashflow yakutosha ukimpaka Developer utayewezana nae kama huyu inakuwa ni Exciting Deal to have.
Akikujib nitag..Nimepata na wasiwasi baada ya kutaja
laki 3 [emoji28]

Hata unakoenda kununua bidhaa dukani,kuna bei ya bidhaa Fulani ukitajiwa lazima ushtuke.Jamaa amenishtua alipotaja laki 3

Mkuu nadhani hapo kwenye laki 3 umetype vibaya
 
Huyu jamaa yupo sahihi kabisa jana nilikuwa kwenye Space moja ya 'Building Startup 1O1' liliongelewa hili suala la Developer...Ishu iko hivi Developer anaweza akakufanyia kazi yako bure tu kama utamuweza njia za kumuweza zipo nyingi moja wapo ni hii kama Developer ataona kuna pesa katika Idea yako na mutaongea vizuri anaweza aka Develop bure kabisa ikawa kama Share...Kuna Founder mmoja App yake Developer amemlipa kihasi kidogo mpaka sasa wanafanya nae bure na App yao ina mwaka mmoja mpaka sasa ina REVENUE ya milioni 90 bila ya Fund wala uwezeshi wowote.

Kama utamuelewa jamaa pale juu kasema "Kama unauhakika utaingiza pesa na hiyo App"

Founder wengi ni Fresh from school hawana Cashflow yakutosha ukimpaka Developer utayewezana nae kama huyu inakuwa ni Exciting Deal to have.
😲Mnanichanganya kwelikweli..miluzi ni mingi nashindwa kupata jibu la uhakika Kwa kweli
 
Huyu jamaa yupo sahihi kabisa jana nilikuwa kwenye Space moja ya 'Building Startup 1O1' liliongelewa hili suala la Developer...Ishu iko hivi Developer anaweza akakufanyia kazi yako bure tu kama utamuweza njia za kumuweza zipo nyingi moja wapo ni hii kama Developer ataona kuna pesa katika Idea yako na mutaongea vizuri anaweza aka Develop bure kabisa ikawa kama Share
Ku develop kwa kufanya kulipwa share sio bure. Tena ni expensive kuliko build and go. Let say Umempa developer 5% na project ikapata faida ya bilion 5 kwa miaka 10 hiyo ni 5,000,000,000 * 5/100 = 250,000,000

Na kumbuka hapo bado ataendelea kuwa na share zake...!
 
Ku develop kwa kufanya kulipwa share sio bure. Tena ni expensive kuliko build and go. Let say Umempa developer 5% na project ikapata faida ya bilion 5 kwa miaka 10 hiyo ni 5,000,000,000 * 5/100 = 250,000,000

Na kumbuka hapo bado ataendelea kuwa na share zake...!
Mkuu vizuri ukajua suala lilipoanzia...Bure inayomaanishwa hapa niile bure muliyo imaanisha ninyi baada ya ku-missinterpret alichoandika jamaa kule juu, jamaa kasema anaweza Develop App kwa malipo ya 300,000 Tzs tu endapo atahikikishiwa App inauhakika wa kuingiza pesa akimaanisha atataka apewe 'Share' Sasa ninyi hamkuliona hilo mukakimbilia kumdondoshea spana jamaa kwamba inakuwaje bure/300K ana develop App hamku-figure out nini anasema.

Natumai umenielewa hivyo tunarudi palepale unaweza fanyiwa develop even kwa 300,000 Tzs ni possible.
 
Mkuu vizuri ukajua suala lilipoanzia...Bure inayomaanishwa hapa niile bure muliyo imaanisha ninyi baada ya ku-missinterpret alichoandika jamaa kule juu,
Hakuna sehemu alisema amekuwa misinterpreted. Wewe ndio umesema hivyo.
jamaa kasema anaweza Develop App kwa malipo ya 300,000 Tzs tu endapo atahikikishiwa App inauhakika wa kuingiza pesa akimaanisha atataka apewe 'Share' Sasa ninyi hamkuliona hilo mukakimbilia kumdondoshea spana jamaa kwamba inakuwaje bure/300K ana develop App hamku-figure out nini anasema.
Haya pia umeongeza wewe. Hakuyasema hivyo, aliishia jutukana tu alipoambiwa hiyo kiyu haipo. Angekuwa anawaza unachosema angetusahihisha badala ya kutukana!
Natumai umenielewa hivyo tunarudi palepale unaweza fanyiwa develop even kwa 300,000 Tzs ni possible.
300k no thank you!
Kudevelop kwa kulipwa share hiyo ni sawa!
 
