Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 4,409
- 6,773
Maxmalipo App imetengenezwa na Indian Company hapa imezinduliwa tuKm nimemwelewa vizuri,jamaa atakuwa anamaanisha app inaweza kuwa ya kizawa kbs Ila hakuna App iliyotengenezwa na mzawa ikafanya vizuri sokoni,ndy akazitolea mifano hizo alizotaja
Vp kuhusu maxmalipo ilitengenezwa hapa hapa bongo na wazawa? Au bongo ilikuja kuzinduliwa Tu?