Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna athari zipi kwa mwanaume?

Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna athari zipi kwa mwanaume?

Acheni kujitoa ufahamu! Eti nyeto!

Biology mlisoma tabia za kiumbe hai:

Moja wapo ya tabia hizo ni Kuzaliana (Reproduction) which means kufanya mapenzi ni moja ya tabia za kiumbe hai. Kama hufanyi hayo maana yake wewe unajitoa kwenye sifa za kiumbe hai.


Binadamu kamili ni lazima ule, unywe, uende chooni, ufanye mapenzi, upendwe, ucheke, uongee, ufanye kazi.

Yaani kufanya mapenzi ni sehemu ya uhai na ukamilifunwa mtu.
Kwer kabisa elimu imesimama 😄 hapa
 
Twede kwenye hoja moja kwa moja wakuu wa afya Kama mpo naomba mnipe elimu ya kina. Mara kadhaa nimekua nikisoma makala tofauti tofauti kuhusu afya kwa upande wa jinsia za kike sijabahatika kuona Mahala kumeanikwa madhara anayoweza kupata mwanaume endapo hajafanya mapenzi /ngono kwa mda mrefu na kama yapo ningependa tuelekezane katka hili ni hayo nawasilisha hoja mezani ✍️
Michubuko kwenye rinda
 
Back
Top Bottom