Nenda kajiingize pale Kaburini Chato ukalale nae, hutakuwa na haja ya kufanya KumbukumbuAmekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Wahuni wameanza kuondoka na badoNenda kajiingize pale Kaburini Chato ukalale nae, hutakuwa na haja ya kufanya Kumbukumbu
Kafilie kwa mbali na Magufuli wako, unadhani wapendwa wa Ben Saanane wanakuonaje
Soma hii kutoka kwa yogaDamu ya Ben Saanane itakutesa sana umekuwa chizi kabisa
Iko hivi mr new culture, amechangamka kidogo! Tuseme nayeye ni born town anayechipukia kwenye upande wa kampuni yake!! Ame kuwa CEO Kwa miaka kadha wa kadha! Kuna kipindi alipaswa kuachia ngazi kwa mujibu wa utaratibu wa kampuni yao but haikuwa ivyo. Aliweza kufanya umafia wake na kubaki as CEO ndani ya kampuni yake!
Wapo vijana walimchallenge mr new culture as a CEO at the end of the Day they ended up dead or fired from the company!! Kuna kijna wake mmoja alie mtrain vya kutosha na kujizolea umaarufu wa kutosha! Kijana alitamani awe CEO amtoe mr new culture, nia yake ilishia kwenye grave yard!
Wewe unprejudiced ndiyo una akili ya mende, unakula kwenye kabati halafu unalala kwenye mfereji wa maji machafu au kwenye karo.Mkuu Ben Saanane , nani alikudanganya kauliwa na JPM. Embu Acha Taarabu tuambie kwa fact. Alikuwa na nini hasa ? Je Kuna mtu anataka kukua then akutiahe kwa sms . Hivi vichwa vyenu huwa mnajaza uchafu gani? Familia zenu zinawzaje vumilia aina ya watu Kama wewe na namna yenu ya kufikiria. I really pity them.
Huyo mpuuzi anafikiri Kila mmoja alikuwa kama wao?? Hawajui kuwa data zao zimehifadhiwa?? Kibaya zaidi waliharibiwa vichwa vyao na Jiwe kiasi kwamba wanaamini kuwa kapumzika tu kuna siku atarudi tena kuwaongoza.Wewe unprejudiced ndiyo una akili ya mende, unakula kwenye kabati halafu unalala kwenye mfereji wa maji machafu au kwenye karo.
Habari za kuwa Magufuli ndiye aliyempoteza Ben Saanane hazipingiki kwa sentensi zako hizo za kejeli. Ungekuwa una akili usingedadisi.
Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.
Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.
Supervisor wa Thesis Magufuli alipewa, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara
Kuna wakati back to 2015 ilikuwa ukivaa t shirt ya ccm unazomewa mpaka basi. Ila kwenye kipindi chake T shirt ilikuwa na nguvu sana kwenye mitaa Yani unaheshimika sana.1. Aliitoa ccm iliyochokwa shimoni.
2. Alirudisha mavazi na sare za ccm zilizochokwa kwenye jamii ya watanzania.
3. Alirudisha makundi yaliyoparaganyika na kujeruhiwa na uchaguzi ikiwemo kundi lowasa, kundi fredrick sumaye.
4. Alirudisha falsafa ya kuanzishwa ccm kwa kufanya chama cha wakulima, wafanyakazi na makundi mengine badala ya jumuiya ya wafanyabiashara.
5. Hukuitaji tena rushwa ya pesa au ya ngono au kuwa mtoto wa fulani kupata nafasi ndani ya chama na serikali.
6. Alileta utawala wa wote wa chama bila kujali wanaojiita wenye ccm. Hao waliovimbiwa na ubinafsi aliwanyoosha hasa hadi maji wakaita mma.
7. Makundi mengi yalianza kuvutiwa na kujiunga na chama hiki. Hata wasiokuwa na chama walikimbilia ccm kwa sababu ya falsafa za Magu na wenzie.
8. Alirejesha mali nyingi za chama.
9. Alikijengea chama uwezo wa kujitegemea hasa katika mikutano na shughuli za chama badala ya kupitisha kikombe kwa wafanyabiashara.
