SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Tuondolee wazimu wako hapa,kama vipi mfuate huko kuzimuAmekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Vipi Mkapa amefanyiwa?Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Na wewe tuondolee kichaa chako cha mbwa hapa,kama mnampenda mfuateni huko motoni aliko sasa hiviMliambiwa mumuulize mbowe. Mnabaki saanane saanane. Tembeleeni basi kisiwa cha saanane mjifariji na jina.
Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli.... Who is chadema who is ccm
Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
1. Aliitoa ccm iliyochokwa shimoni.
2. Alirudisha mavazi na sare za ccm zilizochokwa kwenye jamii ya watanzania.
3. Alirudisha makundi yaliyoparaganyika na kujeruhiwa na uchaguzi ikiwemo kundi lowasa, kundi fredrick sumaye.
4. Alirudisha falsafa ya kuanzishwa ccm kwa kufanya chama cha wakulima, wafanyakazi na makundi mengine badala ya jumuiya ya wafanyabiashara.
5. Hukuitaji tena rushwa ya pesa au ya ngono au kuwa mtoto wa fulani kupata nafasi ndani ya chama na serikali.
6. Alileta utawala wa wote wa chama bila kujali wanaojiita wenye ccm. Hao waliovimbiwa na ubinafsi aliwanyoosha hasa hadi maji wakaita mma.
7. Makundi mengi yalianza kuvutiwa na kujiunga na chama hiki. Hata wasiokuwa na chama walikimbilia ccm kwa sababu ya falsafa za Magu na wenzie.
8. Alirejesha mali nyingi za chama.
9. Alikijengea chama uwezo wa kujitegemea hasa katika mikutano na shughuli za chama badala ya kupitisha kikombe kwa wafanyabiashara.
10. CCM haikuwa tena kichaka cha wakwepa kodi, wauza unga na wezi wa mali za uma.
11. Alisababisha CCM ikawa na akaunti iliyoshiba.
12. Aliwezesha mavazi na bidhaa zenye chata ya ccm ikiwemo saa kuwa biashara kubwa kwa wajasiriamali.
13. Aliondoa hulka ya wanaccm au viongozi wake kuvimbia raia mtaani badala wengi waligeuka kuwa watumishi wa watu.
14. Aliingiza wabunge wengi mno kwa shabaha ya maneno matatu; nipeni connection, gunzi na betri haziwashi tochi, nipeni huyu nammudu akiwazingua namuwajibisha.
15. Alirudisha imani kubwa ya chama kwa jamii.
Ndio alikuwa ni MBUZI WA KAFARA na WAINGEREZA wanaita hii ni SCAPEGOATING.Mbuzi wa kafara
Huu ni aina mpya ya ugonjwa wa afya ya akili
Unavyowatesa mashabiki uchwara wa dictator
Ben ndiyo nani nchi hii?Rais Karume alikula chuma akiwa madarakani atakuwa uyo mwana Ufipa mwenzenu.Ukichagua kupambana na mtawala ujue kuna kufa au kuozea jela.Damu ya Ben Saanane itakutesa sana umekuwa chizi kabisa
Pumbavu kabisa weweBen ndiyo nani nchi hii?Rais Karume alikula chuma akiwa madarakani atakuwa uyo mwana Ufipa mwenzenu.Ukichagua kupambana na mtawala ujue kuna kufa au kuozea jela.
Mkuu utawafanya Walamba asali walambe ndimu kwa uchungu!1. Aliitoa ccm iliyochokwa shimoni.
2. Alirudisha mavazi na sare za ccm zilizochokwa kwenye jamii ya watanzania.
3. Alirudisha makundi yaliyoparaganyika na kujeruhiwa na uchaguzi ikiwemo kundi lowasa, kundi fredrick sumaye.
4. Alirudisha falsafa ya kuanzishwa ccm kwa kufanya chama cha wakulima, wafanyakazi na makundi mengine badala ya jumuiya ya wafanyabiashara.