Mbona ni rahisi sana na unaweza kufanya mwenyewe kwa gharama isiyozidi laki 3
Regent Soma hii
Mnapenda complicate mambo wakati ni vitu vya kitoto kabisa

Mimi naweza kukusaidia bure kabisa lakini nieleze kwa undani kama una uhakika utaingiza hela na hii app unayotaka
Bure kabisa maana yake ni bure kabisa.
Nakuelekeza bure mhimu uwe na computer, ujuwe kutumia computer na unafahamu kiingereza
Again no mention ya shares ni b.u.r.e
Gharama zisizoepukika hapo ni hizi 3 zifuatazo tu

1. Hosting ya website yako
2. Hosting ya app yako kwenye Google na kwenye app store
3. Domain name
Hizi ndio gharama. Vipi kuhusu development?
Vingine vyote tofauti na hivyo vitatu unaweza kupata BURE
BuRe!
 
Regent Soma hii

Bure kabisa maana yake ni bure kabisa.

Again no mention ya shares ni b.u.r.e

Hizi ndio gharama. Vipi kuhusu development?

BuRe!
I see a lot of Bure over here🙌🙌

Basi nilijua jamaa amemaanisha hivyo... Period, kwa Non-technical Founder ambaye anatazamia kuja ku-Launch Startup na hana Cashflow yakutosha let say ni Fresh from school basi njia nzuri ni hii kuangalia jinsi utakavyowezana na Developer...it seems ku-Build Startup au App inahitaji Muscles sana.

Some tips za kuzingatia Kama unahitaji ku-Build Startup
1) Ujifunze basics za technical issues za i.e Coding...hii itasaidia kutopata shida kwenye issues ndogondogo kama Developer atakwambia Leo tuna Fix Bugs unakuwa na clue what is that.

2) Marketing...Coding is small thing kitu kikubwa kinacho push Startup Marketing Strategies ndio kusema Founder at least awe na Marketing background au ajifunze.

3)How to build Community...mwisho was siku utahitaji Community watu wataokao tumia na ku-download App, Community itakuwa aware ku-address mfumo wako kwa watu wengine sehemu Kama Twitter ndio mahala kwa kutengeneza Community.

4)Build Numbers....Investors wengi waanaangalia Numbers Users, Revenue nk, ukiwa na namba utakuwa na leverage ya kufanikisha Deal.

5)Exit Plan...Nini mwisho/lengo la App yako Kuja kuwa 🦄, Kuuza kwa Giants....
 
I see a lot of Bure over here🙌🙌

Basi nilijua jamaa amemaanisha hivyo... Period, kwa Non-technical Founder ambaye anatazamia kuja ku-Launch Startup na hana Cashflow yakutosha let say ni Fresh from school basi njia nzuri ni hii kuangalia jinsi utakavyowezana na Developer...it seems ku-Build Startup au App inahitaji Muscles sana.

Some tips za kuzingatia Kama unahitaji ku-Build Startup
1) Ujifunze basics za technical issues za i.e Coding...hii itasaidia kutopata shida kwenye issues ndogondogo kama Developer atakwambia Leo tuna Fix Bugs unakuwa na clue what is that.

2) Marketing...Coding is small thing kitu kikubwa kinacho push Startup Marketing Strategies ndio kusema Founder at least awe na Marketing background au ajifunze.

3)How to build Community...mwisho was siku utahitaji Community watu wataokao tumia na ku-download App, Community itakuwa aware ku-address mfumo wako kwa watu wengine sehemu Kama Twitter ndio mahala kwa kutengeneza Community.

