Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna athari zipi kwa mwanaume?

Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna athari zipi kwa mwanaume?

sasa unakuta uko timamu kiafya kila idara imekamilika vichocheo vya mwili viko moto na huna mchuchu, huna miadi na yeyote na huko chini tayari kumeshapata moto network iko 7G kakuku kanakatiza hapo kanafukuzwa na jogoo 🐒

acha kabisaa,
hiyo ni hatari sana , usikae idle ukiwa kwenye hali kama hiyo 🐒
😂😂Asante
 
Twede kwenye hoja moja kwa moja wakuu wa afya Kama mpo naomba mnipe elimu ya kina. Mara kadhaa nimekua nikisoma makala tofauti tofauti kuhusu afya kwa upande wa jinsia za kike sijabahatika kuona Mahala kumeanikwa madhara anayoweza kupata mwanaume endapo hajafanya mapenzi /ngono kwa mda mrefu na kama yapo ningependa tuelekezane katka hili ni hayo nawasilisha hoja mezani ✍️
Nilipiga chini kubanjuana na ke maana ukiwaendekeza unapata hasara ya akili kuliko pesa,sasa naishi ktk furaha kubwa Sana Yani mungu ukupe uvumilivu huohuo
 
Ila wakaka wa humu ni wanafiki jmn uzi ukija wakuzichapa kila mtu anasema anachakata leo naona kila mtu ana miaka hajafanya😀😀😀.
Ndio uhalisia hata mimi nna miaka sijui utelezi upoje, kila nikitaka kudondoka dhambini nikakumbuka nitazidi kumtesa Yesu msalabani kwa dhambi zangu naabort misheni.
 
Nilipiga chini kubanjuana na ke maana ukiwaendekeza unapata hasara ya akili kuliko pesa,sasa naishi ktk furaha kubwa Sana Yani mungu ukupe uvumilivu huohuo
😂😂😂😂Kwer kabisa sasa mfano ulikua na mke mkaachana inawezekana kukaa pasipo kufanya mapenzi tn kwa mda mrefu ?
 
Back
Top Bottom