10. CCM haikuwa tena kichaka cha wakwepa kodi, wauza unga na wezi wa mali za uma.
11. Alisababisha CCM ikawa na akaunti iliyoshiba.
12. Aliwezesha mavazi na bidhaa zenye chata ya ccm ikiwemo saa kuwa biashara kubwa kwa wajasiriamali.
13. Aliondoa hulka ya wanaccm au viongozi wake kuvimbia raia mtaani badala wengi waligeuka kuwa watumishi wa watu.
14. Aliingiza wabunge wengi mno kwa shabaha ya maneno matatu; nipeni connection, gunzi na betri haziwashi tochi, nipeni huyu nammudu akiwazingua namuwajibisha.
15. Alirudisha imani kubwa ya chama kwa jamii.
Kubenea alisema amemuona Ben Saanane. Bavicha wote wanajua hili na hata siku haonekani walisema wamemuona Airport. We huu upuuz umeutoa wapi?Wewe unprejudiced ndiyo una akili ya mende, unakula kwenye kabati halafu unalala kwenye mfereji wa maji machafu au kwenye karo.
Habari za kuwa Magufuli ndiye aliyempoteza Ben Saanane hazipingiki kwa sentensi zako hizo za kejeli. Ungekuwa una akili usingedadisi.
Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.
Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.
Supervisor wa Thesis Magufuli alipewa, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara
Unajiita MISULI ni sawa kabisa kwa kuwa kichwani huna kitu. Kama Kubenea alisema amemuona Airport basi ungewaambia Polisi kuwa kuna mtu kamuona.Kubenea alisema amemuona Ben Saanane. Bavicha wote wanajua hili na hata siku haonekani walisema wamemuona Airport. We huu upuuz umeutoa wapi?
Haya uliyoandika ndio yanayofanya JPM achukiwe1. Aliitoa ccm iliyochokwa shimoni.
2. Alirudisha mavazi na sare za ccm zilizochokwa kwenye jamii ya watanzania.
3. Alirudisha makundi yaliyoparaganyika na kujeruhiwa na uchaguzi ikiwemo kundi lowasa, kundi fredrick sumaye.
4. Alirudisha falsafa ya kuanzishwa ccm kwa kufanya chama cha wakulima, wafanyakazi na makundi mengine badala ya jumuiya ya wafanyabiashara.
5. Hukuitaji tena rushwa ya pesa au ya ngono au kuwa mtoto wa fulani kupata nafasi ndani ya chama na serikali.
6. Alileta utawala wa wote wa chama bila kujali wanaojiita wenye ccm. Hao waliovimbiwa na ubinafsi aliwanyoosha hasa hadi maji wakaita mma.
7. Makundi mengi yalianza kuvutiwa na kujiunga na chama hiki. Hata wasiokuwa na chama walikimbilia ccm kwa sababu ya falsafa za Magu na wenzie.
8. Alirejesha mali nyingi za chama.
9. Alikijengea chama uwezo wa kujitegemea hasa katika mikutano na shughuli za chama badala ya kupitisha kikombe kwa wafanyabiashara.
10. CCM haikuwa tena kichaka cha wakwepa kodi, wauza unga na wezi wa mali za uma.
11. Alisababisha CCM ikawa na akaunti iliyoshiba.
12. Aliwezesha mavazi na bidhaa zenye chata ya ccm ikiwemo saa kuwa biashara kubwa kwa wajasiriamali.
13. Aliondoa hulka ya wanaccm au viongozi wake kuvimbia raia mtaani badala wengi waligeuka kuwa watumishi wa watu.
14. Aliingiza wabunge wengi mno kwa shabaha ya maneno matatu; nipeni connection, gunzi na betri haziwashi tochi, nipeni huyu nammudu akiwazingua namuwajibisha.
15. Alirudisha imani kubwa ya chama kwa jamii.
Sokoine alikufa April themanini na nne mwakani ni miaka 40 inatimia, na watu wamemsahau.Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Sasa wewe Una ushahidi wote huo si uende mahakamani ukafungue kesi.Wewe unprejudiced ndiyo una akili ya mende, unakula kwenye kabati halafu unalala kwenye mfereji wa maji machafu au kwenye karo.
