Kafilie kwa mbali na Magufuli wako, unadhani wapendwa wa Ben Saanane wanakuonajeAmekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Comment yangu Bora nyingine ni hiiSijawahi kuona kumbukumbu ya kulazimishana, Kama hii ya Magufuli.
Bado mnampinga jamaa hata akiwa kaburini....acheni hizo itikadi.Sijawahi kuona kumbukumbu ya kulazimishana, Kama hii ya Magufuli.
Damu ya Ben Saanane itakutesa sana umekuwa chizi kabisaAmekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Nduli aenziwe kwa lipi? Humphrey Polepole na Kabudi na Bashiru na Ndugai wameshindwa kumuenzi, wewe unalialia kama nani yake?Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Mliambiwa mumuulize mbowe. Mnabaki saanane saanane. Tembeleeni basi kisiwa cha saanane mjifariji na jina.Damu ya Ben Saanane itakutesa sana umekuwa chizi kabisa
Hivi wafanye kumbukizi kuadhimisha kitu gani, Mauaji?Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Acheni ujinga!! Si kilamtu anapenda ibada za wa... tuache kazi tubaki tunakumbukana ili iweje? Nilini mtaerevuka?Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Wewe ulienda?Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
๐ ๐ ๐Damu ya Ben Saanane itakutesa sana umekuwa chizi kabisa
Hata wabumge zaidi ya 300 aliowapa ubunge wa mezani hakuna hata mmoja aliyeenda? Mnataka mkulima aliyekichokea na maisha ndiye ashinde huadhimisha vifo?1. Aliitoa CCM iliyochokwa shimoni.
2. Alirudisha mavazi na sare za CCM zilizochokwa kwenye jamii ya Watanzania.
3. Alirudisha makundi yaliyoparaganyika na kujeruhiwa na uchaguzi, ikiwemo kundi la Lowassa na kundi la Frederick Sumaye.
4. Alirudisha falsafa ya kuanzishwa CCM kwa kufanya chama cha wakulima, wafanyakazi, na makundi mengine badala ya jumuiya ya wafanyabiashara.
5. Hukuitaji tena rushwa ya pesa au ya ngono au kuwa mtoto wa fulani kupata nafasi ndani ya chama na serikali.
6. Alileta utawala wa wote wa chama bila kujali wanaojiita wenye CCM. Hao waliovimbiwa na ubinafsi aliwanyoosha hasa hadi maji wakaita mma.
7. Makundi mengi yalianza kuvutiwa na kujiunga na chama hiki. Hata wasiokuwa na chama walikimbilia CCM kwa sababu ya falsafa za Magu na wenzie.
8. Alirejesha mali nyingi za chama.
9. Alikijengea chama uwezo wa kujitegemea hasa katika mikutano na shughuli za chama, badala ya kupitisha kikombe kwa wafanyabiashara.
10. CCM haikuwa tena kichaka cha wakwepa kodi, wauza unga, na wezi wa mali za umma.
11. Alisababisha CCM ikawa na akaunti iliyoshiba.
12. Aliwezesha mavazi na bidhaa zenye chapa ya CCM, ikiwemo saa, kuwa biashara kubwa kwa wajasiriamali.
13. Aliondoa hulka ya wanaccm au viongozi wake kuvimbia raia mtaani, badala yake wengi waligeuka kuwa watumishi wa watu.
14. Aliingiza wabunge wengi sana kwa shabaha ya maneno matatu; "Nipeni connection, gunzi na betri haziwashi tochi, nipeni huyu nammudu akiwazingua namuwajibisha."
15. Alirudisha imani kubwa ya chama kwa jamii.
๐ ๐ ๐ kumbukumbu huwa watu wenyewe wanajituma. Hizi kumbu kumbu za sasa ni za michongo.Sijawahi kuona kumbukumbu ya kulazimishana, Kama hii ya Magufuli.
Sasa hapo itawagharimu vipi na kitu gani?Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
CCM imemezwa na majizi ambayo Hayati alituambia kuwa wanaiibia nchi.Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Bila kuwasahau na wapendwa wa Mwangosi, UlimbokaKafilie kwa mbali na Magufuli wako, unadhani wapendwa wa Ben Saanane wanakuonaje