Kuteswa kwa Kibanda: Ridhiwani na Nape matatani!

Kuteswa kwa Kibanda: Ridhiwani na Nape matatani!

Unasubiri tamko la Chadema, tatizo lako huwa unasikiliza uhuru fm, na kusoma magazeti ya ccm, utajua saa ngapi cdm wametoa tamko tena walikuwa chama cha kwanza kabisa kufanya hivyo.
 
hili la kibanda sijui mtaalam wa anga anajinasuaje maana limemkalia vibaya. anyway nashauri ajitokeze kukanusha vinginevyo hili lita-injur reputation ya cdm totally
 
Sasa kama tz daima wamepotosha sasa wewe tupe ukweli wa mambo na ushahidi wako ili tuone upotoshaji!
 
Fine! Namimi niwakatiwangu wa kusema kitu....tulieni niseme, jamani mimi nimtanzania wakawaida kabisa tena wa maisha ya hali ya chini.... Kifupi hali inavyoonekana kwa sasa hakuna amani wala nafuu ktk tz.... Huyu RIDHIONE NA NDUGUYE NAPE siwa2 wakupigia kelele sana ili waelewe tunacho sema nakumaanisha.... Nadhani anachokidhani Nape nikuwa watz wote niwajinga kama alivyo yeye. Naminadhani kauli ya Makamba kuwa ccm na kikwete wanaimaliza tz hajakosea. Nami nadhani kama ccm ingejua moja yaw2 ambao hawakupaswa kuwemo ndani ya chama ni Nape. Maana huyu jamaa kuropoka ndo kawaida yake huwa hana points za maana. Kingine huyu Ridhione Kikwete simtu wa kupigia kelele sana. Nikijana mdogo sana. Anachodhani mageti ya ikulu atakaahumo 4reva. 2mwombe Mungu 2 katiba ijayo wasiingize maoni yao mle maana wakiyachakachua maoni ya watz hapo hatutamfanya k2. Jamani hata kikwete aondolewe kinga ya kutomshtaki. 2nataka wtz tumpeleke ICC kwa Okampol. Msjari wtz hawa wanapesa sisi 2naMUNGU watawatesa wanahabari, madokta, walimu. Lkn haki huwa haipotei ipo2.
 
nimesoma gazeti la tz daima la leo ukweli nimelitoa thamani hili gazeti tena sana ni bora hata magazeti ya udaku lakini hili gazeti liko moja kwa moja kwenye mfumo wa uchochezi na kupindisha ukweli wa mambo.. kwanza napata tabu na elimu ya mhariri wa gazeti la tz daima kama kweli anaweledi wa uandishi wa habari au ni kachanjanja tu anaandika kinachoelekezwa na mwenye gazeti hilo .............. kwenye mtandao wa fb wengi na wapo watu wanaingia na id ya majina ya watu wengine na majina mengine ni ya kutunga .... leo habari ambayo huna uhakika kama ni ridhiwani au nape kasema unakuja kuiweka kwenye ukurasa wa mbele na ref yake facebook!!!!!! hata kama tz daima liko kisiasa kwa ajili ya kuipaisha chadema lakini kuna umuhimu wa kuhakiki habari mnazozitoa .... juzi juzi wametoka omba radha kwa taarifa ya uongo kuhusu kufukuzwa kwa mwema,nchimbi wasira... na taarifa nyingi za uongo mwindishi anakuw ni" na waandishi wetu"
TUKIO la kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa vibaya kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF) Absalom Kibanda usiku wa kuamkia Jumatano wiki hii, limechukua sura mpya baada ya mtu aliyejitambulisha kama Ridhiwani Kikwete akitumia ukurasa wake wa mtandao wa facebook kutoa maneno ya kejeli, akihoji kama nae ametekwa na Ikulu.


[TD="bgcolor: #ffffff"]
na Waandishi wetu


[/TD]
[TD="width: 140, bgcolor: #ffffff"]
amka2.gif
[/TD]

Nafikiri ingekuwa vema kama ungesema alipopotosha na ukahitimisha na ukweli wa hilo. Ukipinga tu Tz Daima bila kutupatia ukweli wewe ndo utaonekana mpotoshaji. Au wewe ndiye Ridhiwan au Nape? Kama sio, kwanini usiache wakajitetea wenyewe? Jamani, tuitumie mitandao hii vizuri; vinginevyo mitandao itatutumia tu.
 
hakika kuna taaria
nyingi juu ya kujeruhiwa kwa bwana absalom kibanda mwenykt wa jukwaa la
wahariri,miongoni mwa taarifa hizo ni kuwa bwana mbowe kama bosi wa
awali wa bwana kibanda anahusika

wanajanvi mm naona hili linaunganishwa na lile a chacha wangwe nakukipa
mashaka chama chetu,,,,,

nashaur mbowe ajitokeze na kuweka wazi endapo kama hawakuwa na maelewano
na kibanda mpaka kutishiana maisha au ni uzushi tu wa watu

...Afande mmalizia... ok kumbe ma afande wapo cdm?
 
SIJAELEWA sentensi hii " Kauli hii inaakisi maoni kadhaa yanayosambazwa tangu juzi katika maeneo na mitandao kadhaa,yakiwanukuu baadhi ya makada namashabiki wa CCM ambao wanasema wanalenga kuinusuru serikali isihusishwe na tukio la kutekwa kwa Kibanda. "

Ina maana kila tukio linalotokea hapa nchini linalohusu utesaji au mauaji, lazima Serikali ihusike? ukisikia propaganda ndo hizi.

Kwani umesikia wapi kuwa kila tukio limehusishwa na serikali au ndo kiwewe chenyewe?
 
