Mungu ibariki Tanzania. Kila anayesema ukweli juu ya wanaotuongoza ni lazima ushughulikiwe. 2015 tusifanye makosa.
Post kama hizi zinatupotezea muda tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ibariki Tanzania. Kila anayesema ukweli juu ya wanaotuongoza ni lazima ushughulikiwe. 2015 tusifanye makosa.
Inaelekea wewe ni mmoja wa walio ndani ya vyombo vya dola! Weka jamvini taarifa hiyo!Mkuu unakumbuka baada ya makala hiyo, Vyombo vya dola vililifanya uchunguzi na kugundua kuwa ni uzushi na kwamba hakuna chuo kama hicho?
Post kama hizi zinatupotezea muda tu
Post kama hizi zinatupotezea muda tu
Nape na riz one wote walipata dv 4 unategemea wataandika nini cha maana. ila ninawasifu waliocomment wamewapa ukweli wao hapohapo!
Huu sio udhaifu wa ccm wala viongozi wetu ila NI UDHAIFU WA SISI WANANCHI wenyewe, haiwezekani tufanywe wajinga kiasi hiki. Wakati wa ulimboka, Kova alijinadi mbele ya vyombo vya habari kuwa wamemkamata mtuhumiwa mkenya ilhali wakijua ni uongo.
Akafa Mwangosi, tume ya nchimbi wakaja na majibu ya hovyo hovyo tupo kimya tu. Ujinga huo hauwezi kufanywa na nchi nyingine. Tumewapa sisi nafasi ya kufanya yoote na kutudharau kiasi hiki.
Thatha unakosea na unajua kabisa kuwa unakosea! Hawa waliomo madarakani wanapanga nani agombee urais 2015 ili aendelee kuwalinda viongozi hawa ambao wanaifisadi nchi kwa namna wanayotaka kwa kipindi hiki ambacho wapo madarakani. Kwa Kibanda kuonesha mapenzi ya dhati kwa yule mgombea mtarajiwa ambaye kwa kweli ni mwiba mchungu kwa hawa jamaa waliomo madarakani na hawa 'madogo', Bashe na Ritz1, wanafahamu fika hilo. Hivyo wanapambana, Bashe upande wa mgombea mtarajiwa ambaye kashadhalilishwa sana na utawala wa sasa na Ritz1 upande wa utawala wa sasa, ambao unapigania umweke mgombea 'puppet' kwa ajili ya usalama wao. Hili lipo wazi kwa all Great Thinkers hapa.Hawa akina BASHE na RIDHWANi wana mambo yao binafsi si unajua tena Vijana? hakuna sababu yoyote ya kumhusisha Rais katika hili.
Wewe wasema baba awakemee watoto, wakati yeye ndiye mastermind wa maovu yote yanayotokea nchini?!Rais wetu ndio anayetakiwa kuwa mkali kwa familia yake na kuwaeleza wanamweka mahali pabaya kama kiongozi wa nchi.Labda kama hili hawalielewi.Unless kama Urais wake ni wa Familia yake.