Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafanya kazi Sheli au uliajiriwa kwenye Kampuni za Usafirishaji tuanzie hapo kwanza.Naomba msaada jamani, ni kwa jinsi gani mwajiri anaweza kuthibitisha/kuprove kosa alilonifukuza nalo la wizi wa mafuta kwenye mahakama?
We ulikuwa unaiba kweli???kama ulikuwa unaiba ongea ukweli tukufundishe namna ya kukwepa huo msala...kama ulikuwa huibi usiwe na wasiwasi hawezi kuu prove..ata prove vipi kitu kisichokwepoNaomba msaada jamani, ni kwa jinsi gani mwajiri anaweza kuthibitisha/kuprove kosa alilonifukuza nalo la wizi wa mafuta kwenye mahakama?
Polisi waliona sina hatia Ila mwajiri yeye akadai nina kosa la wizi akaamua kunifukuza kazi.Documents tu mahakama haideal na picha. Hiyo si kazi official kila kitu kipo documented, kwahyo document ndo zitakufunga au kukuacha huru wala sio maneno
Ulikuwa unaiba kweli or ulikuwa huibi....jibu hili swali kwanzaPolisi waliona sina hatia Ila mwajiri yeye akadai nina kosa la wizi akaamua kunifukuza kazi.
Hapa ndo penyeweUlikuwa unaiba kweli or ulikuwa huibi....jibu hili swali kwanza
Sijaiba mafuta bna ndo maana nikatoa maelezo hayo wadauNamna ulivyokua unaiba ndiyo atakavyopeleka uthibitisho.ka!a ulikua huibi relax tu mkuu mana hawezi kuthibitisha kitu ambacho hakipo.
Sijaiba mafuta bna ndo maana nikatoa maelezo hayo wadau
Nimekupata kkDocuments tu mahakama haideal na picha. Hiyo si kazi official kila kitu kipo documented, kwahyo document ndo zitakufunga au kukuacha huru wala sio maneno
Ndiyo kkKwani hiyo si ishu ya CMA kwanza??
Mafuta unayodaiwa kuiba ni kutoka kisima, chombo cha usafiri au stoo?Ndiyo kk
kama umekutikana na upungufu wa lita za mafuta na ukasimamishwaNdiyo kk