5. Hukuitaji tena rushwa ya pesa au ya ngono au kuwa mtoto wa fulani kupata nafasi ndani ya chama na serikali.
6. Alileta utawala wa wote wa chama bila kujali wanaojiita wenye ccm. Hao waliovimbiwa na ubinafsi aliwanyoosha hasa hadi maji wakaita mma.
7. Makundi mengi yalianza kuvutiwa na kujiunga na chama hiki. Hata wasiokuwa na chama walikimbilia ccm kwa sababu ya falsafa za Magu na wenzie.
8. Alirejesha mali nyingi za chama.
9. Alikijengea chama uwezo wa kujitegemea hasa katika mikutano na shughuli za chama badala ya kupitisha kikombe kwa wafanyabiashara.
10. CCM haikuwa tena kichaka cha wakwepa kodi, wauza unga na wezi wa mali za uma.
11. Alisababisha CCM ikawa na akaunti iliyoshiba.
12. Aliwezesha mavazi na bidhaa zenye chata ya ccm ikiwemo saa kuwa biashara kubwa kwa wajasiriamali.
13. Aliondoa hulka ya wanaccm au viongozi wake kuvimbia raia mtaani badala wengi waligeuka kuwa watumishi wa watu.
14. Aliingiza wabunge wengi mno kwa shabaha ya maneno matatu; nipeni connection, gunzi na betri haziwashi tochi, nipeni huyu nammudu akiwazingua namuwajibisha.
15. Alirudisha imani kubwa ya chama kwa jamii.
CCM ni chama cha Wakulima na Wafanyakazi na siyo Walamba asali (Wafanyabiashara uchwara)Kama unatka kumtukuza huyo DIKTETA muuaji na mwizi nenda kaitishe wanao, wekeni jeneza lake sebuleni halafu endeleeni na msiba.
Hii CCM siyo yako wewe wala kile kikundi chenu cha kunyanga'anya wafanyabiashara fedha. Tumeirudisha inakostahili. Na kamwe huo UJINGA wa kufanya kumbukizi haitokuja tokea.
Lamba ndimu kupunguza uchungu!Hizi pumba peleka kwa wanao ndiyo ukawadanganye. Kuiokoa CCM ndiyo nini wakati DIKTETA alikuwa anawagawa watanzania kikabila na kiitikadi.
Subirini battle linakuja na uyo Godfather wenu wa Msoga atakalishwa chini muda si mrefu.Mpaka leo woote wamemkacha shujaa wao.
Huo ni ujinga wenu,Lissu alipigwa risasi akakimbia nchi huko tangu apone uwa anasema waliompiga risasi anawajua na atawataja, ila mpaka sasa wamerudi Tanzania toka mafichoni na hajawai taja wahusika wa tukio hilo,Mbowe alilewa akaanguka kwenye ngazi akavunjika mguu akasema alipigwa na watu wasiojulikana ila ilshajulikana chanzo ni pombe Aina ya Faru John,Zitto alimteka kijana wake akasema ametekwa na wasiojulikana ila kumbe alikuwa anadaiwa na huyo kijana rafiki wa mpenz wake huko kenya.kwamba mliteka na kuuwa watu ili kusiwe na makabur yao.
Kibinadamu, bora mara elfu moja na moja ccm kulipa hiyo gharama kubwa kisiasa kuliko kuuenzi uongozi ulioumiza nchi kiasi kile. Kuna mtu mmoja tu wa kuenziwa na ccm na raia wote wa nchi hii bila kujali ufuasi wao wa vyama vya siasa: Nyerere! Kumchanganya Nyerere na vijitu vingine vya ajabu ajabu ni kudhalilisha utaifa wetu.Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Who is ben sanane by the way. Kalifanyia nini Taifa cha maanaKafilie kwa mbali na Magufuli wako, unadhani wapendwa wa Ben Saanane wanakuonaje