Kutofanya kumbukizi ya Magufuli ni makosa yataigharimu CCM

Kafilie kwa mbali na Magufuli wako, unadhani wapendwa wa Ben Saanane wanakuonaje

Mkuu Ben Saanane , nani alikudanganya kauliwa na JPM. Embu Acha Taarabu tuambie kwa fact. Alikuwa na nini hasa ? Je Kuna mtu anataka kukua then akutiahe kwa sms . Hivi vichwa vyenu huwa mnajaza uchafu gani? Familia zenu zinawzaje vumilia aina ya watu Kama wewe na namna yenu ya kufikiria. I really pity them.
 
Damu ya Ben Saanane itakutesa sana umekuwa chizi kabisa
Soma hii kutoka kwa yoga
===
 
Wewe unprejudiced ndiyo una akili ya mende, unakula kwenye kabati halafu unalala kwenye mfereji wa maji machafu au kwenye karo.

Habari za kuwa Magufuli ndiye aliyempoteza Ben Saanane hazipingiki kwa sentensi zako hizo za kejeli. Ungekuwa una akili usingedadisi.

Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.

Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.

Supervisor wa Thesis Magufuli, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara
 
Huyo mpuuzi anafikiri Kila mmoja alikuwa kama wao?? Hawajui kuwa data zao zimehifadhiwa?? Kibaya zaidi waliharibiwa vichwa vyao na Jiwe kiasi kwamba wanaamini kuwa kapumzika tu kuna siku atarudi tena kuwaongoza.
 
Kuna wakati back to 2015 ilikuwa ukivaa t shirt ya ccm unazomewa mpaka basi. Ila kwenye kipindi chake T shirt ilikuwa na nguvu sana kwenye mitaa Yani unaheshimika sana.
 
Kubenea alisema amemuona Ben Saanane. Bavicha wote wanajua hili na hata siku haonekani walisema wamemuona Airport. We huu upuuz umeutoa wapi?
 
Kubenea alisema amemuona Ben Saanane. Bavicha wote wanajua hili na hata siku haonekani walisema wamemuona Airport. We huu upuuz umeutoa wapi?
Unajiita MISULI ni sawa kabisa kwa kuwa kichwani huna kitu. Kama Kubenea alisema amemuona Airport basi ungewaambia Polisi kuwa kuna mtu kamuona.
 
Haya uliyoandika ndio yanayofanya JPM achukiwe

Watoto wa vigogo walisambaratik

Waliokuwa wananeemeka na mali za CCM walinyanganywa

Wauza unga walikuwa hawapumui

Mafisadi walikiona Cha moto kama yule muhindi aliyekuwa anajificha katika kivuli Cha Yanga

Vigogo wazembe walikuwa wanatumbuliwa

Ukiona mtu anamchukia JPM ujue alikuwa ni mtu wa konakona katika mambo yake
 
Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli....
Who is chadema who is ccm
Sokoine alikufa April themanini na nne mwakani ni miaka 40 inatimia, na watu wamemsahau.

Tuachane na huu utumwa wa mawazo unaotutesa miaka na miaka.
 
Sasa wewe Una ushahidi wote huo si uende mahakamani ukafungue kesi.
Uliyemtaja yupo kaonekana misiba yote juzi.
Bado unambwelambwela tu kushtaki hapa JF inakusaidia nini?
Nyie watu mkishashiba maharage na Ugali akili zenu zinakua za uzushi tu.
Haya na mimi nasema we umevimbiwa ugali wa dona na maharage ndo mana unaropoka tu hapa.
 
Mafisadi walikiona Cha moto kama yule muhindi aliyekuwa anajificha katika kivuli Cha Yanga

Ukiona mtu anamchukia JPM ujue alikuwa ni mtu wa konakona katika mambo yake
Umaskini ni laana. Unachukia matajiri na unasahau kuwa wao ndiyo waajiri wakubwa wa wafanyakazi kuliko Serikali.

Magufuli kwa upumbavu wake alimfilisi Yusuf Manji na akasahau kuwa Manji anaajiri watu 3,000 wanaopata mishahara moja kwa moja kupitia makampuni yake ya Quality Group na wengine zaidi ya 300,000 indirectly kupitia ununuzi wa mazao kama korosho, mbaazi na ufuta.
 
Sasa wewe utaniambia ulienda shule ukasoma na kuelewa kweli? Hapa nikikuambia unieleweshe kwa ushahidi na data utaishia kumtukana mbowe tu. Umeandika mambo meeengi ya kufikirika tu. Ati na wewe unatetea legacy.
Twambie basi utekelwzaji wa ile report ya Dr. Bashir juu ya mali za ccm
Hiyo account ya chama aliikuta ina shilingi ngapi na kaiacha ina shilingi ngapi?
Una tofauti gani na ndege KASUKU WEWE?
 
CCM imemezwa na majizi ambayo Hayati alituambia kuwa wanaiibia nchi.

Usitegemee wamkumbuke kwa sababu ukitaja jina lake tu, basi kwao chakula hakishuki.

Umesahau Mkutano Mkuu CCM walimnanga marehemu waziwazi?
Mtu ana nangwa kwa mabaya yake siyo mazuri mbona hawajawahi kumnanga mwinyi, nyerere, mkapa wala sokoine? Au wao hawakuwa viongozi? Kwann yeye anangwe? Hujiulizi?
 
Unajiita MISULI ni sawa kabisa kwa kuwa kichwani huna kitu. Kama Kubenea alisema amemuona Airport basi ungewaambia Polisi kuwa kuna mtu kamuona.
Kubenea ni nani Taifa hili hadi Polisi watamfute?Umesikia ndugu zake wakilia hawamuoni?
 
Mtu ana nangwa kwa mabaya yake siyo mazuri mbona hawajawahi kumnanga mwinyi, nyerere, mkapa wala sokoine? Au wao hawakuwa viongozi? Kwann yeye anangwe? Hujiulizi?
Hawwkushughulikia rushwa na wizi serikalini kama alivyopambana nao.

Kwani mkoloni Mwingereza alidhani anafanya dhambi kututawala? Ndivyo CCM inavyoona na hao uliowataja walijimilika nchi kama.mali yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…