CCM inabidi watolewe madarakani walau kwa miaka mitano tu, hapo ndio wataelewa kwamba cheo ni dhamana na si mtaji
 
Kwanin chama kilichoongoza kutoa matamko kwenye media kuhusiana na tukio la ulimboka wapo kimya kwenye tukio hili la kutekwa na kupigwa kwa Absalom Kibanda ????.wapi mnyika,slaa,mbowe,mbilinyi,lema,msingwa,wenje,heche???

Kwani wamekuwa kova? kova ndiye mwenye matamko yake ya kisinemasinema na wala sio CHADEMA
 
hakika kuna taaria nyingi juu ya kujeruhiwa kwa bwana absalom kibanda mwenykt wa jukwaa la wahariri,miongoni mwa taarifa hizo ni kuwa bwana mbowe kama bosi wa awali wa bwana kibanda anahusika

wanajanvi mm naona hili linaunganishwa na lile a chacha wangwe nakukipa mashaka chama chetu,,,,,

nashaur mbowe ajitokeze na kuweka wazi endapo kama hawakuwa na maelewano na kibanda mpaka kutishiana maisha au ni uzushi tu wa watu

Mwajiriwa kuacha kazi sio lazima awe na bifu na muajiri. Wahariri kibao wameshapita freemedia na kuondoka lakini hakujawahi kusikika hata siku moja kuwa wamevamiwa na kuumizwa. Tumia ubongo kutoa hoja na sio kutumia MIKALIO YAKO MICHAFU.
 
Wewe wasema baba awakemee watoto, wakati yeye ndiye mastermind wa maovu yote yanayotokea nchini?!

Nitatoa ushahidi mchache kuthibitisha kauli yangu. Ametekwa Ulimboka,gazeti la Mwanahalisi likatimiza wajibu wake kwa jamii na likatekeza wito mkubwa wa Polisi jamii, kutoa clues za aliyemteka Dr Ulimboka. Matokeo yake gazeti limefungiwa. mwanzo watu hawakuelewa ni nani hasa aliyeshinikiza kufungiwa gazeti hilo, jibu tulilipata Addis Ababa, wakati mkulu, alipokuwa anahudhuria kikao cha wakuu wa nchi za Afrika, alipojiapiza kuwa kamwe hatalifungulia gazeti la Mwanahalisi, kwa kuwa limechochea maaskari kuasi!

Hilo lilikuwa ni jambo la hatari mno kwa nchi, kwa Rais wa nchi kudanganya waziwazi ilimradi tu ahalalishe udhalimu wake!!

Tukio la pili ni la Mwangosi, pamoja na mkulu kuwa mtumaji mzuri sana wa salaam za rambirambi kwenye misiba mbalimbali, kwenye msiba wa Mwangosi, hakutaka kabisa kutuma salaam za rambirambi, na kuthibisha kuwa kuna namna fulani ali-collude na wahalifu, kwenye tukio hilo! Pamoja na watu na makundi mbalimbali kumtaja kamanda Kamuhanda kuwa ndiye aliyetoa amri kwa askari aliyemfyatululia bomu Mwangosi, Kamuhanda siyo tu hajafikishwa kwenye vyombo vya sheria, bali pia mteule wake Rais hajamsimamisha kazi kwa tendo lake hilo la uovu wa hali ya kutisha mno!!

Tatizo kubwa la watawala madhalimu popote Duniani, wanapoona wamezungukwa na vyombo vya mabavu vya dola wanaamini watadumu madarakani milele, lakini kitu wanachokisahau ni kuwa Historia inasema hakuna mahali popote Duniani ambapo vyombo vya dola vilishinda nguvu ya Umma wakati wote. Mifano michache barani Afrika ni Misri,Tunisia, Libya na Ivory Coast!!

.
Yaani mpaka hapo ati waandishi wa habari wanajifanya bado hawamjui mbaya wao.
Aliyebuni muundo wa bahasha za khaki, kafanikiwa kuua dhamiri za nafsi nyingi sana za wasio hatia.
.
 
Rais wetu ndio anayetakiwa kuwa mkali kwa familia yake na kuwaeleza wanamweka mahali pabaya kama kiongozi wa nchi.Labda kama hili hawalielewi.Unless kama Urais wake ni wa Familia yake.

Hilo halina mjadala mkuu kwani wakati wa kampeni mwaka 2010 alitamka yeye mwenyewe kuwa urais ni wake na familia yake na ndiyo sababu kampeni alifanya yeye (Jakaya), mke wake (Mama Salma) na mwanaye (Ridhiwani). Na katika kuhakikisha kuwa wanakuwa karibu zaidi wote amewapigia chapuo na kuwaingiza kwenye halmashauri kuu ya chama.
 
huyu dogo mjinga sana anafikiria baba yake atakaa kwenye madaraka milele hajui mwenye uamzi wakutoa uhai ni Mungu tu
 
Mmezoea kwenye maswala ya msingi nyie mnaingiza propaganda,mnajaribu kuua membe kwa kutumia nyundo,TIME WILL TELL lazima 2015 muondoke magogoni tu.
 
hali imekuwa mbaya dunian.ubinaadam umetoweka dunian.usoni watanashati rohoni wanyama.
 
.....Unless kama Urais wake ni wa Familia yake.

Unajua kuna baadhi ya wazazi wanawaogopa watoto wao...hivyo hata mtoto afanye madudu gani ya kumdhalilisha mzazi wake hawezi kumkemea...liangalieni na hili kadhia hii.
 
Ridhiwani na Nape ni wajinga sana, nchi ikiingia machafukoni, watakuwa wa kwanza kuwindwa. Jifunzeni toka nchi jirani
 
Km vyombo vyetu vya usalama vingekuwa makini hawa watu wawili wankekuwa wanahojiwa ili kupata ukweli na nawasiwasi kuwa wanaweza wahusika
 
Back
Top Bottom