Kutofanya kumbukizi ya Magufuli ni makosa yataigharimu CCM

Kutofanya kumbukizi ya Magufuli ni makosa yataigharimu CCM

Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm

Si umeambiwa ukazikwe naye, au umeamua kutoka kaburini uje unywe huku jf? Hakuwa na umuhimu huo.
 
Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Kama unatka kumtukuza huyo DIKTETA muuaji na mwizi nenda kaitishe wanao, wekeni jeneza lake sebuleni halafu endeleeni na msiba.

Hii CCM siyo yako wewe wala kile kikundi chenu cha kunyanga'anya wafanyabiashara fedha. Tumeirudisha inakostahili. Na kamwe huo UJINGA wa kufanya kumbukizi haitokuja tokea.
 
1. Aliitoa CCM iliyochokwa shimoni.
2. Alirudisha mavazi na sare za CCM zilizochokwa kwenye jamii ya Watanzania.
3. Alirudisha makundi yaliyoparaganyika na kujeruhiwa na uchaguzi, ikiwemo kundi la Lowassa na kundi la Frederick Sumaye.
4. Alirudisha falsafa ya kuanzishwa CCM kwa kufanya chama cha wakulima, wafanyakazi, na makundi mengine badala ya jumuiya ya wafanyabiashara.
5. Hukuitaji tena rushwa ya pesa au ya ngono au kuwa mtoto wa fulani kupata nafasi ndani ya chama na serikali.
6. Alileta utawala wa wote wa chama bila kujali wanaojiita wenye CCM. Hao waliovimbiwa na ubinafsi aliwanyoosha hasa hadi maji wakaita mma.
7. Makundi mengi yalianza kuvutiwa na kujiunga na chama hiki. Hata wasiokuwa na chama walikimbilia CCM kwa sababu ya falsafa za Magu na wenzie.
8. Alirejesha mali nyingi za chama.
9. Alikijengea chama uwezo wa kujitegemea hasa katika mikutano na shughuli za chama, badala ya kupitisha kikombe kwa wafanyabiashara.
10. CCM haikuwa tena kichaka cha wakwepa kodi, wauza unga, na wezi wa mali za umma.
11. Alisababisha CCM ikawa na akaunti iliyoshiba.
12. Aliwezesha mavazi na bidhaa zenye chapa ya CCM, ikiwemo saa, kuwa biashara kubwa kwa wajasiriamali.
13. Aliondoa hulka ya wanaccm au viongozi wake kuvimbia raia mtaani, badala yake wengi waligeuka kuwa watumishi wa watu.
14. Aliingiza wabunge wengi sana kwa shabaha ya maneno matatu; "Nipeni connection, gunzi na betri haziwashi tochi, nipeni huyu nammudu akiwazingua namuwajibisha."
15. Alirudisha imani kubwa ya chama kwa jamii.
Hizi pumba peleka kwa wanao ndiyo ukawadanganye. Kuiokoa CCM ndiyo nini wakati DIKTETA alikuwa anawagawa watanzania kikabila na kiitikadi.
 
Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Kwanini wananchi tulazimishwe hii kumbukizi? Kuna bini nyuma yake? What's so special with him. Personally I don't see a reason. Tusilazimishane kwa maslahi yenu binafsi. We don't need.
Kama unampenda do it yourself. Not everyone.
 
Hata wabumge zaidi ya 300 aliowapa ubunge wa mezani hakuna hata mmoja aliyeenda?? Mnataka mkulima aliyekichokea na maisha ndiye ashinde huadhimisha vifo?
Yeah ubunge wa Magu ulikuwa mwepesi mno. Maneno matatu ya Magu yalikuwa na nguvu mno
1. Nipeni connection
2. Msichanganye gunzi na betri tochi haitawaka.
3. Nipeni wabunge wa ccm maana naweza kuwawajibisha.
 