Habari za kuwa Magufuli ndiye aliyempoteza Ben Saanane hazipingiki kwa sentensi zako hizo za kejeli. Ungekuwa una akili usingedadisi.
Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.
Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.
Supervisor wa Thesis Magufuli, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara
Umaskini ni laana. Unachukia matajiri na unasahau kuwa wao ndiyo waajiri wakubwa wa wafanyakazi kuliko Serikali.Mafisadi walikiona Cha moto kama yule muhindi aliyekuwa anajificha katika kivuli Cha Yanga
Ukiona mtu anamchukia JPM ujue alikuwa ni mtu wa konakona katika mambo yake
Sasa wewe utaniambia ulienda shule ukasoma na kuelewa kweli? Hapa nikikuambia unieleweshe kwa ushahidi na data utaishia kumtukana mbowe tu. Umeandika mambo meeengi ya kufikirika tu. Ati na wewe unatetea legacy.1. Aliitoa ccm iliyochokwa shimoni.
2. Alirudisha mavazi na sare za ccm zilizochokwa kwenye jamii ya watanzania.
3. Alirudisha makundi yaliyoparaganyika na kujeruhiwa na uchaguzi ikiwemo kundi lowasa, kundi fredrick sumaye.
4. Alirudisha falsafa ya kuanzishwa ccm kwa kufanya chama cha wakulima, wafanyakazi na makundi mengine badala ya jumuiya ya wafanyabiashara.
5. Hukuitaji tena rushwa ya pesa au ya ngono au kuwa mtoto wa fulani kupata nafasi ndani ya chama na serikali.
6. Alileta utawala wa wote wa chama bila kujali wanaojiita wenye ccm. Hao waliovimbiwa na ubinafsi aliwanyoosha hasa hadi maji wakaita mma.
7. Makundi mengi yalianza kuvutiwa na kujiunga na chama hiki. Hata wasiokuwa na chama walikimbilia ccm kwa sababu ya falsafa za Magu na wenzie.
8. Alirejesha mali nyingi za chama.
9. Alikijengea chama uwezo wa kujitegemea hasa katika mikutano na shughuli za chama badala ya kupitisha kikombe kwa wafanyabiashara.
10. CCM haikuwa tena kichaka cha wakwepa kodi, wauza unga na wezi wa mali za uma.
11. Alisababisha CCM ikawa na akaunti iliyoshiba.
12. Aliwezesha mavazi na bidhaa zenye chata ya ccm ikiwemo saa kuwa biashara kubwa kwa wajasiriamali.
13. Aliondoa hulka ya wanaccm au viongozi wake kuvimbia raia mtaani badala wengi waligeuka kuwa watumishi wa watu.
14. Aliingiza wabunge wengi mno kwa shabaha ya maneno matatu; nipeni connection, gunzi na betri haziwashi tochi, nipeni huyu nammudu akiwazingua namuwajibisha.
15. Alirudisha imani kubwa ya chama kwa jamii.
Mtu ana nangwa kwa mabaya yake siyo mazuri mbona hawajawahi kumnanga mwinyi, nyerere, mkapa wala sokoine? Au wao hawakuwa viongozi? Kwann yeye anangwe? Hujiulizi?CCM imemezwa na majizi ambayo Hayati alituambia kuwa wanaiibia nchi.
Usitegemee wamkumbuke kwa sababu ukitaja jina lake tu, basi kwao chakula hakishuki.
Umesahau Mkutano Mkuu CCM walimnanga marehemu waziwazi?
Fanya nyumbani kwako.Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
CCM imelaanika, chama kimejaa mashetani tupuAmekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Hawwkushughulikia rushwa na wizi serikalini kama alivyopambana nao.Mtu ana nangwa kwa mabaya yake siyo mazuri mbona hawajawahi kumnanga mwinyi, nyerere, mkapa wala sokoine? Au wao hawakuwa viongozi? Kwann yeye anangwe? Hujiulizi?