4)Build Numbers....Investors wengi waanaangalia Numbers Users, Revenue nk, ukiwa na namba utakuwa na leverage ya kufanikisha Deal.

5)Exit Plan...Nini mwisho/lengo la App yako Kuja kuwa 🦄, Kuuza kwa Giants....
Asante Kwa elimu hii ya bure..wewe na Mr Stefano Mtangoo mnazidi kunijenga na nondo zenu mnazotoa

Swali langu; ninapaswa kuwa ujuzi na mambo yote haya uliyoorodhesha
i.e basics of technical issues
Marketing
Community...au si lazima vyote Kwa pamoja kuwa navyo Kwa kuanzia
 
Asante Kwa elimu hii ya bure..wewe na Mr Stefano Mtangoo mnazidi kunijenga na nondo zenu mnazotoa

Swali langu; ninapaswa kuwa ujuzi na mambo yote haya uliyoorodhesha
i.e basics of technical issues
Marketing
Community...au si lazima vyote Kwa pamoja kuwa navyo Kwa kuanzia
Hatua ya kwanza ni kujaribu kuona kama idea ina market kabla hata ya development. Inabidi ujue unatatua tatizo gani na kwa watu gani. Wapo tayari kulipia hiyo huduma ama la. Na mengine mengi. Baada ya kuhakikisha hapo ndio unajenga Minimum Viable Product. Very light version ya idea na unajaribu kuiuza kwa bei ya chini au bure kwa limited time in exchange wakupe feedback. Then with feedback unaendelea kujenga na kujenga mpaka inakaa mahali iko stable.

Next huddle ni pricing then hapo ndio utawaza sales/marketing strategies na customer success. Hayo ni ya mbele sana. Una viunzi vya kuruka hapa mwanzoni kwanza!
 
Hatua ya kwanza ni kujaribu kuona kama idea ina market kabla hata ya development. Inabidi ujue unatatua tatizo gani na kwa watu gani. Wapo tayari kulipia hiyo huduma ama la. Na mengine mengi. Baada ya kuhakikisha hapo ndio unajenga Minimum Viable Product. Very light version ya idea na unajaribu kuiuza kwa bei ya chini au bure kwa limited time in exchange wakupe feedback. Then with feedback unaendelea kujenga na kujenga mpaka inakaa mahali iko stable.

Next huddle ni pricing then hapo ndio utawaza sales/marketing strategies na customer success. Hayo ni ya mbele sana. Una viunzi vya kuruka hapa mwanzoni kwanza!
Asante Kwa elimu hii ya bure..wewe na Mr Stefano Mtangoo mnazidi kunijenga na nondo zenu mnazotoa

Swali langu; ninapaswa kuwa ujuzi na mambo yote haya uliyoorodhesha
i.e basics of technical issues
Marketing
Community...au si lazima vyote Kwa pamoja kuwa navyo Kwa kuanzia
Ni vizuri kujua Business Model unapo schedule Target Market yako either
1)B2B (mteja wako Biashara zilizopo)
2)B2C (mteja wako mlaji wa mwisho/raia)
3)B2G (mteja wako serikali)

Kwa nchi Kama Tz B2B ndio Model yenye Market Base kwasasa kwamaana Biashara karibia zote zinajua umuhimu wa matumizi ya technology...itapendeza zaidi ukitengeneza kitu kitacho rahiaisha kazi kwa Biashara zilizopo.
 
Ni vizuri kujua Business Model unapo schedule Target Market yako either
1)B2B (mteja wako Biashara zilizopo)
2)B2C (mteja wako mlaji wa mwisho/raia)
3)B2G (mteja wako serikali)

Kwa nchi Kama Tz B2B ndio Model yenye Market Base kwasasa kwamaana Biashara karibia zote zinajua umuhimu wa matumizi ya technology...itapendeza zaidi ukitengeneza kitu kitacho rahiaisha kazi kwa Biashara zilizopo.
Naomba nikuone pm..pamefungwa
 
Back
Top Bottom