kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Huyo ni festi sani
ana nafasi gani ndani ya ikulu ya tanzania? hatuna mfumo wa kifalme..angekuwa prince!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni festi sani
Akisema mtei ni maoni binafsiWakuu,
kuna mabandiko kadhaa yaliletwa hapa baada ya Kibanda kupigwa vibaya...
na 1 ni reaction ya riziwan kukashifu kwa kuisemea ikulu...
hiv kuwa mtoto wa rais kunafanya uwe na mamlaka ya kuitamkia ikulu?
ni kwel nch inaongozwa na familia ya j.k?
Kaka wa taifa ....
wewe baba yako angekua rais ungeendelea kukaa vijiweni? Acheni lawama za kijinga bana. Mwache atumie nafasi alio pata, hata wewe ungekua hapo unge fanya hayo hayo. Chezea mtz wewe.ana nafasi gani ndani ya ikulu ya tanzania? hatuna mfumo wa kifalme..angekuwa prince!!
hivi kumbe hawana tofauti kwenye nafasi zao kikatiba...first son kama mama yake first lady anavyozunguka nchi nzima akipiga siasa. Kweli watanzania ni kama tumelogwa si bure.
Makamu wa Kwanza wa Rais...!
Hivi huyu mtu anaitwa majebere anawaza kabla ya kurespond kwa issue yoyote?
Cmpend huyo -----
Makamu wa Kwanza wa Rais...!
2015 ni zamu ya kijana wa lowassa,nyie kajamba nani mtabaki kulialia tu humu JF.
Kama Lawrence Masha na ofisi ya ubunge kule Mwanza?Nyie mnaolalamika ndio mngeiba hadi vitanda vya ikulu.