Yeah ubunge wa Magu ulikuwa mwepesi mno. Maneno matatu ya Magu yalikuwa na nguvu mno
1. Nipeni connection
2. Msichanganye gunzi na betri tochi haitawaka.
3. Nipeni wabunge wa ccm maana naweza kuwawajibisha.
Mpaka leo woote wamemkacha shujaa wao.
 
Hizi pumba peleka kwa wanao ndiyo ukawadanganye. Kuiokoa CCM ndiyo nini wakati DIKTETA alikuwa anawagawa watanzania kikabila na kiitikadi.
Kama ulikuwa mkwepa kodi, mpiga dili, muuza madawa ya kulevya lazima ugawanywe na watanzania.
 
Kafilie kwa mbali na Magufuli wako, unadhani wapendwa wa Ben Saanane wanakuonaje
Sasa mnauhakika gani kama huyo Beni Saanane alikufa, kuna msiba wake au kaburi lake mahali, yaani tufanye kumbukizi kwa mtu aliyepotea na hatujui alipo, kama yupo Ubeligiji?

JPM kafa kweli na kaburi lake lipo Chato na sisi tutaendelea kumwombea mana mzee Baba ni kivuli kinaishi.
 
1. Aliitoa CCM iliyochokwa shimoni.
2. Alirudisha mavazi na sare za CCM zilizochokwa kwenye jamii ya Watanzania.
3. Alirudisha makundi yaliyoparaganyika na kujeruhiwa na uchaguzi, ikiwemo kundi la Lowassa na kundi la Frederick Sumaye.
4. Alirudisha falsafa ya kuanzishwa CCM kwa kufanya chama cha wakulima, wafanyakazi, na makundi mengine badala ya jumuiya ya wafanyabiashara.
5. Hukuitaji tena rushwa ya pesa au ya ngono au kuwa mtoto wa fulani kupata nafasi ndani ya chama na serikali.
6. Alileta utawala wa wote wa chama bila kujali wanaojiita wenye CCM. Hao waliovimbiwa na ubinafsi aliwanyoosha hasa hadi maji wakaita mma.
7. Makundi mengi yalianza kuvutiwa na kujiunga na chama hiki. Hata wasiokuwa na chama walikimbilia CCM kwa sababu ya falsafa za Magu na wenzie.
8. Alirejesha mali nyingi za chama.
9. Alikijengea chama uwezo wa kujitegemea hasa katika mikutano na shughuli za chama, badala ya kupitisha kikombe kwa wafanyabiashara.
10. CCM haikuwa tena kichaka cha wakwepa kodi, wauza unga, na wezi wa mali za umma.
11. Alisababisha CCM ikawa na akaunti iliyoshiba.
12. Aliwezesha mavazi na bidhaa zenye chapa ya CCM, ikiwemo saa, kuwa biashara kubwa kwa wajasiriamali.
13. Aliondoa hulka ya wanaccm au viongozi wake kuvimbia raia mtaani, badala yake wengi waligeuka kuwa watumishi wa watu.
14. Aliingiza wabunge wengi sana kwa shabaha ya maneno matatu; "Nipeni connection, gunzi na betri haziwashi tochi, nipeni huyu nammudu akiwazingua namuwajibisha."
15. Alirudisha imani kubwa ya chama kwa jamii.
Hakuwapandisha madaraja na kuwaongezea mishahara watumishi wa umma.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
CCM imemezwa na majizi ambayo Hayati alituambia kuwa wanaiibia nchi.

Usitegemee wamkumbuke kwa sababu ukitaja jina lake tu, basi kwao chakula hakishuki.

Umesahau Mkutano Mkuu CCM walimnanga marehemu waziwazi?
😂😂😂😂 Si mlisema anapendwa na wananchi mbona sijaona wakifanya kumbukizi yoyote mtaani huku?

Basi tufanye CCM hawampendi, vipi wamachinga? Bodaboda? Wasanii?
 
Back
Top Bottom