Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna athari zipi kwa mwanaume?

Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna athari zipi kwa mwanaume?

Fabian Vitus

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2022
Posts
5,828
Reaction score
7,532
Twede kwenye hoja moja kwa moja wakuu wa afya Kama mpo naomba mnipe elimu ya kina. Mara kadhaa nimekua nikisoma makala tofauti tofauti kuhusu afya kwa upande wa jinsia za kike sijabahatika kuona Mahala kumeanikwa madhara anayoweza kupata mwanaume endapo hajafanya mapenzi /ngono kwa mda mrefu na kama yapo ningependa tuelekezane katka hili ni hayo nawasilisha hoja mezani ✍️
 
Hakuna athari yoyote unapata Mimi Nina mwaka wa pili na miezi kadhaa na Nina furaha sana kuliko mwanzo wakati naduvuana hovyo hovyo

Kwanza inaongeza kujiamini na kujithamini na kuwa na standards zako, yaani sahivi kila mwanamke namuona wa kawaida na mwanamke yeyote lazima afike viwango vyangu ndo niwe nawe kikubwa katika hilo awe na akili na mentality inayokaribiana au kufanana na Mimi nikikosa wa hivyo bora nife nimedinda kuliko kuchafua dushe yangu kwa wanawake wasio na akili
 
Sijasoma yote ila ukiwa busy na maisha muda wa kuwaza uchi unakosa .........binafsi sijala pussy wala kunyetuka tangu mwaka jana october...mienzi saba sasa nataka nifunge miaka miwili.Yes inawezekana.

Nijiona nipo active sana.
 
Sijasoma yote ila ukiwa busy na maisha muda wa kuwaza uchi unakosa .........binafsi sijala pussy wala kunyetuka tangu mwaka jana october...mienzi saba sasa nataka nifunge miaka miwili.Yes inawezekana.

Nijiona nipo active sana.
Unatakiwa kuwa busy mno ili hili litokee, uwe daktari bingwa, eng flani hivi una kazi saa zote, yaani usiwe idle kabisa, na katika mazingira hayo hata JF hutoifahamu maana kama una mda na smartphone lazima utapata mda wa kukumbuka minyege uliyo nayo na hapo utajikuta unatype www. Mafutamkononi.com.
 
Twede kwenye hoja moja kwa moja wakuu wa afya Kama mpo naomba mnipe elimu ya kina. Mara kadhaa nimekua nikisoma makala tofauti tofauti kuhusu afya kwa upande wa jinsia za kike sijabahatika kuona Mahala kumeanikwa madhara anayoweza kupata mwanaume endapo hajafanya mapenzi /ngono kwa mda mrefu na kama yapo ningependa tuelekezane katka hili ni hayo nawasilisha hoja mezani ✍️
Madhara ya kuwa na shahawa nyingi mwilini na kujisikia hamu ya kujisikia hamu ya kufanya mapenzi (libido)
 
Hakuna athari yoyote unapata Mimi Nina mwaka wa pili na miezi kadhaa na Nina furaha sana kuliko mwanzo wakati naduvuana hovyo hovyo

Kwanza inaongeza kujiamini na kujithamini na kuwa na standards zako, yaani sahivi kila mwanamke namuona wa kawaida na mwanamke yeyote lazima afike viwango vyangu ndo niwe nawe kikubwa katika hilo awe na akili na mentality inayokaribiana au kufanana na Mimi nikikosa wa hivyo bora nife nimedinda kuliko kuchafua dushe yangu kwa wanawake wasio na akili
Kwaiyo umeshinda kama mshipi na unakula hovyo Mimi nimesema ambae hataki kushiriki ngono zembe kabisa😂😂😂
 
Back
Top Bottom